Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata paka akitaka kumla panya anamchezea kwanza!Wapo wanao amini kwamba mbowe ana mhujumu lisu. Angetaka kumhujumu si angefanya wakati huo???
Hakukuwa na mlenga shabaha pale,mlenga shabaha apige risasi zaidi ya 20 bado awe mlenga shabaha?Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Lakini kati ya wanadamu ambao hawana shukrani Lissu yjmo.Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Wana jf wenzangu mnaona umuhimu wa kumpa beki 3 uhuru?Lisu alieleza vizuri kwamba kama Siyo Juhudi za" Dada " ( Msaidizi wake wa nyumbani) basi asingepona
Beki 3 ndiye aliwasha Gari na kumuwahisha Lisu hospital kabla hajapoteza Damu nyingi
nina mashaka na uelewa wako wa mambo muhimu. Akili yangu inanimate niamini kwamba wewe ni sawa na ngili maji/mshipa au busha. Mbele upo nyuma upo.Hata paka akitaka kumla panya anamchezea kwanza!
Mambo muhimu yako wapi wewe!nina mashaka na uelewa wako wa mambo muhimu. Akili yangu inanimate niamini kwamba wewe ni sawa na ngili maji/mshipa au busha. Mbele upo nyuma upo.
Wewe hata kiswahili tu kinakushinda utaelewa nn sasaMambo muhimu yako wapi wewe!
Sawa!Wewe hata kiswahili tu kinakushinda utaelewa nn sasa
Rugimbana acha uongo.We we si ndo uliwaarest vijana wa chadema wale wa magunia wasiende ikulu?Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Hajui.Hivi unafahamu maana ya Sniper ?
Sniper risasi 1-5 zinamaliza kazi.Hivi unafahamu maana ya Sniper ?
Kula rushwa na kuokoa mtu unaviwekaje kwenye bracket moja?NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
Siyo watu bali bavichaaLeo watu wanamgeuka Lissu...
Si kwasababu ya sera, bali uwenyekiti...
Lissu ni mzuri kwao asipomgusa Mbowe...
Hawa ndio watanzania...
Watu wanaoweza kununuliwa kwa kazi ya kumdhalilisha mtu kwa uongo na wakashinda...
Lissu jiandae kutukanwa na kuitwa msaliti.
Sniper ni Risasi Moja tuSniper risasi 1-5 zinamaliza kazi.
Wale wa kumimina risasi 30+ wanastahili adhabu kali.