Bible Vs Science: Je ulimwengu una umri gani?

Quran pia imesema dunia imeumbwa kwa siku sita lakin limetumika neno sitat-ayaam kumaanisha kipind kirefu sio siku sita kama zetu...lakin pia kwa mujib wa Quran kabla ya wanadamu waliishi majin dunian kwa muda mrefu na wakamwaga damu Mungu akapitisha chukizo lake na dunia ikakaa kipind kirefu ndio akaamua kumuumba kiumbe cha kuja kuingoza dunia...so dunia ina umri mrefu...!

Labda kama hoja ni umri wa binadamu na sio umri wa dunia..! Sababu kuna ushahid dinosor kuish hapa mamilion ya miaka ba mifupa yao ipo
 
zetu...lakin pia kwa mujib wa Quran kabla ya wanadamu waliishi majin dunian kwa muda mrefu na wakamwaga damu Mungu akapitisha chukizo lake na dunia ikakaa kipind kirefu ndio akaamua kumuumba kiumbe cha kuj

1. Nani aliiyaona hayo majini?

2. Na kama hakukuwa na wanadamu wakati hayo majini yanamwaga damu, hiyo damu ilitokea wapi?

3. Na damu hiyo ni ya viumbe gani?
 
1. Nani aliiyaona hayo majini?

2. Na kama hakukuwa na wanadamu wakati hayo majini yanamwaga damu, hiyo damu ilitokea wapi?

3. Na damu hiyo ni viumbe gani?

Naona umeni quote kimakosa. Kuna hoja yangu hujaijibu huko juu. Nasubiri majibu.

Kumwaga damu ni kuuana,haijalishi damu kihisia zitoke au zisitoke.

Kaka mbona unafikiri kitoto sana aisee,unaweza kunithibitishia ya kuwa majini hawana damu ki maana ?
 
Naona umeni quote kimakosa. Kuna hoja yangu hujaijibu huko juu. Nasubiri majibu.

Ukiona sijakujibu maana yake nimedharau Maswali uliyoniuliza. Hivi wewe binafsi hujagundua kwamba umeuliza illogical things? Vyote ulivyovitolea mfano ni vitu vinaonekana na practise yake hutoa matokeo Yale Yale sehemu yoyote duniani. Sasa tupatie kanuni za "Uchawi" ambazo watu wakifundishwa watafikia matokeo Yale yale dunia nzima.
 
Nashauri tu katika uumbaji wa dunia na sayari kwa ujumla msiweke Biblia kabisa kwa sababu watu wanatoa awkward translations.
Mfano uumbaji kufanyika ndani ya siku sita, hii ni definition ya kimungu na hizo siku za kimungu sio gregory format wala sijui format gani vile. Tuite tu ni format ya Mungu ambayo katika kitabu cha Peter anasema siku moja ni sawa na siku elfu na siku elfu ni sawa na siku moja kwa Mungu. Nachotaka kusema hapa ni hii hakuna mtu duniani anayeweza kutafsiri au ku convert zile siku sita katika siku zetu za leo. siku sita inaweza kuwa sawa na siku zetu bilioni hata 10, najaribu kuwa aloud tu!
Na ndio maana Mtumishi Mwakasege anasema hizo siku za uumbaji kwenye chapter one ni spiritual days na ule uumbaji wote ni spiritual creation. Chapter 2 ndio uumbaji wa mwili ulifanyika. Kuhusu kuumbwa kwa dunia Biblia haikusema chochote hata kwenye zile spiritual days yaani day 1 to 6 hakuna sehemu inasema kuhusu uumbaji wa dunia.

