Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Wacha uongo.

Aliyetowa ndege ni mbunge wa CCM kutokea Zanzibar, tena ndege yake.
 
NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
Ninacho shindwa kuwaelewa kwamba mnaamini mtu akisha kutendea wema basi hatakiwi kusemwa hata pale anapo kutendea ubaya
 
Anhaa
Anhaa Kaka hili ni la Karagwe Kaka ,nilipona sababu ya kujuana na bwana Jordan .
Duh la kurasini ulikuwepo nini brother ?
Mungu bado ananipenda Sana hakika
Nykahanga,Nyakayanja,Bugene,Kishao,Omurushaka,Kaisho,Rwambaizi,Bushangaro,Nyaishozi,Chabalisa,Chanyamisa,Ihembe nk kote huko nimekamua pisi za kitutsi.
Jordan mtu poa sana,baba yake alizaliwa Nyakahanga ila akahamia Nyakayanja
 
Nykahanga,Nyakayanja,Bugene,Kishao,Omurushaka,Kaisho,Rwambaizi,Bushangaro,Nyaishozi,Chabalisa,Chanyamisa,Ihembe nk kote huko nimekamua pisi za kitutsi.
Jordan mtu poa sana,baba yake alizaliwa Nyakahanga ila akahamia Nyakayanja
Oya mdukuzi huko ni kwenu nini mwanangu ? Au tulikuwa wote kwenye operation ya kuwasaka wanyarwanda wanaoishi Tz bila vibali kipindi kile mjomba alipokosana na Tolu ?
Nina mengi ya kuongea na wewe mwamba ,
 
Wacha uongo.

Aliyetowa ndege ni mbunge wa CCM kutokea Zanzibar, tena ndege yake.
Aliendesha yeye?
Aliyesuka mipango nani?
Nani aligomea kufunga anga ya Dodoma?
Natambua mchango wa bwana Turkey mtu mwema kabisa kwa kutoa ndege yake ila sijamtaja makusudi jisijekutonesha kidonda kwa wachawi wa CCM waliiotaka jamaa afie muhimbili
na yeye alifokewa kama mtoto na jiwe
 
Mkuu nikusahihishe, ile sio camp ya kikatoliki, ni ya ki KKKT, inaitwa UVIKIUTA
 
Mkuu nikusahihishe, ile sio camp ya kikatoliki, ni ya ki KKKT, inaitwa UVIKIUTA
Sikujua kama ni ya KKKT maana mama Anna Mkapa alikuwa karibu nao sana,asante kwa kunijuza,ila nahisi ile iko chini ya mgongo wa kitengo,maana hafla zote za Ikulu wao ndio hupewa tenda ya kupamba
 
Mh. Mbowe ni kweli kabisa amehusika moja kwa moja kutetea uhai wa Lissu kwa kucheza karata zake haraka na kwa weredi.

Serikali iliishaamua aletwe Muhimbili, Mwamba Mbowe akagoma akasema anakwenda NBI.

Mh. Mbowe ni jabari.
 
Mh. Mbowe ni kweli kabisa amehusika moja kwa moja kutetea uhai wa Lissu kwa kucheza karata zake haraka na kwa weredi.

Serikali iliishaamua aletwe Muhimbili, Mwamba Mbowe akagoma akasema anakwenda NBI.

Mh. Mbowe ni jabari.
Picha lilikuwa linaishia Muhimbili asubuhi tu
 
Hivi unafahamu maana ya Sniper ?​
Nadhani anafahamu vizuri hiyo fani,kama kazi ya sniper iliuziwa kwa low grade kiselela mbwa koko kruti compulsory afanye kazi ya Tom Cruise katika mission impossible
,outcome si kosa lake.
Tanzania ni nchi ya vioja kuna wakati enzi za FAT walipeleka referee mtarajiwa ngazi ya FIFA akashindwa interview tu ya kuzunguka uwanja wa mpira tena kwa KUTEMBEA mara nne ili apewe begi ya FIFA.
 
Lakin hiyo haimzuii Lisu kusema ukweli pale Mbowe anapokosea
 
Wale walenga shabaha(snipper )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.

Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.

Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.

Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.

Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikatoliki UVIKUWATA anafuga kuku.

Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.

Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yaje alikuwa kamisna wa jwanza wa magereza,alikufa zanani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kana watoto wake.

Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madink
Lissu akisaidiwa na Kikwete mbowe aliplan kumleta muhimbili au agakani ambako angekufa pale pale kwa sindano.

Huwezi kuelewa hili mpaka uwe na D 2
 
Back
Top Bottom