Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

Ujinga si kosa Kisheria wala dhambi ila jitahidi uufiche unapokuwa mbele za watu!

Disclaimer: Ujinga Sio Tusi ni Status..
Kwanza umekuja na Allegations ambazo mpaka sasa Hunaziprove..

Umeongea nimeambiwa Nitoe Ushahidi kuhusu Arius na Nicaea nikashindwa Nimekuomba ulete huo Ushaidi kwa Zaidi ya masaa Sita Sasa Umeshindwa Kuuleta..

Huu Ni Wendawazimu wa Wazi kabisa (samahani kwa tusi ni kwa sababu tu kuna wakati huwa nashindwa kuvumilia Upumbavu)..

Kingine Kitu kama huna Elimu nacho Ni bora Ukae kimya Dini zote na hata Maarifa yote Hufundisha Hivyo Ni bora uulize utapewa Muongozo ila sio kuzusha kwa maamuzi ya Akili zako..



Kwanza kabisa Mara ya kwanza ulisema Sura zimepungua..

Na sasa unatoa hadithi inayoonyesha Kupungua kwa Aya?

Masahihisho

Inaitwa surah Al-Ahzab na Sio AZAHB kama ulivyoandika..

Ni surah Namba 33 kati ya Sura 114 na sio 30 Kwenye Quran..

Hiyo hadithi japo kuwa matini yake sio sahihi Pia umeikosea Kiuandishi😅😅

Maelezo Hayo uliyotoa Ni maelezo ya watu Yaani hadithi zilizokusanywa Kutoka kwa watu waliosimulia Na sio Maelezo Halisi ya Aisha..
Hakuna mahali Aisha alikuwa anaandika popote..

Sasa Niambie UnaJua kuchambua Hadithi kujua Ni sahihi au sio Sahihi???
Mohamed himself admits to forgetting the Koran and so do his companions. (Sahih Bukhari: Book 66, Hadith 62, Sahih Bukhari Book 66, Hadith 63, Sahih Muslim:- Book 6, Hadith 271, Sahih Bukhari Book 66, Hadith 63, Sahih Muslim Book 6, Hadith 271. )
 
Mmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.

Pili biblia ya kwanza iliandikwa kigiriki/kiebrania kisha tafsiri ya lugha zingine. Mfano kiingereza, kifaransa n.k

Sasa biblia nyingi zimefanyiwa tafsiri kutoka lugha ya pili nasio lugha mama. Hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya tafsiri halisi.

Nyingine niswaga za makanisa hayo mengine kutaka biblia iendane na matakwa yao.

Viva kanisa katoliki viva wamiliki halisi wa bablia
Kuna ujinga mwingi kwa kulishwa dogma za kidini. Kuna wapuuzi wanaamini ukristo ulianzia italia au Katoliki Wana haki miliki na ukristo. Mtu kama huyu atakwambia iliandikwa na waebrania na wayunani hapo hapo atakwambia ukristo unamilikiwa na WA Italiano yaani wakatoliki.
 
Jikite kwenye mada error kwenye namba zangu haziwezi kukusaidia.

Ndiyo maana toka hawali nilikumbia kuwa hakuna mtu Makini atakuchukulia seriously.
Wewe ni nani hata unichagulie hadithi hii ni sahihi na hii si sahihi?.

Mke wa Muhammad kasema" Mme wake alikuwa akihitaja sura na Aya 203 na sasa zipo 70 alafu wewe mmatumbi mwenzangu, Mwijuu wa mpagazi unanichagulia kipi cha kuamini na si chakumini zinapokuja hadithi za mtume?.
Wewe ni nani hasa katika uislamu na nini hasa kinakupa umuhimu hata katika uislamu hata utake kunichagulia hadithi?.
Yaani nisimuamini mke wa Mtume pale linapokuja jambo la uislamu then unataka ni kuamini wewe?
Mwanzoni nilitaka Kukuelewa kuhusu Ulivyokuwa Unaandika Nikajua kuwa labda uliteleza tu na hukuwa na maana kuandika Ulichokuwa umeandika...

ila niamini kuwa Wewe una matatizo ya kiakili kabisa 😅😅..

Nakushauri badala ya kukaa Jf...kwa hali yako ulifaa kumuona Daktari wa magonjwa ya Afya ya akili au Therapists kwa unafuu wako..

maana unaonekana umejaza chuki zisizokuwa na faida hata kidogo..

kwa bahati mbaya umenikuta mimi sio mtu wa Chuki wala Vifundo..

na elimu nitakupa Ili uelwe..