Mwanzo 1: 1-2; Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia. 2 Dunia ilikuwa bila umbo, na ukiwa, na giza lilikuwa juu ya uso wa kilindi cha maji; na nguvu za utendaji za Mungu zilikuwa zikienda huku na huku juu ya uso wa maji.
Ktk verse 2 hii inalandana na tafiti za kisayansi ambazo zinadai dunia ilikuwa na bara moja lililoitwa Pangea ambayo ilikuwa ni mwamba mtupu bila maji. Maji yalikuja baadaye sana.
Huu muda ambao Mungu aliumba Mbingu an Dunia haikusemwa ni muda gani. Uumbaji ambao uko narated kwenye verse 3 ni wa Mwanga ambao ndio wa kwanza kwenye series ya siku sita. Ukitaka kuwa realsitic zaidi nashauri kutumia findings za kisayansi maana hizo zina ushahidi mtu akitaka kuliko hizi za kwenye maandiko ambazo kila mtu huja na tafsiri yake
 

Nacheka sana,hapa ni lile tatizo la mtu kujiona anajua wakati hajui.

Sasa mtu huujui Uchawi ni nini halafu unakataa kwamba Uchawi sio elimu,ajabu mtu huyo huyo anauliza aelezewe au apewe kanuni za uchawi.

Ajabu ilioje ni wewe kushindwa kujibu maswali yangu kwa kisingizio cha kuyaita maswali ya kipuuzi na humo ndipo elimu ilipo mili.


Maswali yangu hayo ni ya kielimu na yamejikitaka katika maan na matokeo ya elimu.

Huwezi kusonga ugali bila kuwa na elimu ya kusonga ugali,matokeo ya ugali yamo katika masharti na mazingira au nguzo na ndivyo ilivyo kwa mtu kupasua nazi njia panda haya ni matokeo ya elimu yaliyofungamana na masharti.

Sasa kama mambo ya elimu na misingi yake hujui bora zaidi kuuliza.
 
Wanaangalia umri wa bodies kongwe zaidi kwenye universe pamoja na rate ya expansion ya universe
Mkuu,
Kwa kuwa umeshindwa kuniambia kifaa au technology ya namna ya kupima umri wa Solar Nebula kama walivyogundua umrii wa Dunia kwa kutumia Radiometric dating na kugundua Dunia ina 4.5B years. Hiyo 13.8Bilion years haina scientific exeperimental fact yoyote zaidi ya kutumia speculation na hypothesis.
Hoja yangu ni kuwa Dunia pamoja na hizo nebula na universes kwa ujumla vimepatikana kutokana na Explosion ya Big Bang ya Mwanzo kama Qur'an Takatifu inavyoonyesha.
Tukichukulia mfano mdogo wa FATAKI: Unapofyatua fataki hupatikana mlipuko mkubwa. Then viji-paticles huendelea kulipuka lipuka mpaka mwisho wa milipuko. Na vyote hutokea Makati mmoja.

Kwa hiyo ni wazi kusema: SI UNIT ya wanasayansi ni Qur'an!.
 
Nimekujibu kihoja baada ya kugundua chuki iliyonayo juu ya Uislam, Muhammad, Malaika na Allah. Uliyoyasema hayafanani na intelligent being ambaye anafanya analysis based on facts.

[Ninyi ndio basi wagonjwa mliofukamia uji na mkavimbewa. Biblia waachieni wenye nayo. Ninyi endeleeni tu na matangopori ya Muhammad madhali wanaume wazima mliamua kudanganywa kiasi kile.Ukitaka kufahamu Muhammad alikuwa hajitambui au anaongea nonsense na bado hajui kama ametapika ujinga,fikiria eti kuna wakati Jibrili aliacha kushusha Wahyi kwa wiki kadhaa na baada ya kujiuliza imekuwaje ndio akagundua Mbwa amefia chini ya Kitanda!]

Nikakujibu:
[(Sahih Muslim 5246: Aishah said: Jibril (Gabriel) made a promise with the Messenger of Allah to come at a definite hour; that hour came but he did not visit him. There was a staff in the hand of the Messenger of Allah. He threw it from his hand and said, "Never does Allah back out of His Promise, nor do His messengers." Then he noticed a puppy under his bed and said, "O 'Aishah, when did this dog enter?" She said: "By Allah, I don't know." He then commanded that it should be turned out. No sooner than had they expelled it, Jibril came and the Messenger of Allah said to him, "You promised to visit me. I waited for you but you did not come." Whereupon he said: "The dog kept me from coming. We do not enter a house in which there is a dog or a picture.”

