Misale ina mlolongo wa ki liturjia na inaweza kutumika kuongozea ibada. Katekisimu ni nyenzo ya mafunzo (training manual) ya kuijua imani ya kanisa Katoliki. Mafunzo yake ni mfumo wa maswali na majibu (yanayohusiana na kuijua biblia na mafundisho ya kanisa).hayo ndiyo majibu yanayotakiwa kutolewa, swali endelevu, je hiyo misale ndiyo liturjia au katekisimu, fafanua na hapa kwa weledi tujue
Nipe andiko linalokataza UNYWAJI WA POMBE .Ni tofauti mkuu wakatoliki walikubali na vitabu vingine ambavyo vinakubaliana na mafundisho yao mengine ya uongo kama kuwaombea wafu, ibada za sanamu, unywaji wa pombe nk ambayo kwenye vitabu vilivyokubaliwa na wengine vile 66 haviyakubali ndiyo utaona biblia yao ina vitabu kama wamakabayo, sira nk
Kasomehata hivyo wakatolik, hawaamini katika biblia peke yake, wanaamini pia katika tamaduni,pia wanaweza kutunga jambo lao na ikawa hivo
mfano ubatizo wa watoto wachanga. biblia inasema unatakiwa kuamini kwanza ndo ubatizzwe wao wanasema siyo lazima
hii nayo mpya😂🤣😅Author wa Bible ni Holy Spirit na Catholic Church. Whoever against the Mother Holy Church is against Jesus himself. Sasa hutaki sawa ....
pombe haina shida mkuu piga tu kisha ujiendee zako kanisani . by padre mutashobyaNipe andiko linalokataza UNYWAJI WA POMBE .
Kwamba leo ndiyo utakubali kuwa uliongopa wakati kwenye uzi wenyewe ulikataa kuongopa hata pale ulipoombwa ushahidi ukawa huna!!.Mkuu let the caged bird sings
unaweza kuweka uongo niliosema Kuhusu Arius na baraza la Nicea ningefurahi pia na mimi Kuuona..
Daima Nachukia Uongo na ndo maana Mara nyingi narekebisha Uongo kwa kutumia Facts sana sana Uongo ulionezwa na Dini Ili kuziba Maovu yake..
NAsubiri nione uongo wangu na ikiwezekana Niombe msamahe hadharani kwa Thread kabisa kila mtu ajue nilidanganya na nitaomba radhi..
Shukrani Sana mkuu nasubiri!
Nipe andiko linalokataza UNYWAJI WA POMBE .
Mimi na wewe nani anadanganya??Kwamba leo ndiyo utakubali kuwa uliongopa wakati kwenye uzi wenyewe ulikataa kuongopa hata pale ulipoombwa ushahidi ukawa huna!!.
So, far hakuna mkristo asiyajua hiki unachoandika hapa the same way hakuna muislamu hasiyejua kulikuwa na Surah 200 lakini zingine ziliondolewa zikabaki 73.
Na Waislam wanamaaelezo juu ya hizo sura zilizoendolewa the same way wakristo wanavyoeleza.
Binafsi toka siku ile nilikuweka kwenye kundi la Waongo, chochote utakachoandika nitakitilia mashasha unless nikichunguze mimi mwenyewe.
Una haki ya kuandika chochote, so far kule kwenye uowngo wa nicea na arius hakutoa ushahidi pale ulipoombwa kufanya hivyo.Mimi na wewe nani anadanganya??
Mkuu Kiswahili Kinakuchanganya mahali?
Nimesema Leta Ushahidi wa Mimi Kuongopa (Kwa sababu nina hakika hakuna Kitu hata kimoja ninachoongopa Linapokuja swala la Theolojia)
na sehemu ipi nimeombwa ushahidi nikawa sina???
Mkuu Uongo wako Umekithiri Tena sana Naujua Uislamu
Hakuna Sehemu Muislam Anasema kulikuwa na Surah 200 😅😅
Zikapunguzwa mpaka 73..
Kwanza Quran Ina surah 114 na sio 73 ..
Na hakuna Maelezo ya sura kupungua mahali popote kwa sababu hakuna mahali muislamu anaamini sura Zimepunguzwa..
