Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Wale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Mnaidhani wale sio sniper refer Donald Trump alipunyuliwa nywele badala ya kupigwa kichwa na sniper....tuendelee

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikristo,i UVIKIUTA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yake alikuwa kamishna wa kwanza wa magereza nchini,alikufa zamani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kama watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madini

Barikiwa sana mh mbunge Turkey kwa kuleta ndege chapchap japo wewe ni CCM uliangalia ubinadamu zaidi
 
"Wale walenga shabaha(snipper )"

Wale hawakua walenga shabaha nakataa kwa msisitizo. Unalengaje shabaha namna Ile,.

Labda ungesema Wamwaga njugu, kama Taifa linategemea Sniper za namna Ile (Hama ndoho kazi tetele)
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Jordan Rugimbana Mungu alimsazia kwa ajili ya matumizi ya baadae.

Mwenyezi Mungu ambariki sana.
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
 
Jordan Rugimbana ,jamaa mmoja hivi snap snap Sana mwenye uchache wa somjo somjo ila utu usiomithirika ,bila yeye wanyambo wangeniua kule Kijiji Cha Rushe _Karagwe ,baada ya kudakwa na majasusi wa mtaa nikila raha na mke wa mtu pasipo Mimi kujua ameolewa ila mwamba alinipigania nikatoka salama japo nundu kadha wa kadha usoni ila haziondoi wema wake na msaada wake kwangu .

Endelea kuwa blessed mgau gau
 
NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
Kwa hiyo kama alimwokoa hafai kusema ukweli? Basi kama ndicho mnachotaka hakuna tofauti na CCM wanalinda wala rushwa kwa sababu huwa wanakiokoa chama hivyo wanalinda wanaowaokoa...
Ni mabadiliko gani mnayoyataka kama mnataka kuendeleza chain ya kutosema ukweli kwa sababu fulani aliniokoa, fulani inabidi nimlipe fadhila?
 
Jordan Rugimbana ,jamaa mmoja hivi snap snap Sana mwenye uchache wa somjo somjo ila utu usiomithirika ,bila yeye wanyambo wangeniua kule Kijiji Cha Rushe _Karagwe ,baada ya kudakwa na majasusi wa mtaa nikila raha na mke wa mtu pasipo Mimi kujua ameolewa ila mwamba alinipigania nikatoka salama japo nundu kadha wa kadha usoni ila haziondoi wema wake na msaada wake kwangu .

Endelea kuwa blessed mgau gau
Watu wema sana hawa. Ila na wewe uache michezo michafu utakuja kufa
 
Back
Top Bottom