MATANGO PORI:
Khadija au AISHA??
Mbwa Mfu au MBWA HAI??
Wiki Kadhaa au MASAA KADHAA??
Malaika wanaogopa au HAWARUHUSIWI??)]

Hiyo ni Historical facts - true narrations based on best collections of ahadith.
Sasa kwa post yako na chuki uliyomezeshwa vinakukosesha credibility ya kuzungumzia Uislam katika tafakuri iliyo sawia. Unapwaya sana katika tafiti hasa upande huu. Weka chuki pembeni, baki na akili yako halafu ulete mada tuzijadili.
Kuhusu vifungu ulivyotaka nivisome, nimevisoma mara mara tatu. Sina cha ku-comment kwa sababu sioni sana kama yale maandishi ni ufunuo. Na kama ni ufunuo, inaonekana uliwafaa watu wa wakati ule.

Na Amani iwe juu ya wataofuata uongofu!
 
asante kwa Maelezo mazuri mkuu.
Kwanza nashukuru kwa kutambua kuwa zile zilikuwa ni siku sita za kawaida kama hizi za leo 24Hrs.
Wakosoaji wa Bibilia wanatabia kuu moja ya kutaka kuhitimisha hoja kupitia kifungu kimoja hata kama mahala pengine pameweka usawazisho.

Nakubaliana na wewe kunauwezekano kukawa na sintofahamu kuhusu sehemu Ya Kwanza, Hujatoa ufafanuzi wa Uelewa ninaoupata kutoka katika Bibilia kuwa Mungu aliyeumBa Baadaye anasisitiza Alifanya Yote Siku sita tu. Kwa Maneno na Maandishi. Hapa sijaona unapazungumzia mkuu wangu.

Pia Unakubaliana na mimi kuwa hata wewe hujui Muda aliotumia kutoka Mwanzo 1:1 hadi link na zilie flow za siku?
Maana anaweza Kufanya kwa Sekunde nne, Au ndani ya masaa ya Siku Moja au Mamilioni Ya Miaka. Kwa Nini Tusiamini Ufafanuzi wake Yeye aliyeumba kuwa Yute yalifanyika kwa Siku Saba?
Kwa nininTuingize hekima za Wapinga Mungu na Uumbaji katikati ya Mahala ambapo Mungu ameshafafanua?

unaweza kumwaga uelewa zaidi mkuu
 
mkuu naona hujasoma kwa umakini nilichomaanisha.

'' 1:anasema bibilia imekuwa coded, lkn katika decoding au kuzisimbua hoja zilizokuwa coded kwenye bibilia anatumia nadharia za kisayansi. Je Bibilia haina uwezo wa kujing'amua yenyewe?
Mfano hizo tunazoita codes za kitabu cha mwanzo na Torati, Yesu aliwalaumu marabbi na mafarisayo kwa kushindwa kuziona zikimuelezea yeye. Alipoquote Mwanzo na matukio yake Yesu alitafsiri literally. Je Yesu alitenda dhambi kwa kuwalaumu wale jamaa kushindwa kuelewa mambo ambayo kumbe yangesubiri sayansi ndio yaeleweke?
Nini nafasi ya Roho mtakatifu katika decoding maana inaonyesha hapo msaada wa sayansi ndio wenye nguvu. ''

:::::::::
Nimejaribu kuwa specific Kuhusu MWANZO na VITABU VYA MUSA au TORATI,
Sijamaanisha Bibilia haina mafumbo, Maana naamini Ufunuo, Naamini Daniel na Parable za Yesu.
Nimekuwa specific Nikihitaji hizo Code za Mwanzo na Vitabu Vya Musa speciffically kwa hiki tunachokijadili.
Nimekuwa hivyo makusudi kabisa wala sio bahati mbaya kwa sababu kuu mbili.

1: Binafsi naamini Zile ni historia halisi wala sio mashahiri au tungo vificho.
2: Wengi humu wameendelea kutoa kauli hiyo bila kusema code zenyewe ni zipi kuhusu mwanzo.

