Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wenzetu South Africa, jiji la Johannesburg ni legal lakini mji wa kiserikali Pretoria ni illegal.Kabisa naunga mkono hoja,serikali inakosa mapato,kwa kujiaminisha kwamba hakuna kitu kama hicho.
Ewaaa mtu ananunuliwa kwa mil 1.. maana yake ni Biashara halali hiyo ila wanafki wataaweka VIKAO vya harusi. Mie natafsir kama vikao vya BODI ya Wakurugenzi.Wanawake wote duniani wanauza sema kuna utaratibu umewekwa kupunguza ukali wamaneno ila ukiona mtu analipa mahari ili kuoa ujue uchi ndio unaonunuliwa hapo
Uongo na acha madharauWanawake wote duniani wanauza sema kuna utaratibu umewekwa kupunguza ukali wamaneno ila ukiona mtu analipa mahari ili kuoa ujue uchi ndio unaonunuliwa hapo
Nakubalii tena ww ndio MTEJA wao mzuri sana.Sikupingi
Hao wake zako niwauzaji ambao wamekuuzia kwajumlaumesahau pia kuna mashoga wengi kinoma noma wanawake, wanaouza nyuma ivi nayo ni biashara ya ngono, au tuiite biashara ya kunyeana, daah hata nilewe vipi sitaki malaya, ntarudi kwa wake zangu rasmi.
Hapana.. hiyo ni kwenye MAHARI unapeleka MBUZI unapewa MKE.Na wateja wao ni wanaume...kuna ka mlinganyo sehemu...ni butter trade nipe mbunye nikupe dushelele.
Kama ukweli tusiseme?Eeh yaan kwenye wanawake 100, wanawake 89 ni wadangaji? Mbna mnatukosea heshima kiasi hiki?tuheshimuni jamani sisi ndo bibi,mama, wake,dada na wadogo zenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Hakika mkuuNakubalii tena ww ndio MTEJA wao mzuri sana.
Buashara yao inatulindia UANAUME wetu kwa asilimia kubwaHakika mkuu
Hawa viumbe muhimu sana kwenye jamii
4.SURA (mwenye sura na shape nzuri lazma akupangie dau kubwaUbaya hata akipata AJIRA RASMI
Atarud ktk hii BIASHARA.
NA WENGI wenye mitaji mikubwa ya hii BIASHARA na wenye BIDHAA Nzuri zenye ushindani SOKONI wengi wao ni wanajiita CLASSY.. yaan matawi ya juu kununua BIDHAA yake uweke DAU kubwa.
Dau linategemea.
1> CHEO
2> FEDHA
3>MALI (Nyumba na Magari..)
Kwa hyo unamaanisha diamond ndo headmaster wao?😂😂😂😂😂😂😂😂 Mana almost hzo nymbo ni za mondiUlaya vipo,bongo wanafundishwa kupitia miziki ya bongo flavor.
Haani haaani
Kamatia chini
Nyege nyegezi
Amelowa amelowa
Chura
Sukari
Boloo boloo
NK
hizI ni baadhi ya syllabus zao
Siyo 12 umekosea, miaka 6.Hivi ww mvaa juba Huwezi tulia bila kutaja mwokozi kwenye hayo Mambo ya kijinga ...mtoto wa miaka 12 akaolewa na mtume mmoja.
Huko shule ulienda kusomea ujinga?Hujaelewa au kimekustuwa kwa kuwa hukikujuwakabla?
Sasa mwanamke kama huna uchi hio mahali utalipiwa nanan? Hata kama unauzur vp bidhaa inayotolewa mahali niuchiUongo na acha madharau
Umesema vyema mkuu malaya sijawahi kuwapingaBuashara yao inatulindia UANAUME wetu kwa asilimia kubwa
Ndio maana ndoa za sasa hazidumu wanaume hawana utaratibu , mipaka na wala hawaeshimu wanachokifanya , hawakuwa tayari kuingia kwenye suala zima la ndoa.Sasa mwanamke kama huna uchi hio mahali utalipiwa nanan? Hata kama unauzur vp bidhaa inayotolewa mahali niuchi
Na chanzo ni wanaume kuwalala mabinti zao.Yes, oldest proffesins duniani ni Ukahaba na Intelijensia...ziko hadi kwenye vitabu vya dini
Hapana sio.Na chanzo ni wanaume kuwalala mabinti zao.
Shindana na biblia, siyo maneno yangu hayo:Hapana sio.