Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Photocopy nzuri ni Canon Image Runner 2525 bei 1.5mil, zinapatika Kariakoo. Angalizo: kabla ya kufungua biashara ya stationery fanya utafiti wa eneo la biashara kwanza vinginevyo utaifunga au kugeuza banda la Miamala na Vocha tu.
Mkuu kwa bei hiyo ni used au mpya maana kama mpya mm najua 2mil utaishia kupata canon ir 2022 .
 
Me nataka bei za vifaa vyote vya steshenari tafadhali nisaidien
 
Hivi hawezi pata pata machine inayoprint na kutoa copy kwa laki 4, au 5. Nimetegea nipate mtu wa kujitokeza kuuza hizo machine lakini nimekosa, hebu tuelezane inakaaje kwa hiyo bei?
 
Hivi hawezi pata pata machine inayoprint na kutoa copy kwa laki 4, au 5. Nimetegea nipate mtu wa kujitokeza kuuza hizo machine lakini nimekosa...hebu tuelezane inakaaje kwa hiyo bei??
NENDA KARIAKOO NA LAKI 4 NA NUSU YAKO,
UNAPATA EPSON L382 MPYA.

INA_PRINT, COPY (black & colored) & SCAN.
 
NENDA KARIAKOO NA LAKI 4 NA NUSU YAKO,
UNAPATA EPSON L382 MPYA.

INA_PRINT, COPY (black & colored) & SCAN.
Kumbe unajua kabisa mahali soko la wazi lilipo? Maneno ya ujanja ujanja hayafai. Kariakoo ndiko nachukulia bidhaa zangu tokea mwaka 2000. Kwahiyo usinielekeze upande wa Kariakoo. Mahali tofauti ndio natafuta nipajue.
 
Kumbe unajua kabisa mahali soko la wazi lilipo.????. Maneno ya ujanja ujanja hayafai....kariakoo ndiko nachukulia bidhaa zangu tokea mwaka 2000. Kwahiyo usinielekeze upande wa kariakoo....mahali tofauti ndio natafuta nipajue
ULICHOKIANDIKA HAKIELEWEKI MKUU.

CONCERN YAKO HASA NI NINI??
 
Kwema humu? Aiseh na mimi na shida na printer Haswa brand ya HP kwa matumizi ya kawaida tu bei sahivi zina range sh ngapi wadau?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
MKUU UPO WAPI....KAMA UPO ARUSHA NENDA GALAXYCOMPUTER KRB NA BEN ELECTRONICS HAPO SHIDA ZAKO ZOTE ZA STATIONARY ZITAISHA
 
Wakuu nina pesa kiasi nataka nianzishe biashara ya stationery ili nimkeep bize mdogo wangu, hajapata pa kujishikiza.

Naomba wauzaji na wajuvi wa vifaa hivi wanipe bei zake na ushauri ikibidi.

1. Desktop computer (Complete)
2. Photocopier
3. Printer laki
4. Camera ya picha (digital camera).
5. Photo printer (passport size).
6. Laini za m-pesa & Tigo pesa (mchanganuo wa upatikanaji na minimum ya mtaji wake wa kuendesha biashara).

Naomba mchanganuo wa hivyo vitu na kama wewe ni muuzaji basi mimi ni potential customer wako hivyo ukinisaidia itakua ni win to win stuation.
 
Ina maana jukwaa hili halina watu wanaouza hivyo vitu nilivyotaja? Au mambo magumu mpaka kusaidiana jf imekua ngumu?[emoji23]

sent from Sokoro nkorambokande
hahaa amna namna nyingine aingie mtaani atafute bei. kuna watu wanafanya kazi ya kuanda michanganuo ya biashara kwa pesa ndefu.ni vizuri afanye mwenyewe ataijua na iyo biashara kabla hajaianza
 
Back
Top Bottom