Mkuu nadhani hapa tunaweza kuendelea kualika watu au kama wewe pia kusaidia kidecode huo uumbaji ili ukidhi nadharia za milioni 4. ambayo siiamini.
 
asante kwa maoni mkuu.
1: Kama unafuatilia vizuri maelezo ninayotoa. Sijasema kuwa Kwa sasa inamiaka 6000 kamili. Nimesema na nitaendelea kusisitiza takribani au angalau miaka 6000. Nimesema pia huyo jamaa sikubaliani nae kwa kuweka specific date and month and Year, maana hata katikamzile genealogy za mwanzo kunaweza kuwa na gaps ambazo hazijazungumziwa.

2: Hadi sasa tumeshasema wale wa Milioni hawana accuracy 100% zapo mimi nasema sio tu ni ERROR hiyo ni BRANDER /MISTAKE ila hii ya around 6000 ni ERROR ina+- kadhaa. Ila haiko mbali na ukweli ambao Bibilia imesema. Na ubora wake unathibitishwa na Bibilia sio wanascience na vifaa vile ambavyo hadi sasa sijapata maelezo yanayopinga ufyongo wake.

3: Bibilia haijatoa tarehe na Siku, Wala mfumo wa kalenda hauko compulsory dunia nzima ya wakati wake. Ila Fact ni kwamba Mungu aliwafahamisha watu aliowachagua kumuawakilisha kuhusu matukio yale. Pia Kumbukumbu za Uzao tangu Adamu (Siku chache Baada ya Uumbaji) na Umri wao kwa mtiririko unaoweza kutupa haja ya kuukokotoa umri wa dunia ziliambatanishwa na taarifa zile. Na taarifa zile sio nadharia au mafumbo bali ni Vitu halisi maana Mungu mwenyewe amevirefer kama vitu halisi, Yesu Muumbaji amevirefer kama Vitu halisi, Wanafunzi wa Yesu wamerefer kama Vitu halisi. Pia Kumbuka maandishi yale Yalikusudiwa yasomwe na kukaririwa hadi ma watoto wadogo, malyman sio scholers (Kumbu 6).
Kwa misingi Maoni yangu ni kwambanJuhudi za kuhusianisha Cosmic evolution na Divine creation Bila tahadhari za bibilia ni kUtaka kuuamisha Ukristo ma kuupelekea kuwa atheism.
 
asante kwa maoni mkuu.
1: Kama unafuatilia vizuri maelezo ninayotoa. Sijasema kuwa Kwa sasa inamiaka 6000 kamili. Nimesema na nitaendelea kusisitiza takribani au angalau miaka 6000. Nimesema pia huyo jamaa sikubaliani nae kwa kuweka specific date and month and Year, maana hata katikamzile genealogy za mwanzo kunaweza kuwa na gaps ambazo hazijazungumziwa.

2: Hadi sasa tumeshasema wale wa Milioni hawana accuracy 100% zapo mimi nasema sio tu ni ERROR hiyo ni BRANDER /MISTAKE ila hii ya around 6000 ni ERROR ina+- kadhaa. Ila haiko mbali na ukweli ambao Bibilia imesema. Na ubora wake unathibitishwa na Bibilia sio wanascience na vifaa vile ambavyo hadi sasa sijapata maelezo yanayopinga ufyongo wake.

3: Bibilia haijatoa tarehe na Siku, Wala mfumo wa kalenda hauko compulsory dunia nzima ya wakati wake. Ila Fact ni kwamba Mungu aliwafahamisha watu aliowachagua kumuawakilisha kuhusu matukio yale. Pia Kumbukumbu za Uzao tangu Adamu (Siku chache Baada ya Uumbaji) na Umri wao kwa mtiririko unaoweza kutupa haja ya kuukokotoa umri wa dunia ziliambatanishwa na taarifa zile. Na taarifa zile sio nadharia au mafumbo bali ni Vitu halisi maana Mungu mwenyewe amevirefer kama vitu halisi, Yesu Muumbaji amevirefer kama Vitu halisi, Wanafunzi wa Yesu wamerefer kama Vitu halisi. Pia Kumbuka maandishi yale Yalikusudiwa yasomwe na kukaririwa hadi ma watoto wadogo, malyman sio scholers (Kumbu 6).
Kwa misingi Maoni yangu ni kwambanJuhudi za kuhusianisha Cosmic evolution na Divine creation Bila tahadhari za bibilia ni kUtaka kuuamisha Ukristo ma kuupelekea kuwa atheism

IBRAHIMU
1: kama umenisoma kuwa sio exactly miaka 6000 na sijawahi kusikia hata anayeamini uumbaji wa siku sita anasema ni exactly miaka 6000. Ila ni around. Ila sio mamilioni maana umri wa Adam na uzao wake uko wazi.

