Bila Freeman Mbowe na Jordan Rugimbana, Tundu Lissu angepoteza uhai siku ile aliyopigwa risasi Dodoma

Ila jiwe alikuwa na roho ya kikatili sana na ya kishamba,yaan kosa la kijinga unamtoa mtu na bado unabana biashara zake,yaan akaona kumtengua tu haitoshi
 
Nimemjua tangu enzi za Mkapa kipindi kike akitetea wachimbaji wadogo Bullyankhulu yeye na Rugemereza Nshala,jamaa ni radical sana,kwa sasa hatuna mtu jasiri humu nchini kama yeye
 
Nimemjua tangu enzi za Mkapa kipindi kike akitetea wachimbaji wadogo Bullyankhulu yeye na Rugemereza Nshala,jamaa ni radical sana,kwa sasa hatuna mtu jasiri humu nchini kama yeye

Exactly alikua Bulyanhulu na LEAT akitetea wachimbaji wadogo bureee! Wakati hao wakubwa wanavuna bamia mabondeni kule! Hamna wa kumdogosha maana ana record zisizo na shaka na well documented
 
Kuna wakat nilimlaumu lissu kwa tabia yake ya kuwa hvyo alivyo ila baadae nikakumbuka hata mimi niliwah kuwa hvyo ila baadae niliamua kuacha baada ya siku moja kunusurika kuachwa porini

Nilikuja kugundua ukiwa mtu wa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe ni rahis sana maisha yako kuwa magumu kwenye hii dunia,kinachomsaidia lissu ni kuwa yeye anategemea kichwa chake,kichwa chake ndo pesa hana biashara yoyote unayoweza kuifunga ili kumkomesha
 
Nimemjua tangu enzi za Mkapa kipindi kike akitetea wachimbaji wadogo Bullyankhulu yeye na Rugemereza Nshala,jamaa ni radical sana,kwa sasa hatuna mtu jasiri humu nchini kama yeye
Mtu jasiri ni David Kafulila aliyewasambaratisha Mafisadi wa escrow hadi AG dadeki πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uko sahihi kabisa,dunia ya keo inata wanaojua kupuliza na kuuma,vinginevyo utajikuta uko peke yako
 
Kitambo sana,kuna watu wamemjulia akiwa Chadema

Kweli wamemjulia maria spaces wengine! Wanafikiri anaweza kushushwa chini kwa majungu na fitna! Kama jiwe aliona dawa pekee ni kummaliza unafikir kuna solution ya kufuta utata wake? Ni mtata kweli! Akisema anaongea siku hiyo serikali na wananchi wanakua online! Tazama kaongea juzi ndani ya masaa klassmate Nchimbi akaibuka kujibu then wakafuata wengine na bado wanaendelea wakati keshakaa kimya
 
Aibu ni kwako wewe

Huyo Tundu Antipas Lisu licha ya kuzuiwa na UVCCM asikaribie kaburi la Shujaa Magufuli alifanya kila Mbinu hadi akaenda kuweka maua kwa Msaada wa Kardinali mstaafu wa Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹🀣
Upuuzi mtupu.

Leta hapa ushahidi wa picha ya Lissu akiwa kaburini kwa dikteta uchwara kama huyu aliyekuwa akitumwa kufanya maovu.
 
Mtata sana yule jamaa
 
Mwambie Mseminari J J Mnyika akuleteeni imebandikwa pale Msimbazi Center πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha sarakasi wewe chawa mzee weka picha hapa!

Lissu anafahamu kuwa baada ya kushambuliwa hata pesa zilizochangwa na diaspora zilizuiliwa kumfikia na pia hata wale watu wa imani waliojikusanya kumuombea walizuiliwa.

Acha kujaribu kumsafisha shujaa uchwara wako kupitia tukio la Lissu.

Baada ya Magufuli kufariki mtu wa kwanza kuandika waraka wa kuonyesha kutosikitishwa na tukio la kifo cha Magufuli alikuwa ni Lissu na hadi leo wala hajaonyesha kutengua msimamo wake.
 
Makamu Γ±a Balozi walivyomtembelea TAL hospital walimkabidhi mwenyekiti bahasha iliyoletwa na Serikali

Mchungaji anasema bahasha ile hadi Leo haijulikani ilipotelea Wapi

Nabii Kesho kwenye Press yake nadhani atalizungumzia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Stori za kijiweni hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…