Katika Uislamu kuna Elimu Mbalimbali Na watu husomea Elimu hizo ilinkupata maarifa hayo..
uislamu umejengwa kwenye Qurani na Sunna..

na hizo Sunna ndo Hadithi zilizokusanywa na watu kutokana na Maisha misemo na hata nukuu za mtume..

Sasa ili watu wasiingize maneno yao kwenye Hadithi Maana Sunna Husababisha kuwepo kwa FIQHI na ndo sheria hasa Za kiislamu zinapotoka kwenye Quran na sunna..

Kuka anzishwa Sayansi ya Uchunguzi wa Hadithi "Mustalahul Hadithi" au "Ilimul Hadithi" elimu ya Hadithi..

Elimu hii Huchunguza Sanadi "Mtiriko wa Masimulizi wa hadithi hizo mpaka kwa Mtume au mtu aliyemsikia Mtume"

na pia elimu Hiyo Huchunguza Matini (Contents na context) ya Hadithi hizo kuangalia hasa Lengonla hadithi hizo ni nini?

Sayansi ya Hadithi ni pana sana Ambayo ndo maana nimekuambia Hiyo hadithi sio sahihi..
Kwa sababu hadithi zote zina daraja kwenye utambuzi wake kuna Hadithi sahihi,Hadithi hassana, Hadithi maudhu na Hadithi dhaifu..

NIkuache kwanza hapo maana najua huwezi hata kujua naongelea nini maana unafikiri Kila hadithi Inakubalika Kwenye Uislam 😃😃

Japo kwa sasa mimi sio muislamu ila ukitaka elimu ya hadithi na uchambuzi karibu sana..😀😀

Azhab (Mwarabu) kamnukuu mke wa mtume, mke wa mtume kasema haya zimeondolewa kwanini wewe utake kunilisha Matango Poli forcbily?.
ndo maana Nikasema "You are sick"
Azhab sio mtu na unazidi kukosea 😅😅

Kuhsuu Hiyo Ahzab ni sura ambayo ina aya 73 kama mwanzo ulivyosema tu na ni sura no 33 kwenye Quran na sio Jina la mtu..

Mkuu jitahidi Usijitie Aibu zisizo na Ulazima ..
Screenshot_20240409_174949_Quran Swahili.jpg


Unasema hayo si maneno ya aisha bali maneno ya watu tu! ikiwa ni hivyo kuna sehemu Malaika Gabriel aliwai ongea na Muhammad?.
Si Padri tu ndiye alimwambia kuwa aliyekukaba huko pangoni ni Jibril, sasa mbona unamwamini mtume juu ya utume wake wakati Jibril hakuongea Muhammad ikiwa hoja ni kusema?
kwemye Quran kuna Aya nyingi sana Ambazo zinaonyesha Jibril akiongea na Mtume..
Kazisome..

Kisu kimwgusa mfupa, hakuna namna yoyote ungeliweza vumilia maumivu bila kutupa Dela.
Haupo constantly na uwongo wako, unadanganya kwa kuacha loopehole nyingi sana katika uwongo wako.
Uwe na asubuhi Njema.
Mkuu Mi ni Muumini wa Ukweli na sina Dini wala Dhehebu wala Imani..

Ila nachukia Uongo wa Dini zozote..
Nimebahatika akuzijua Dini Karibia zote..
Na nafurahi Kuwa nimezisoma Karibia Zote (Ni charismatic kwakweli)

Naomna nikupe kazi Tangu mwanzo Umasema nadanganya lakini hakuna hata mahali moja unaonyesha uongo wangu!

Sasa nikuombe next Time Ukija Naomba uonyeshe uongo wangu wowote..

Na naomba uonyeshe hiyo Hadithi Ya Aisha Umeitoa wapi Kwenye Sahihi ipi kati ya vitabu sita vya Hadithi za kiislamu Nionyeshe Sanadi zake na chambua Matini yake..

Kuna vitu haviitaji nguvu kuvitetea Ila Uongo unahitaji nguvu sana kuutetea..

Jaribu kutafuta Elimu sahihi kabla ya kujiingiza kwenye Midahalo ya Elimu Vinginevyo unajidhalilisha sana Mkuu!..

Samahani Next time hutaona nimekujibu chochote Mpka uniwekee Hizo Accusatation na allegetion...
Ulizosema nimedanganya uniwekee Vinginevyo nitaomba Kuacha kurumbana na wewe maana Nitakuupuuza Kwa kuwa nahusi Unaloteza muda wangu tu..

Jitahidi utafute kwanza elimu haya mengine huwa yapo tu..
 
Mohamed himself admits to forgetting the Koran and so do his companions. (Sahih Bukhari: Book 66, Hadith 62, Sahih Bukhari Book 66, Hadith 63, Sahih Muslim:- Book 6, Hadith 271, Sahih Bukhari Book 66, Hadith 63, Sahih Muslim Book 6, Hadith 271. )
Kama utaweza unaweza kuandika Namba za hadithi maana Sahihi Bukhari Inaishia Juzzu 9 na haifiki Juzzu 11..

So andika vitu vyenye uhalisia..
Usikopi na kupaste sehemu 😅😅

Hiki ndo kitabu cha Mwisho cha sahihi Bukhari..
Ni juzuu ya 9 yaani Kitabu cha 9

Ambacho kina hadithi namba 6861 mpaka 7563.
Hakuna juzzu 66..

Narudhia tena Jitahidi Usome sana mkuu
Screenshot_20240409_181207_Adobe Acrobat.jpg
 
Mmiliki wa biblia na Kanisa Katoliki. Hivyo biblia yake ndio sahihi kuliko zote.
Hivyo kwanza tambua hilo.

Pili biblia ya kwanza iliandikwa kigiriki/kiebrania kisha tafsiri ya lugha zingine. Mfano kiingereza, kifaransa n.k

Sasa biblia nyingi zimefanyiwa tafsiri kutoka lugha ya pili nasio lugha mama. Hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya tafsiri halisi.

Nyingine niswaga za makanisa hayo mengine kutaka biblia iendane na matakwa yao.

Viva kanisa katoliki viva wamiliki halisi wa bablia
Acha upotoshaji,Kanisa ni moja tu Kanisa Katoliki la mitume.Hayo mengine usiyaite makanisa ni madhehebu
 
Kama utaweza unaweza kuandika Namba za hadithi maana Sahihi Bukhari Inaishia Juzzu 9 na haifiki Juzzu 11..

So andika vitu vyenye uhalisia..
Usikopi na kupaste sehemu 😅😅

Hiki ndo kitabu cha Mwisho cha sahihi Bukhari..
Ni juzuu ya 9 yaani Kitabu cha 9

Ambacho kina hadithi namba 6861 mpaka 7563.
Hakuna juzzu 66..

Narudhia tena Jitahidi Usome sana mkuu
View attachment 2958847
Usinipostie makava ya vitabu, jibu nilichokuliza. Kati yako na mke wa Muhammad nani mkweli katika jambo lolote linalohusu uislam?.
Sitaki kuamini kuwa swali langu ni zito.
Hutaki kunijibu kwasababu ya hila tu ama hutaki jibu kwasababu huna maarifa na swali nililokuuliza?.

When Ibn Umar Mtoto wa Khalifa wa kwanza anasema“Let none of you say, ‘I have learned the whole of the Koran,’ for how does he know what the whole of it is, when much of it has disappeared? Let him rather say, ‘I have learned what is extant thereof’.

Huyu ni mtoto wa Khalifa, anasema hivyo ila wewe hapa na Cheo chako bandia cha udaktari unataka nisimuamini yeye ni kuamini wewe.
What Kind of villain is this?.

AISHA anasema “Surat al-Ahzab used to be recited in the time of the Prophet with two hundred verses, but when Uthman wrote out the codices he was unable to procure more of it than there is in it today [i.e. 73 verses].”

Ila wewe Mmtumbi mwenzangu hata Nauri ya kwenda Mecca huna, hadi uuze mashamba ya Ukoo either uchangiwe ndiyo uenda unataka nisimuamini Mke wa Muhammad alafu nikuamimi wewe!!.

Umar anaendelea kusema""Umar said Ubai was the best of us in the recitation (of the Koran) yet we leave some of what he recites."

Ikiwa wenye quran wanakili jambo ili why wewe? Mbaya zaidi unataka nikuamimi forcibly unachoandika?.
Muhammad mwenyewe anakili kuwa kuna wakati alisahau verse, sasa wewe ni nani hata nikuamini?

Doctor, unanichukuliaje kwanza?. Hatupo kwenye visual forum ila hiyo isikupe uhalali wa kuchukulia wanaume wenzio poa.
Chukulia ili andiko la Quran kama fundisho muhimu pindi unapotaka kuargue.
5:101) Believers! Do not ask of the things which, if made manifest to you, would vex you;
 
Nayasema haya ni kutokana na kukutana na biblia ya ndugu yangu ambae ni mkatoliki, sasa wakati naisoma nikaona mbona inautofauti.

Utofauti nimeukuta kwenye baadhi ya vifungu ndani ya biblia, japo unakuta maudhui yako sawa ila maneno yanatofautiana.

Mawazo yangu(nikafikiri au ndo zile habari nilizozisoma za Martin Lutter!)

Embu kwa wajuvi wa mambo kujeni mnieleweshe.

Asanteni!
Wakatoliki ndiyo UKRISTU wenyewe na UKRISTU ni UKATOLIKI. Hao wengine ni WAPROSTESTANTI, ni wanakondoo waliopotea ila siku ya hukumu watarudhishwa kundini.

KAMWE usibishe utakacho elekezwa na kanisa KATOLIKI kwa kuwa ndiyo lililokuwapo wakati Yesu Kristu anaondoka siku ya Pentekoste. Yesu mwenyewe ndiye aliyemkabidhi Simon Petro wanakondoo. Matayo 16:18. Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda
 
Kwa kifupi sana.

Mfalme Constantino wa dola ya rumi (roman) kipindi hiko wakiwa wanatawala dunia, aliwahi kupigana vita na aliweka ishara ya msalaba kama ishara kuu ndani ya jeshi lake. Akashinda ile vita, kwahiyo akatoa agizo dunia nzima kuwe na dini moja tu, ya Kikristo japo mwanzoni dola hiihii ya Rumi ilikuwa ikiipinga mno dini ya Kikristo na hata kuchoma moto maandiko matakatifu yaliyoachwa na waasisi wa imani hiyo, yaani mitume na manabii.

Unfortunately, ndani ya serikali yake, alijali sana kuwaweka Wakristo, matokeo yake dini ikaanza kupoteza ile nguvu ya rohoni na kutoka ktk ile misingi ya mitume na manabii. Tamaduni za kirumi kama kuabudu sanamu, sikukuu n.k vikaanza kuingizwa ndani ya kanisa. Kanisa likafa kabisa rohoni, likabaki jina tu la Ukristo ila rohoni hakukuwa tena na ile nguvu.

Miaka mingi mbele, kwa kufanya utafiti mbalimbali walitokea watu kadhaa wakasema kwamba imani ya Kikristo imepotoshwa na Kanisa Katoriki kwa kufanya ibada za sanamu, kuingiza sikukuu zisizo na maana ndani ya kanisa pamoja na mafundisho manyonge. Watu hawa kwa Historia ya Kanisa wanafahamika kama wana wa uamsho.


Watu hao kuna akina Max, Martin Luther n.k kabla ya Martin Luther walikuwepo watu kadhaa kama watano ambao walichallenge uendeshwaji wa Imani ya Kikristo unaoongozwa na Rumi(Roma) ila tunamtambua Martin Luther sababu yeye aliachana nyaraka nyingi na ndie mwana uamsho mkubwa wa mwisho.

Rumi walihizinisha vitabu 72 na kuundwa Biblia, ndani ya hivyo vitabu 72, Martin Luther King aliviona vitabu 6 havina mafundisho mazuri/umuhimu ktk makuzi ya maisha ya Mkristo kiroho. Ifahamike kuwa Martin Luther alikuwa msomi na Padre ndani ya Kanisa Katoriki.

Baada ya Martin Luther kusigana na viongozi wake, Martin Luther na Katoriki wakatengana, ndipo ukazaliwa uamsho mpya ndani ya Kanisa, hapo ndipo likaja dhehebu la KKKT, lilikuwa na uamsho mkubwa saana kiroho, huduma zote ambazo Yesu aliacha ndani ya Kanisa kupitia Roho Mtakatifu zilionekana, shetani jinsi alivyo na nguvu akapiga kanisa KKKT nalo likatawanyika, hapo sasa ukazaliwa Upentekoste, Pentecoste na KKKT ni kama baba mmoja ila mama tofauti.


Mwisho, tafsiri za Biblia zipo nyingi saana, wala usishtushwe na hizo tafsiri ila kwa sehemu kubwa maana ni ile ile. Ni sawa na kitabu kimoja cha Ushairi kisha kikachambuliwa na maprofessor wa kiswahili, wengine kutoka UDOM, wengine kutoka UDSM na wengine SAUT ila maana ni zile zile.
Umetisha mkuu.. very interesting
 
Kuna ujinga mwingi kwa kulishwa dogma za kidini. Kuna wapuuzi wanaamini ukristo ulianzia italia au Katoliki Wana haki miliki na ukristo. Mtu kama huyu atakwambia iliandikwa na waebrania na wayunani hapo hapo atakwambia ukristo unamilikiwa na WA Italiano yaani wakatoliki.
Huo ndiyo UKWELI, kama hutaki pasuka kama kinyonga mwenye mimba
 
Pamoja na kuwa na vitabu vingi lakini hamvisomi na wala hujui kilichoandikwa humo.
Msisitizo uko kwenye kumuomba bikira Maria na kubusu misalaba.
Kitabu kinachotumika ni Misale ya waumini tuu hakuna nje ya hapo.
Hata amri za Mungu zimechakachuliwa mkaruka amri ya " Usijifanyie samamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho duniani wa mbinguni, ukaviabudu wala kuvitumikia".
Kutembeza sanamu la bikira Maria ni kutumikia hiyo sanamu.
Misale ya waumini ni muongozo wa misa takatifu ambao unamasomo tofauti toka kwenye biblia.. Katoliki haijakataza kutumia biblia mkuu nyie ndio mnapotoshaga watu maana umeandika kana kwamba biblia haina maana kwa Katoliki. Walokole mnashida sana
 
Wakatoliki ndiyo UKRISTU wenyewe na UKRISTU ni UKATOLIKI. Hai wengine ni WAPROSTESTANTI, ni wanakondoo waliopotea ila siku ya hukumu watarudhishwa kundini.

KAMWE usibishe utakacho elekezwa na kanisa KATOLIKI kwa kuwa ndiyo lililokuwapo wakati Yesu Kristu anaondoka siku ya Pentekoste. Yesu mwenyewe ndiye aliyemkabidhi Simon Petro wanakondoo. Matayo 16:18. Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda
sawa sawa
 
Wakatoliki ndiyo UKRISTU wenyewe na UKRISTU ni UKATOLIKI. Hai wengine ni WAPROSTESTANTI, ni wanakondoo waliopotea ila siku ya hukumu watarudhishwa kundini.

KAMWE usibishe utakacho elekezwa na kanisa KATOLIKI kwa kuwa ndiyo lililokuwapo wakati Yesu Kristu anaondoka siku ya Pentekoste. Yesu mwenyewe ndiye aliyemkabidhi Simon Petro wanakondoo. Matayo 16:18. Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda
Mitume walikuwa wakristo je walikuwa wakatoliki??
Imeandikwa wapi??
 
Baada ya Martin Luther kusigana na viongozi wake, Martin Luther na Katoriki wakatengana, ndipo ukazaliwa uamsho mpya ndani ya Kanisa, hapo ndipo likaja dhehebu la KKKT, lilikuwa na uamsho mkubwa saana kiroho, huduma zote ambazo Yesu aliacha ndani ya Kanisa kupitia Roho Mtakatifu zilionekana, shetani jinsi alivyo na nguvu akapiga kanisa KKKT nalo likatawanyika, hapo sasa ukazaliwa Upentekoste, Pentecoste na KKKT ni kama baba mmoja ila mama tofauti.
Acheni UWONGO kufurahisha imani zenu. Mwaka 1938 makanisa saba ya Kilutheri yaliungana kama Muungano wa Makanisa ya Kilutheri, na tarehe 19 Juni 1963 yakawa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania.

Martin Luther alijitenga na Ukatoliki na kiamzisha imani ya Ulutheri mwaka 1521
 
Author wa Bible ni Holy Spirit na Catholic Church. Whoever against the Mother Holy Church is against Jesus himself. Sasa hutaki sawa ....
Unaweza kuithibitisha io kwenye maandiko
Ama mlidanganywa ili msibishane na katoliki
Mungu alisema atakaepingana na neno lake amepingana na Mungu mwenyewe
Ata kama awe ni papa ama askofu nani.
Ama kanisa katoliki.
Ss ww umetoa wapi io ya kusema anaepingana na katoliki amepingana na Mungu .
 
Wapi catholic waliandika biblia

Ama kuna kitabu gani kimeandikwa na catholic .

Catholic waliwatunzia wanawamungu biblia wakati mpaka walipokuja

Ama kuna kitabu kimeandikwa catholic kwenye biblia
Ni roho mtakatifu ndani ya watu
Mungu hawajawahi kutumia shirika
Yeye ametumia mtu mmoja mmoja kwa kila wakati.
 
Back
Top Bottom