2: Sio Kweli Ibrahimu alizaliwa Tera akiwa na miaka 70. Bibilia inasema ilipofika miaka 70 ndipo Tera akaanza kuzaa na akazaa watoto watatu. Kwanza ni illogical kuzaa watoto watatu wasiolingana kwa mwaka mmoja huku mimba huwa ni miezi tisa. Na uzao wa tera haukuwa wa kimuujiza. Kuanzia hapo ndipo alipoanza kuzaa hivyo inawezekana ibrahimu alizaliwa tera akiwa na miaka 130, Maana hata hivyo huo mpangilio hautupi ushahidi kuwa nani alianza nani alifuata.
Kwa mtazamo wangu wote mwandishi wa Mwanzo na Wa Matendo wako sahihi.
 
kwahiyo dunia iliumbwa kwa siku ngapi,au haikuumbwa,au ilijiumba,au mungu aliikuta
 
acha siasa mkuu. eleza hizo siri.
Kwani wakati Mungu aliyeumba alipowaambia siku sita (24hrs) wafanye kazi kwa sababu na Yeye alifanya hivyohivyo katika kuumba, wewe ni nani hata ukachimbue maana ya neno YOM uache ile inayomaanisha Siku 24hrs ujichagulie ya day age.

Mkuu usijitaabishe na mambo ambayo maandiko yako wazi.
Pia tusiamini kila sayansi. Sayansi Inapaswa kuipigia magoti Bibilia ili ipate kibali cha kushadidiwa na wafuasi wa Mungu Muumbaji wa dunia kwa siku sita.
ukiona jambo sayansi inakinzana na Kauli za Mungu, kauli ya Mungu inapaswa kubaki kuwa na Ultimate authority.
 
universe inawezekana ikawa na umri mrefu zaidi na dunia pia yaweza kuwa na muda mrefu labda swali ni muda gani viumbe hai vilianza kuishi duniani, kwa mfano bibilia inasema dunia ilikuwa utupu tena ukiwa na roho wa mungu ikatulia juu ya vilindi vya maji,kwa hyo dunia ilikuwepo.
 
mkuu sio ussher ni Mungu ndie anasema aliumba dunia kwa siku sita.
Labda hapo ipaweke sawa kuwa Mungu alimaanisha nini? siku sita lateral days au mamilioni ya miaka kwa mujibu wa wanasayansi wasioamini uwepo wake na uumbaji wake huu tunaoujadili.
 
mkuu nimesoma maelezo yako kuna mahala yananitaka nitoe maoni.

1:Sichanganyi bibilia na Tafiti na sayansi carelessly. Ila niko specific Sayansi kwa sababu inaexplore kazi nzuri aliyoifanya Mungu bila kujali kama Yupo au hayupo. Naunga mkono mavumbuzi yoyote ambayo yatakuwa yanaumana na maelezo na Kauli za Mungu.
Nimetoa Mfano Mwanasayansi akisema Hakuna Tofauti kati ya mwanamke na mwanaume ktk mambo ya ndoa kwa utafiti. Nitamwambia Mungu aliumba Mwanamke na Mwanaume watu wawili wenye jinsi tofauti ili waoane kizazi kiendelee. uvumbuzi wowote nje ya Hapo ni uzushi sio ukweli hata kama umefanywa na NASA.

2:Sitaki Bibilia Ithibitishe Mambo ya Kisayansi, Ila naamini Misingi iliyowekwa na Bibilia ni hai na kanuni zake ni halisi. Wanapoendelea Kuvumbua mambo ya Mungu ambayo wengi hawamuamini wanaweza kutumika pia kupotosha baadhi ya fatcs kwa mgongo wa Sayansi. Mimi wa Bibilia ninapaswa kuendelea kukosoa na kuunga mkono vile ambavy bibilia imeviweka wazi hata kama vikigunduliwa na Jini au Mwanasayansi mwenye Mashetani.

