Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Mmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.
Sio kweli

Biblia agano la kale imekuwepo hata Yesu hajaja duniani.Inajulikana kama Jewish Bible.Ipo hadi leo .Na hiyo tumeirith kutoka kwa Wayahufi kama ilivyo na ina vitabu 39.Agano jipya lina vitabu 27

Makanisa yote ya Katoliki ba protestant agano jipya liko sawa kote

Shida ya kutofautiana ni kuwa kanisa katoliki lilichukua Jewish Bible kama ilivyo wao wakaongeza vitabu vingine sita ambavyo havimo kwenye Jewish Bible hivyo vyao sita makanisa mengine yaligoma.Kuwa agano la kale liwe lile la Jewish Bible tu waliyonayo.wayahudi sababu agano la kale liliwahusu wao na wao walitunza hivyo vitabu

Jewish Bible wanayotumia wayahudi waweza kwenda playstore ukadownload bure tu.Kanisa wala halikusumbuka kupata vitabu vya agano la kale vilichukuliwa vyote kwenye Jewish Bible waka copy na ku paste tu.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mitume walikuwa wakristo je walikuwa wakatoliki??
Imeandikwa wapi??
Roman Catholic imeanza Karne ya kwanza na Kiongozi wa kanisa akiwa Mt Petro (Mathayo 16:18). Anahesabiwa kama first pope

Kulikuwa hakuna dhehebu jingine hadi mwaka 1054 wakati the Great schism ambapo kanisa la Mashariki (Orthodox) lilijitenga kutoka kwenye Ukatoliki. Catholic ikabakia Vatican na Orthodox ikawa na makao yake makuu Constatinople (Istanbul ya sasa)

Then mwaka 1521 Martin Luther alijitenga na Ukatoliki.

Anglican ilitokea mwaka 1575 baada ya Mfalme Henry VIII naye akaanzisha Anglican church


Hellen White mwaka 1844 naye akaanzisha SDA

Nao mapentekoste wakatokea kipindi cha great depression mwanzoni mwa karne ya 19
 
Wapi catholic waliandika biblia

Ama kuna kitabu gani kimeandikwa na catholic .

Catholic waliwatunzia wanawamungu biblia wakati mpaka walipokuja

Ama kuna kitabu kimeandikwa catholic kwenye biblia
Ni roho mtakatifu ndani ya watu
Mungu hawajawahi kutumia shirika
Yeye ametumia mtu mmoja mmoja kwa kila wakati.
Wewe bishana tu lakini ukweli ni kwamba kuna kanisa moja tu takatifu la mitume. Hizo zingine ni taasisi tu za ujasiriamali wa biblia
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Roman ndio wapagani namba moja duniani.
Na ndie mpinga kristo kwakupinga biblia anayosema anaiamini.
Na kufanya ibada za sanamu ambazo Mungu alizikataza.
Na kupotosha ulimwengu mzima kwa mafundisho yake
Yeye ni kahaba mkuu mama wa.makahaba aliezaa mabinti(waprostentant) wakufanana nae
Na papa ndie mwenye ile 666 kwakuwa ndilo jina lake lipokwenye kipaji cha uso wake

Biblia inasema ulimwengu mzima umelewa kwa uasherati wake
Na wakuu wa nchi pia
Ni ufalme ndani ya ufalme
Taifa ndani ya taifa

Amechanganyikiwa kwa dhahabu na utajiri wake
Akajipamba kwa mavazi ya dhambarau
Mji wa barabara za dhahabu

Wao wapo radhi wapingane na biblia ili kitetea Mafundisho yao.

Nafsi zao zipo kifungoni
Zinajua ukweli lakini haziwezi kuufuata

Wakajiwekea mtu mmoja mkuu wakambusu miguu.
Na sala za waliokufa badala ya roho mtakatifu kanisani.
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Wewe bishana tu lakini ukweli ni kwamba kuna kanisa moja tu takatifu la mitume. Hizo zingine ni taasisi tu za ujasiriamali wa biblia
Sasa apa anaebisha ni mimi ama ni wewe
Ww unajiongelea bila maandiko yoyote
Wapi Mungu alisema hayo??