Mkuu Leta Ushahidi Kunipa Tetesi Zenye uzito kama hizo nahisi Ni hasira uliyo nayo juu ya Mimi kufunua Ukweli ambao wengi wanatamani Watu wasijue..
Kama ni hilo Utaendelea Kuumia sana kwa sababu bado safari ni ndefu Pale Ambapo kutakuwa Kuna uongo.sito sita Kuweka ukweli..
Na nakutakia Maumivu mema Pale utakapouona Ukwli Mkuu Alethophonia Is real Disease Nowdays ,People are getting sick
Utofauti niujua kwa uhakika ni idadi ya vitabu. Wakatoliki tuna vita 72 wakati wengine wana vita 66. Kuhusu maneno, yes, tofauti ipo ingawa maana kwa sehemu kubwa imebaki ile ileNayasema haya ni kutokana na kukutana na biblia ya ndugu yangu ambae ni mkatoliki, sasa wakati naisoma nikaona mbona inautofauti.
Utofauti nimeukuta kwenye baadhi ya vifungu ndani ya biblia, japo unakuta maudhui yako sawa ila maneno yanatofautiana.
Mawazo yangu(nikafikiri au ndo zile habari nilizozisoma za Martin Lutter!)
Embu kwa wajuvi wa mambo kujeni mnieleweshe.
Asanteni!
Chukua biblia ya catholic huwezi kuta jina Yehova ila zingne lipomkuu ungetoa mfano wa hivo vifungu vilivyo tofauti
kumfuata yeye si kunatokana na maandiko ya biblia?Wapo wanaoamini vitabu vimeongezwa na wapo wanaoamini vitabu vimepunguzwa sasa basi mkweli ni yupi?
Ukweli ni kwamba dini zimeanzishwa na watu hivyo ni ujinga sana kuamini kuwa dini ziko sahihi kwa asilimia mia. Haipo dini iliyokamilika, zote zinalenga maslahi binafsi.
JESUS CHRIST aliishi kama mfano tumfuate, hiyo ndio njia ya kweli na uzima. ndo maana hata dini zilizokuepo kipindi kile zilimpinga.
Binadamu ni kiumbe mharibifu sana, wachache wanamaarifa wanapotosha wengi, epuka kuwa kundi la wengi.
”watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa”.
ni kweli baadhi ya maneno ni tofauti ila maana ya maneno ni moja, nadhani nikutokana na biblia kutafsiriwa.Utofauti niujua kwa uhakika ni idadi ya vitabu. Wakatoliki tuna vita 72 wakati wengine wana vita 66. Kuhusu maneno, yes, tofauti ipo ingawa maana kwa sehemu kubwa imebaki ile ile
Hakuna palipokatazwa unywaji wa pombe ni ushauri tu!1 Wakorintho 6:9-10 BHND
Au je, hamjui kwamba watu wabaya hawataurithi ufalme wa Mungu? Msijidanganye! Watu wanaoishi maisha ya uasherati, wanaoabudu sanamu, wazinzi, au walawiti, wezi, wachoyo, walevi, wasengenyaji, wanyanganyi, hao wote hawatashiriki ufalme wa Mungu.
Mit 23:29 SUV
Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na jeraha zisizo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu?
Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo;
Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.
31Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu;
Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu;
32Mwisho wake huuma kama nyoka;
Huchoma kama fira.
33Macho yako yataona mambo mageni;
Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.
34Naam, utakuwa kama alalaye katikati ya bahari;
Au kama yeye asinziaye juu ya mlingoti.
35 Utasema, Wamenichapa wala sikuumia;
Wamenipiga wala sina habari;
Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.
Binafsi sipigi, ila siyo kwa sababu eti imekatazwa kwenye maandiko ni UONGO mtupu ni sheria za makanisa yao ambayo si mbaya isipokuwa WAKATAZANE WAO wenye taratibu hizo.pombe haina shida mkuu piga tu kisha ujiendee zako kanisani . by padre mutashobya
kwahiyo hapo panaposemwa walevi hawaendi mbinguni hujapaona, unasema ni ushauriHakuna palipokatazwa unywaji wa pombe ni ushauri tu!
Mf " ni wale wakaao sana kwenye ulevi "
Wanaokaa kidogo je?
Nipe jibu
Mvinyo ninini ? Na divai ni nini?
