Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

Utaweza kuishinda rushwa ya ainanyoyote endapo utakua na nguvu ya Mungu ndani yako, otherwise haiwezekani...

Hakuna asiyependa pesa. Mpaka siku watu watakapoacha kupenda pesa ndipo rushwa itapoisha duniani..
 
Weza kutofautisha kati ya stationary na stationery kwanza ndo uje jukwani kuomba mawazo
 
Wanajamvi,

Kwanza niombe samahani kwa kutumia kiingereza kwenye kichwa cha habari na ndani kiswahili.
Biashara hii ya kukaa pamoja (stationary) na kusubiri wateja kwa sasa ni shida.
Naomba uzoefu kwa wale wanaouza bidhaa kwenye magulio yaani gulio kwa gulio, siku kwa siku. kwa ujumla mobile business.

Kwa mkoa wa DSM na PWANI ni bidhaa zipi zinanunulika zaidi kama mtu ana kausafiri kake na hivi kuamua kufanya biashara ya namna hii.

Please nahitaji uzoefu na ushauri
 
ahahaaa mkuu malizia na mobile bizness uuze vifaa vya simu au uwe fundi simu ndo italipa
Biashara za stationary ni nzuri ukipata tender mfano ku print mitihani, ya shule mbalimbali utaona faida na si kungoja watoa copy na wanunuaji wa vifuto.
 
ahahaaa mkuu malizia na mobile bizness uuze vifaa vya simu au uwe fundi simu ndo italipa
Kwa simu ningeshauri uwe fundi kisha ujiongeze uuze na vifaa utakuwa umekuza uvunaji wa pesa.
 
Wanajamvi,
Kwanza niombe samahani kwa kutumia kiingereza kwenye kichwa cha habari na ndani kiswahili.
Biashara hii ya kukaa pamoja (stationary) na kusubiri wateja kwa sasa ni shida.
Naomba uzoefu kwa wale wanaouza bidhaa kwenye magulio yaani gulio kwa gulio, siku kwa siku. kwa ujumla mobile business.
Kwa mkoa wa DSM na PWANI ni bidhaa zipi zinanunulika zaidi kama mtu ana kausafiri kake na hivi kuamua kufanya biashara ya namna hii.
Please nahitaji uzoefu na ushauri
Cheza na bidhaa za minadani utaona faida yake... Hasa minada ya kuanzia jumatano... Na usiende mbali sana na Dar
 
ahahaaa mkuu malizia na mobile bizness uuze vifaa vya simu au uwe fundi simu ndo italipa
Kwa hiyo awe anatembea na vifaa vya kutengenezea simu kila mnada.?

Mobile aliyomaanisha mtoa mada sio ya kuhusiana simu yeye anamaanisha biashara za kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa mfano mnada wa dsm wa kila jumapili yombo.
 
ok nimempata but kichw cha abar kimechanganya maana mbili
Kwa hiyo awe anatembea na vifaa vya kutengenezea simu kila mnada.?

Mobile aliyomaanisha mtoa mada sio ya kuhusiana simu yeye anamaanisha biashara za kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa mfano mnada wa dsm wa kila jumapili yombo.
 
Biashara za stationary ni nzuri ukipata tender mfano ku print mitihani, ya shule mbalimbali utaona faida na si kungoja watoa copy na wanunuaji wa vifuto.
Mzee baba umelewa stationary aliyomaanisha mtoa mada.

Kutoka kwenye dictionary
Stationary - not moving or not intended to be moved.
Kwa hiyo hajamaanisha hayo mambo ya kuprint wateja, yeye amemaanisha biashara zote mfano saluni unakaa unasubulia wateja.

Na akalinganisha na kufanya biashara kuwa mobile yaani kufuata wateja mfano machinga anaetembeza nguo mtaani.

Sasa mtoa mada anataka kuuza bidhaa kwenye minada ambayo ni mobile badala ya kufanya biashara ya kukaa na kusubilia wateja.
 
Mzee baba umelewa stationary aliyomaanisha mtoa mada.

Kutoka kwenye dictionary
Stationary - not moving or not intended to be moved.
Kwa hiyo hajamaanisha hayo mambo ya kuprint wateja, yeye amemaanisha biashara zote mfano saluni unakaa unasubulia wateja.

Na akalinganisha na kufanya biashara kuwa mobile yaani kufuata wateja mfano machinga anaetembeza nguo mtaani.

Sasa mtoa mada anataka kuuza bidhaa kwenye minada ambayo ni mobile badala ya kufanya biashara ya kukaa na kusubilia wateja.
Upo sahihi lakini mtoa mada ameweka kimtego swali lake.
 