3:Kwa Sababu mimi mtu wa Imani naamini, Wanasaynsi hawaumbi, Bali wanachunguza kile kilichoumbwa, Reasonig na logic zao zikidivert kwenye Biblical evalasting principles tunawapinga, Zikiunga mkono tunawapongeza. Ila pia kwa sababu hakuna uvumbuzi ambao hata wenyewe kwa wenyewe hawapingani kuanzia theory zote hata haya mambo ya Global polution kuna kikundi cha wanasanyansi zaidi ya 30 wamewambia wenzao kuwa ni myth zinazotengenezwa hazina uhalisia. Mimi ambaye nimesimama katika evalasting principles lazima nifanye creative biblical based conclusion sitakiwi kuelewa kama wao. Pia assumptiom ndio uti wa mgongo wa scientific experiments nyingi hivyo assumption sio facts. Mfano kwenye dating. Inabidi uassume constants flani huwa hazibadiliki hata kama hauna ushahidi huko nyuma hazikubadilika. Wakikubaliana hata kwa kura inabidi iwe hivyo mkuu. Na kwa sababu wao wanabadilikabadika wewe wa Bibilia inakupasa Kusimama katika solid foundation ili ikitokea wamekuja kwako unasema amina, iktokea wamedivert watu kutoka kwenye solid biblical principles unaonya umma, atakye amini kwake itakuwa heri.

3: Yule namdai Vifungu kwa Sababu hoja zake anatumia Bibilia, ila akitaka kufanya conclusion anatumia sayansi, mimi nampa biblical verse aitolee uafafnuzi kwa mujibu wa conclusion yake ya kisayansi na imani ya bibilia anayoitumia.

4:Hoja zangu sio watu wa Imani wasome Sayansi, Ila wawe kama wale vijana wa kiebrania kule babeli. Sayansi iwe chini na isiwe authoritative kwenye maisha yao. Sababu ni Kubwa Bibilia Iko mbele ya sayansi hata wewe umesema. Mungu anaweza hata kukupa mafunuo ya Kisayansi bila tafiti ikiwa anaona kuna haja. Ila Darasani tutaingia maana kuna mambo mengi yanafanya tuzidi kuappreciate creative power ya Mungu katika Sayansi. Ila umakini mkubwa unapaswa kuwepo usije kutumia kila scientific conclusion kuwa above biblical facts, Utaishia kuwa atheist. Ndio maana wale vijana walisoma vyuo vikuu vya huko babiloni na sayansi zao za kimesopotamia ila imani kwa Mungu na Kauli yake haikuyumbiswa. Aduni mkuu wa Neno la Mungu katika dunia hii mkuu sio shetani tu bali ni Rationalism. Kutaka Kurationalize kauli za Mungu na kuzweka kwenye mizaninya kisayansi au kuzirahisisha. Conclusive statement inakuwa rational. Wengi wamemuacha Mungu Baada ya kudumbukia kwenye shimo hilo.


maoni haya wenda ukapata changamoto zaidi.
Kuhusu huu mjadala, Hitimisho kila mtu atabaki nalo, maana sio wa JF ni global, wachungaji, wasomi, wanasayansi wanabishana na kila siku nadharia zinaibuka nyingi. Kama mtu hana nanga kwa lolote atapelekwa na kila upepo uvumao na kila uelekeo. Ila kuhusu Imani Kwa Mungu sio mpango wa Mungu watu wake wayumbeyumbe kadili upepo wa sayansi hasa ambazo ziko powered na atheists unavyoyumba.

Watu wa Bibilia hawapaswi kussupport Science Ignorantly. tallying na mambo ya Bibilia ni jambo jema sana katika kupata mwelekeo sahihi. Kwa Sababu Sayansi na Dunia inayochunguzwa Vitakoma, Ila neno la Mungu Litadumu milele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…