Kilichobarikiwa pale kwenye harusi ya KANA ni nini?
Ujinga si kosa Kisheria wala dhambi ila jitahidi uufiche unapokuwa mbele za watu!Una haki ya kuandika chochote, so far kule kwenye uowngo wa nicea na arius hakutoa ushahidi pale ulipoombwa kufanya hivyo.
Sikuwa na nia ya kufufua huo Uzi,nilitaka kukumbusha kuwa hapa JF kuna watu wanakuona wewe Muongo.
Nb:- mnapoandika Profile zenu na kuzipa majina ya kielimu muwe[ga] mnakuwa specific ni Elimu gani mliyobeboa.
Unaona sasa mimi ninakuulizeni maswali generally bila kujua unaelimu nayo ama huna.
wewe uliyeujua uislam kwa kuletewa ndiyo unasema Quran ipo complete ila mke wa Muhammad anasema tofauti.
AL AZAHB sura 30 anasimulia kwamba" Aysha Said that we're more 200 verses Surah and now have only 73".
Mimi nimechagua kumuamini mke wa Muhammad na Acha wengine wachague kukuamini wewe maana.
Nayasema haya ni kutokana na kukutana na biblia ya ndugu yangu ambae ni mkatoliki, sasa wakati naisoma nikaona mbona inautofauti.
Utofauti nimeukuta kwenye baadhi ya vifungu ndani ya biblia, japo unakuta maudhui yako sawa ila maneno yanatofautiana.
Mawazo yangu(nikafikiri au ndo zile habari nilizozisoma za Martin Lutter!)
Embu kwa wajuvi wa mambo kujeni mnieleweshe.
Asanteni!
Wagalatia 5:19-21 ” Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyoHakuna palipokatazwa unywaji wa pombe ni ushauri tu!
Mf " ni wale wakaao sana kwenye ulevi "
Wanaokaa kidogo je?
Nipe jibu
Mvinyo ninini ? Na divai ni nini?
Kilichobarikiwa pale kwenye harusi ya KANA ni nini?
Jikite kwenye mada error kwenye namba zangu haziwezi kukusaidia.Ujinga si kosa Kisheria wala dhambi ila jitahidi uufiche unapokuwa mbele za watu!
Disclaimer: Ujinga Sio Tusi ni Status..
Kwanza umekuja na Allegations ambazo mpaka sasa Hunaziprove..
Umeongea nimeambiwa Nitoe Ushahidi kuhusu Arius na Nicaea nikashindwa Nimekuomba ulete huo Ushaidi kwa Zaidi ya masaa Sita Sasa Umeshindwa Kuuleta..
Huu Ni Wendawazimu wa Wazi kabisa (samahani kwa tusi ni kwa sababu tu kuna wakati huwa nashindwa kuvumilia Upumbavu)..
Kingine Kitu kama huna Elimu nacho Ni bora Ukae kimya Dini zote na hata Maarifa yote Hufundisha Hivyo Ni bora uulize utapewa Muongozo ila sio kuzusha kwa maamuzi ya Akili zako..
Kwanza kabisa Mara ya kwanza ulisema Sura zimepungua..
Na sasa unatoa hadithi inayoonyesha Kupungua kwa Aya?
Masahihisho
Inaitwa surah Al-Ahzab na Sio AZAHB kama ulivyoandika..
Ni surah Namba 33 kati ya Sura 114 na sio 30 Kwenye Quran..
Hiyo hadithi japo kuwa matini yake sio sahihi Pia umeikosea Kiuandishi😅😅
Maelezo Hayo uliyotoa Ni maelezo ya watu Yaani hadithi zilizokusanywa Kutoka kwa watu waliosimulia Na sio Maelezo Halisi ya Aisha..
Hakuna mahali Aisha alikuwa anaandika popote..
Sasa Niambie UnaJua kuchambua Hadithi kujua Ni sahihi au sio Sahihi???
Mwanangu!! Vyote ulivyonukuu BIBLIA inatoa ushauri juu ya ULEVI si katazo.Wagalatia 5:19-21 ” Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo
hawataurithi ufalme wa MUNGU.’‘
1 Kor 6:9-10 ”Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa MUNGU? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa MUNGU, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.”.
Warumi 13:13-14 ” Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni BWANAYESU KRISTO, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake. ”