Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Biashara ya movies za nje ni 🔥 sana Kkoo, ni nini kiliua soko la filamu za Tanzania?

Mtu anayesema bora comedy hajaona comedy za kenya.Sisi mtu akikaza na style ya comedy basi atakaza nayo hadi izoeleke.mfano mkojani ingebid awe ashatafuta ubunifu mwingine zaidi ya lafudhi yake ya kipemba
Ubunifu hatuna
 
Bongo movie tukiacha wachekeshaji, walobaki wengine ni utoto na ujingamtupu umetawala katika sanaa yao, hawajui kwanini wanaitwa wasanii, wanakurupuka kufanya sanaa zao za hovyo, yani ukitazama bongo movie unakijuta unatazama takataka tupu.
Kanumba alivyobadilika na bongo movie ilianza kubadilika, ila alivyokufa aliondoka na bongo movie yake, wasanii walobaki walishindwa kujifunza kuwa walitakiwa kufanya nini, kikubwa zaidi bongo movie hawashauriki, hawaelewi wao wanaifanya sanaa kuwa ni vivlu vyao na havibadiliki rangi, acha filamu za wazungu ziuzwe.

Kanumba mm sioni kama alikua na kitu cha ziada kwenye industry,ni vile alivuma wakati ambao kibongo bongo industry ya movie ndio ilikua Inaanza Na siyo kwamba alikua mzuri kiivo,movie ni technology na investment Na siyo mambo ya kanumba
 
  • Ubunifu hafifu
  • Umaskini (kukoswa mbinu za kutafta wazamini)
  • Kupeana nafas kwa kuangalia umaarufu na sio ubora wa mtu kwenye nafas husika.
  • Matumiz madogo/ kitokuwa na matumiz ya technology katika kupendezesha movie zao.
  • Kufeli kuchagua location nzuri kwaajir ya scenes za movie zao
  • Kufanya kaz kwa mazoea.
Kwa dunia ya sasa lazma ujitaid kufanya movie nzur na yakuvutia kuanzia story, characters, location na ubunifu wa hali ya juu na matumiz ya technology pia ni mhimu, wenzetu wanatumia teknolojia kuanzia kwenye kutengeneza location, kutengeneza characters, kutengeneza na kurekebisha actions zote zinazotokea kwenye movie(hapa kwetu sasa ndio panatia kinyaa et mtu kafa lakin unaona anapumua kifua kinapanda juu na kushuka) ushauri wangu waanze kujifunza /ama watafte wataalam wa VFX pia itawasaidia
Kuna movies za 1960 unazicheki za Mambele. Dah. Wale jamaa wametuacha mbali kingese.
 
Mtanisamehe kwa lugha nitakayotumia. Bongo movies ni too childish. Ukitaka kujifunza ujinga angalia bongo movies. sijui wanaotayarisha scripts hawaangalia movies za nje? Huwezi kukuta bongo movies kuna instant labda mpo mahakakani na pale kuna argument za kisheria either zinahusu mifarakano ya kibiashara au familia. Huwezi ona bongo movies waaigizaji wanajadili labda uwekezaji, issue za kikodi au diversification ya portfolio. Yaani pure childish.
My kids have been warned siku nikikuta wanaangalia hizo movies, kinafuata wanakijua, kwanza hawawezi.
Hata mambo ya kisayansi hawana, hawajui hata masuala ya carnivore au herbivore, hata kuclassifly wanyama ni hola, na wakiigiza scene za hospital hakuna technical ishu wanazo ongea . Bongo muvie madudu Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mastermind wa bongo movie mwenye mission na vision just gone so wakina hemed ni kujilamba lamba tuu ni bora nirudie movie za kanumba za kitambo kuliko za leo nilikuwa super and number one fan's wa tamthilia ya mtungi sijui walistop vipi wale watu wakina cheche
 
Mtu anakuonyea bunduki afu anakwambia ntakuchinja,

Au mtu anaajisemesha eti ""naenda kunywa maji"" badala ya kwenda kunywa bila kuongea utafikili sisi hatuoni;

Kuna movie ya zaman kidogo ya yule demu Jennifer kyaka( odama) eti alikuwa na damu mguuni kigezo hicho Cha damu mguuni mamake akajua kuwa mtto wake ashatolewa bikra.. akati in reality hakuna kitu Kama hicho.
Nikaacha kuangalia upumbavu huo pamoja na za kihindi,
 
Mtu anayesema bora comedy hajaona comedy za kenya.Sisi mtu akikaza na style ya comedy basi atakaza nayo hadi izoeleke.mfano mkojani ingebid awe ashatafuta ubunifu mwingine zaidi ya lafudhi yake ya kipemba
Au bwana kidogo.
 
Mastermind wa bongo movie mwenye mission na vision just gone so wakina hemed ni kujilamba lamba tuu ni bora nirudie movie za kanumba za kitambo kuliko za leo nilikuwa super and number one fan's wa tamthilia ya mtungi sijui walistop vipi wale watu wakina cheche

U think kanumba Kwa saa hii angeweza kufanya kitu gani ? Industry inahitaji zaidi watu walionyuma ya camera na siyo kweli kwamba hatuna watu wanaojua kuigiZa.tatizo ni technology na investment uyo kanumba alikua wa kawaida mnoo ,yani mm ukinitajia kanumba nakuona ww hata elimu ya diploma huna ,yani ww ni house boy uliyechangamka
 
Kuna movies za 1960 unazicheki za Mambele. Dah. Wale jamaa wametuacha mbali kingese.
Mkuu nahisi sisi Tanzania kwa ujumla (kila kitu) tuko nyuma mno yani miaka 100 nyuma,tuishi maisha waliokua wanaishi 1800 huko kasoro tu teknolojia
 
U think kanumba Kwa saa hii angeweza kufanya kitu gani ? Industry inahitaji zaidi watu walionyuma ya camera na siyo kweli kwamba hatuna watu wanaojua kuigiZa.tatizo ni technology na investment uyo kanumba alikua wa kawaida mnoo ,yani mm ukinitajia kanumba nakuona ww hata elimu ya diploma huna ,yani ww ni house boy uliyechangamka
Huu ujivuni sasa mzee, hebu tutajie msanii wa bongo aliyekua na uwezo wa kutoa filamu kumzidi mwendazake Steven Charles Kanumba
 
Mimi
Haikufuma
Saluni ya mama kimbo
(hizi utafananisha na behind the enemy line)
Khaaaaa ,ertugul khaaah [emoji23]
 
Kuna movies za 1960 unazicheki za Mambele. Dah. Wale jamaa wametuacha mbali kingese.
Jumamosi nilikua nimekaa sehemu nikaona muvi ya Yesu (ya kibongo) inaonyeshwa TBC. Nikawa interested kuifatilia nione kinachoonyeshwa. Sijajua kama wale ni waigizaji rasmi au ni watu tu waliamua kuigiza, ila nilicheka sana.

Ile movie maarufu ya The Jesus Film ya kizungu, ukiambiwa bajeti yake tu ilikua Usd 6 million (Sawa na Tsh 13.5 billion) na ilitengenezwa mwaka 1979!

Matatizo makubwa mawili nayoyaona kwenye bongo movie ni:

1. Bajeti finyu
2. Weledi

Hivi vitu viwili ni kama havipo kabisa kwenye hii tasnia na matokeo yake ndio haya tunayoyaona. Mtu anataka atengeneze muvi kwa bajeti ya tsh milioni mbili, unategemea nini? Wangekua angalau na weledi, wangeweza kutumia ubunifu kama wanaofanya wenzetu kutengeneza low budget movies na zikawa nzuri. Kuna movies za wenzetu unakuta movie nzima ina watu watano tu na location imetumika moja, ila hubanduki kwenye kiti!
 
Jumamosi nilikua nimekaa sehemu nikaona muvi ya Yesu (ya kibongo) inaonyeshwa TBC. Nikawa interested kuifatilia nione kinachoonyeshwa. Sijajua kama wale ni waigizaji rasmi au ni watu tu waliamua kuigiza, ila nilicheka sana.

Ile movie maarufu ya The Jesus Film ya kizungu, ukiambiwa bajeti yake tu ilikua Usd 6 million (Sawa na Tsh 13.5 billion) na ilitengenezwa mwaka 1979!

Matatizo makubwa mawili nayoyaona kwenye bongo movie ni:

1. Bajeti finyu
2. Weledi

Hivi vitu viwili ni kama havipo kabisa kwenye hii tasnia na matokeo yake ndio haya tunayoyaona. Mtu anataka atengeneze muvi kwa bajeti ya tsh milioni mbili, unategemea nini? Wangekua angalau na weledi, wangeweza kutumia ubunifu kama wanaofanya wenzetu kutengeneza low budget movies na zikawa nzuri. Kuna movies za wenzetu unakuta movie nzima ina watu watano tu na location imetumika moja, ila hubanduki kwenye kiti!
Boss hata ukiweka pesa yako hapo hakuna waigizaji
 
Back
Top Bottom