Biblia inasema wao ni vipofu na wapo uchi na hata hawajui

Watabisha mpaka asubuh wakibishana na biblia wanayoibeba
 
  • Thanks
Reactions: 511
Mawazo yangu(nikafikiri au ndo zile habari nilizozisoma za Martin Lutter!)

Ebu zilete hizo habari kwanza.
 
Wapi kwenye maandiko petro alikuwa papa

Upapa haupo kwenye biblia nzima
Petro hajawahi hata kukanyaga vatican

Unadhani ungemfanya petro awe ndondocha wa sala za wafu
Ama kusali rozali
Ama kumuomba bikira mariam
Ama kuteuliwa kwa moshi
Ni ushetani.

Na mungu atawahukumu kwa kumfanya
Mtakatifu wake mpagani.

Petro alioa na mkewe Bwana yesu alienda kumponya alipoumwa

Unataka useme alikuwa pope wenu
 
  • Thanks
Reactions: 511
Roman Catholic imeanza Karne ya kwanza na Kiongozi wa kanisa akiwa Mt Petro (Mathayo 16:18). Anahesabiwa kama first pope

Kulikuwa hakuna dhehebu jingine hadi mwaka 1054 wakati the Great schism ambapo kanisa la Mashariki (Orthodox) lilijitenga kutoka kwenye Ukatoliki. Catholic ikabakia Vatican na Orthodox ikawa na makao yake makuu Constatinople (Istanbul ya sasa)

Then mwaka 1521 Martin Luther alijitenga na Ukatoliki.

Anglican ilitokea mwaka 1575 baada ya Mfalme Henry VIII naye akaanzisha Anglican church


Hellen White mwaka 1844 naye akaanzisha SDA

Nao mapentekoste wakatokea kipindi cha great depression mwanzoni mwa karne ya 19
Wapi kwenye maandiko petro alikuwa papa

Upapa haupo kwenye biblia nzima
Petro hajawahi hata kukanyaga vatican

Unadhani ungemfanya petro awe ndondocha wa sala za wafu
Ama kusali rozali
Ama kumuomba bikira mariam
Ama kuteuliwa kwa moshi
Ni ushetani.

Na mungu atawahukumu kwa kumfanya
Mtakatifu wake mpagani.

Petro alioa na mkewe Bwana yesu alienda kumponya alipoumwa

Unataka useme alikuwa pope wenu
 
Wewe bishana tu lakini ukweli ni kwamba kuna kanisa moja tu takatifu la mitume. Hizo zingine ni taasisi tu za ujasiriamali wa biblia
Mama mkuu wa ujasiria mali ni catholic

Kwakuwa mungu hakulipa kanisa jukum lakujenga shule na mahospitali.
Na miradi na mashamba na kulima na kufuga
Na bima za kanisa

Mungu alilipa kanisa kazo ya kuhubiri injili kwa kila kiumbe popote ulimwengiuni

Hawa wajasiriamali wametoka wapi??
Kwa mama yao
Biblia inasema yeye ni mwanzilishi na angezaa binti wakufanana nae

Na mabinti zake nao wakaiga kile kile mama yao anachofanya bila kujali walitoka kwake
 
  • Thanks
Reactions: 511
Sasa apa anaebisha ni mimi ama ni wewe
Ww unajiongelea bila maandiko yoyote
Wapi Mungu alisema hayo??

Biblia inasema wao ni vipofu na wapo uchi na hata hawajui

Watabisha mpaka asubuh wakibishana na biblia wanayoibeba
Mathayo 16:18
 
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu. Na hivyo vitabu vilikuwepo kabla ya Katoliki.
Hivyo, siyo kweli kwamba Katoliki ni mmiliki halisi
Ukristo ulianza kabla ya uroman

Upagani huu ulikuja baada ya kufika rumi
Wakaingiza kwenye ukristo mafundisho ya kipagani waliyokuwa nayo

Kama ibada za wafu,rozali,miungu mitatu. Na mengine mengiii
 
Wapi kwenye maandiko petro alikuwa papa

Upapa haupo kwenye biblia nzima
Petro hajawahi hata kukanyaga vatican

Unadhani ungemfanya petro awe ndondocha wa sala za wafu
Ama kusali rozali
Ama kumuomba bikira mariam
Ama kuteuliwa kwa moshi
Ni ushetani.

