Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda


mkuu tunakushukuru kwa elimu unayotupa.mimi nina duka la nguo za special za kiume,maana dar tunanunua kwa bei kubwa sana,mfano shirt 15,000.huko uganda inakuaje?au naomba kuwasiliana kwa ushauri zaidi maana inaonyesha unaijua uganda kibiashara zaid.0719640960
 

wafanyabiashara wa bongo wana tamaa sana. nguo ananunua elfu tatu anaiuza elf 30!!! mmmh.
money stunna tumefaidika na darasa lako hapa. santee!
 
Kuna mpaka wafanyaiashara wanatoka maeneo ya Mbeya,Tabora n.k nao nawaona wanakwenda kwa basi Ug wanachukua mzigo na kurudi nao hapa Tz na hata hapa K.k wengine wanachukua huko Ug
 

Asante sana kwa kaelezo mazuri kiongozi,nimeamini kweli”information is power”je ni siku gani !nzuri yq kufanya shopping?vp weekends wanafungua maduka??
 
Aksante kwadarasa money stunna nawachangiaji wote.. mimi nipo musoma nataka kuanza biashara ya vitu vyawatoto kama toys,baby walker,bouncer, vitanda tafadhali mwenye kufahamu maduka yanamna iyo ug.. price zao zipo poa kama Kwenye nguo?
 
Sipo ug ila uwa naenda. Na pia nishafanya biashara uko za kuwapelekea mizigo fulani pia nimenunua nyumba uko maeneo ya Munyonyo karibu na gaba

poa sana kaka..naomba tuwasiliane kupitia simu,mana mi mgeni humu..hata kum MP mtu siwezi ndo naendelea kujifunza.tafadhali kaka.
 
JF ni zaidi ya shule! Asante sana kiongozi. Vp ukiwa na mtaji wa kama milion 1.5 na uko dar hii biashara mtu unaweza ukaimudu?
 
Sipo ug ila uwa naenda. Na pia nishafanya biashara uko za kuwapelekea mizigo fulani pia nimenunua nyumba uko maeneo ya Munyonyo karibu na gaba

aaah Gaba!!! nilienda pale beach wakati wa honeymoon yangu! Halafu nilifanya shopping ya nguvu pale Mukwano. Nafikiri kuna mambo nahitaji kuyafanya hivi karibuni nitakuja kukutafuta humu kamanda!
 
Mtaji wa kama mil 4.5 upo,ishu ni soko la kuja kuuzia,kwa sehemu kama dar jamani kupata sehemu ambayo biashara ya nguo inalipa kodi yake si ndo itakufilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…