Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Binadamu hubadilika, kutokana na changamoto zilizopo, (adaptability skills) or life learning skills

Uncertainty, (changamoto), husababishwa na, 1. Majanga, (disaster), 2. Taarifa, (information) na 3. Binadamu, (normal and smart people)

Huwa ni ngumu sana kuweza kuyadhiti majanga, tuseme haiwezekani

Kuhusu taarifa, taarifa inaweza ikawa sahihi ila mpokea taarifa akatafsiri tofauti.

Kuhusu binadamu, binadamu anaweza jisababishia changamoto kutokana na uzembe, ujinga, uvivu, na ushamba.

Binadamu, anaweza sababisha changamoto kwa wengine kwa makusudi ama kwa kutokujua

Hitimisho changamoto nyingi tunazokabiliana nazo husababishwa na binadamu
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Kwa kweli Mungu ni mwema kwa wote wamchao.
 
Leo watu wanamgeuka Lissu...

Si kwasababu ya sera, bali uwenyekiti...

Lissu ni mzuri kwao asipomgusa Mbowe...

Hawa ndio watanzania...

Watu wanaoweza kununuliwa kwa kazi ya kumdhalilisha mtu kwa uongo na wakashinda...

Lissu jiandae kutukanwa na kuitwa msaliti.
 
Jordan Rugimbana ,jamaa mmoja hivi snap snap Sana mwenye uchache wa somjo somjo ila utu usiomithirika ,bila yeye wanyambo wangeniua kule Kijiji Cha Rushe _Karagwe ,baada ya kudakwa na majasusi wa mtaa nikila raha na mke wa mtu pasipo Mimi kujua ameolewa ila mwamba alinipigania nikatoka salama japo nundu kadha wa kadha usoni ila haziondoi wema wake na msaada wake kwangu .

Endelea kuwa blessed mgau gau
Hivi Rugimbana na jina la kitutsi ?
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Mtoa mada mbona ujamtaja yule mbunge wa ccm kupitia zanzibar alietoa ndege kumpeleka nairobi?
 
NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
Nyakati za uchaguzi kuna mambo mengi sana huwa yanaendelea,ya kweli na yasiyo ya kweli,kuchafuana na kadhalika,ata hiki ulichoandika whether kiwe kweli au uongo it's ok na ni kawaida kabisa ktk nyakat za uchaguzi,hamna jambo la ajabu hapo.
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Tundu mwenyewe hilo alishaambiwa? Analikubari?
 
sasa jordan anaingiaje? afanye ujasiliamani tu kama sisi. prof lipumba alisema njaa ikizidi inatabia ya kukimbilia kichwani.
Hujaona anaingiaje?alikuwa na uwezo wa kuzuia ndege isiruke kwa kuamuru anga la dodoma lifungwe,kumbuka RC sio mtu mdogo
 
Jordan Rugimbana ,jamaa mmoja hivi snap snap Sana mwenye uchache wa somjo somjo ila utu usiomithirika ,bila yeye wanyambo wangeniua kule Kijiji Cha Rushe _Karagwe ,baada ya kudakwa na majasusi wa mtaa nikila raha na mke wa mtu pasipo Mimi kujua ameolewa ila mwamba alinipigania nikatoka salama japo nundu kadha wa kadha usoni ila haziondoi wema wake na msaada wake kwangu .

Endelea kuwa blessed mgau gau
Acha uzinzi ndugu
 
Back
Top Bottom