Na mungu atawahukumu kwa kumfanya
Mtakatifu wake mpagani.

Petro alioa na mkewe Bwana yesu alienda kumponya alipoumwa

Unataka useme alikuwa pope wenu
Hata kama hupendi ila huyo ndiye Pope wa kwanza wa Roman Catholic
 
Mathayo 26:18
Mathayo 26:18
[18]Akasema, Enendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.



Sasa hii ndo imeongelea nini kuhusu petro kuwa papa
Huwezi kumpata mtu mmoja kwenye biblia aliepewa cheo cha papa ama baba mtakatifu

Na yesu alisema msimuite mtu yyt baba wa namna io enyi wanafiki
 
  • Thanks
Reactions: 511
Roman ndio wapagani namba moja duniani.
Na ndie mpinga kristo kwakupinga biblia anayosema anaiamini.
Na kufanya ibada za sanamu ambazo Mungu alizikataza.
Na kupotosha ulimwengu mzima kwa mafundisho yake
Yeye ni kahaba mkuu mama wa.makahaba aliezaa mabinti(waprostentant) wakufanana nae
Na papa ndie mwenye ile 666 kwakuwa ndilo jina lake lipokwenye kipaji cha uso wake

Biblia inasema ulimwengu mzima umelewa kwa uasherati wake
Na wakuu wa nchi pia
Ni ufalme ndani ya ufalme
Taifa ndani ya taifa

Amechanganyikiwa kwa dhahabu na utajiri wake
Akajipamba kwa mavazi ya dhambarau
Mji wa barabara za dhahabu

Wao wapo radhi wapingane na biblia ili kitetea Mafundisho yao.

Nafsi zao zipo kifungoni
Zinajua ukweli lakini haziwezi kuufuata

Wakajiwekea mtu mmoja mkuu wakambusu miguu.
Na sala za waliokufa badala ya roho mtakatifu kanisani.
Sikuwahi kujua kumbe warumi ndio wapinga Kristo. Sasa si uwaache hao warumi wapambane na hali zao wewe wanakuumiza nini?
 
Hata kama hupendi ila huyo ndiye Pope wa kwanza wa Roman Catholic
Huo ni upagani na ndio mana huwezi kuuthibitisha kwenye biblia
Utasema sema tuu kutetea upagani


1 Timotheo 4:1-2
[1]Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

[2]kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;

[3]wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.


Mnalazimisha watu wasioe ili wawe mapadri

Upagani na ushetan
Biblia inasema upadri na upapa ni ushetani na ilo mnalijua mioyoni mwenu kuwa si neno la Mungu na Mungu alikataza
 
  • Thanks
Reactions: 511
Wewe bishana tu lakini ukweli ni kwamba kuna kanisa moja tu takatifu la mitume. Hizo zingine ni taasisi tu za ujasiriamali wa biblia
Kabla ya Yesu hajaanza kufundisha alikuwa anasali dini ipi?
 
Mathayo 26:18
[18]Akasema, Enendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.



Sasa hii ndo imeongelea nini kuhusu petro kuwa papa
Huwezi kumpata mtu mmoja kwenye biblia aliepewa cheo cha papa ama baba mtakatifu

Na yesu alisema msimuite mtu yyt baba wa namna io enyi wanafiki
Ni 16:18
 
Huo ni upagani na ndio mana huwezi kuuthibitisha kwenye biblia
Utasema sema tuu kutetea upagani


1 Timotheo 4:1-2
[1]Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;

[2]kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;

[3]wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli.


Mnalazimisha watu wasioe ili wawe mapadri

Upagani na ushetan
Biblia inasema upadri na upapa ni ushetani na ilo mnalijua mioyoni mwenu kuwa si neno la Mungu na Mungu alikataza
Sasa kama makanisa mengine yamekua formed miaka zaidi ya elfu baada ya ukatoliki nani aliyejitenga hapo
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom