Biashara ya ngono ndiyo biashara inayofanywa na Wanawake wengi zaidi

Mkuu ushapata ajira kwanza?
 
Utawasikia "una sh ngapi, toa hela upate vitu vizuri, hela yako tuuu...........".

Kwa tamaa zao wanawake sometimes wanapishana na wanaume wa kweli wanaotaka kuwaoa. Kuna wanaume wengine wanahela na wanataka wake,so wakati akiwa anafanya vetting zake,akikuona unatabia za kupenda sana hela anajua tu hapa hamna mke.

Moja kitu kingine ambacho kinawafanya wanawake wauze ni vikoba,kwani nimekugundua mizinga mingi ya wanawake huwaga siku za ijumaa nikaja kufanya utafiti wangu, kumbe jumamosi na jumapili kuna kuwaga na vikoba. Bado hapo michezo na husiombee yy awe kijumbe.
 
Hiko kitu cha vikoba, mchezo, shughul oyaaah mbn wamekalia kuti kavu
 
99% ya wanawake wote wanajiuza ,wanatifautina tu njia ya kijiuza
 
Biblia inasema chanzo ni ma baba kuwanajisi mabinti zao. Bila kuwacha hayo msiushangae ukahaba.

Suluhisho lenu lipo kwenye Uislam pekee.
 
Fasihi inamtambua Mwanamke kama CHOMBO Cha STAREHE...

FASIHI SIMULIZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…