Wanajamvi,
Kwanza niombe samahani kwa kutumia kiingereza kwenye kichwa cha habari na ndani kiswahili.
Biashara hii ya kukaa pamoja (stationary) na kusubiri wateja kwa sasa ni shida.
Naomba uzoefu kwa wale wanaouza bidhaa kwenye magulio yaani gulio kwa gulio, siku kwa siku. kwa ujumla mobile business.
Kwa mkoa wa DSM na PWANI ni bidhaa zipi zinanunulika zaidi kama mtu ana kausafiri kake na hivi kuamua kufanya biashara ya namna hii.
Please nahitaji uzoefu na ushauri
Sawa kabisa hongera kwa kuwa na businesses plan nzuri(mawazo biashara)katika mikoa miwili tajwa happy juu Kati ya PWANI&DAR ES SALAAM nikweli inatofautiana kibiashara kwa mfano,Mkoa wa PWANI Ni mzuria sana kwa stationary business rather than mobile business kwa mantiki ya kwamba watu wengi hawapendi kumove unlike DAR ES SALAAM biashara ambayo inaenda kwa wingi ni Kama vile nguo hasa madera sunajuaga Tena Mambo ya PWANI,samaki maana hakuna kabisa samaki,Nazi pamoja na kilimo Kama kilimo biashara,LAKINI kwa DAR ES SALAAM mobile business Ni nzuri sana kuliko satationary business unlike PWANI kwasababu watu wanapenda sana kuorder/kufanya tender hili waweze kupata profit na biashara ambayo Ni favorite Ni Kama vile biashara ya mchele,pamoja na umachinga hasahasa ukiwa na flem ya kueleweka
NENDA KAFANYE BIASHARA LAKINI NAKUSHAURI HASA PWANI KULIKO DAR ES SALAAM
 
Biashara za stationary ni nzuri ukipata tender mfano ku print mitihani, ya shule mbalimbali utaona faida na si kungoja watoa copy na wanunuaji wa vifuto.
Tofautisha stationary na stationery! Ni vitu viwili tofauti, jitahihid utofautishe then uje uchangie tena hapa
 
Sawa kabisa hongera kwa kuwa na businesses plan nzuri(mawazo biashara)katika mikoa miwili tajwa happy juu Kati ya PWANI&DAR ES SALAAM nikweli inatofautiana kibiashara kwa mfano,Mkoa wa PWANI Ni mzuria sana kwa stationary business rather than mobile business kwa mantiki ya kwamba watu wengi hawapendi kumove unlike DAR ES SALAAM biashara ambayo inaenda kwa wingi ni Kama vile nguo hasa madera sunajuaga Tena Mambo ya PWANI,samaki maana hakuna kabisa samaki,Nazi pamoja na kilimo Kama kilimo biashara,LAKINI kwa DAR ES SALAAM mobile business Ni nzuri sana kuliko satationary business unlike PWANI kwasababu watu wanapenda sana kuorder/kufanya tender hili waweze kupata profit na biashara ambayo Ni favorite Ni Kama vile biashara ya mchele,pamoja na umachinga hasahasa ukiwa na flem ya kueleweka
NENDA KAFANYE BIASHARA LAKINI NAKUSHAURI HASA PWANI KULIKO DAR ES SALAAM
asante mkuu kwa ushauri mzuri na analysis komavu
 
Unapatikana wapi mkuu ili tuje kukutembelea. Dondosha contacts zako hapa

QUOTE="G.Jacob, post: 27598406, member: 163682"]Kama kweli upo unahitaji kufanya hiyo biashara Nitafute nikuuzie vifaa vyangu...mm nimefunga rasmi tarehe 10/7/2018
1.Photocopy machine---ir2016 canon hii ina duplicate kabisa yenyewe
2. Printer zipo tatu
-hp color laserjet CP3525dn
-epson L800
-hp laserjet hii ni black and white
3. Generator moja aina ya Dubao lina 3.5KVA
4. Camera moja aina ya Sony 20megaPxl pamoja na stand yake
5. Lamination machine mbili
6. Binding machine moja
7. Stapler kubwa na ndogo
8. Punch kubwa na ndogo
9. Laptop moja---hp probook 6450(core i3)
10. Meza kubwa moja ina droo 3
11. Kiti cha watu 2---cha kukalia wateja na kimoja cha kuzunguruka kwa ajili ya mtendaji kazi.
12. Desktop computer set moja aina ya Lenovo display yake ni 20 inch
13. Mzigo upo wa 1.2mil (namaanisha materials kama pen, pencils, daftari, counters, makers, Stapler, ink, n.k)
14. Shelf zipo za vioo unaweza hamisha

Nataka mil.8 tu kwa vitu vyote hivyo ila siuzi kimoja kimoja.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom