Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Ni kweli kabisa ni Mungu tuu, na Mungu ana makusudi fulani na Lissu.Mimi huwa nasena ni Mungu hakuruhusu,maana zilimpata sema hazikulenga sehemu muhimu,siku yake ingekuwa imefika hata asiyejua kushoot angemuua tu
AminaNi kweli kabisa ni Mungu tuu, na Mungu ana makusudi fulani na Lissu.
Hata alipotaka kurejea, alipomuomba IGP kumhakikishia usalama wake, IGP alikauka hakumjibu, ni akina sisi tulimhakikishia usalama wake kwa kumwambia ni Mungu tuu!. Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
P
kwa hiyo mnataka hiyo ndio iwe tiketi ya kumtesea Lisu kwamba asiseme hata pale mnapokosea? au nini. unamwokoa mtu, unamfanya mtumwa wako, kwanza ni ninyi mlimwokoa au ni Mungu tu aliamua? na ninyi mkija kuokolewa mfanywe watumwa? mbowe na genge lako acheni kulamba asali. wasaliti wakubwa kabisa nyie.Wale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikristo,i UVIKIUTA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yake alikuwa kamishna wa kwanza wa magereza nchini,alikufa zamani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kama watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madini
Barikiwa sana mh mbunge Turkey kwa kuleta ndege chapchap japo wewe ni CCM uliangalia ubinadamu zaidi
Mimi huwa nawashangaa sana watu wenye mawazo ya aina hii, ikiwa pamoja na yule aliyekuwa ni Makamu wa Rais wakati ule. Hivi, swali linakuja, wale jamaa, risasi zao, hazikumpata Lissu? Jibu ni kuwa zilimpata, tena zaidi ya kumi. Sasa, badala ya kushangaa muujiza wa Mwenye Enzi Mungu jamaa kuto kufa palepale, na kuwa hai mpaka leo hii, tunabaki tukubishana ujuzi wa wale wafyatua risasi."Wale walenga shabaha(snipper )"
Wale hawakua walenga shabaha nakataa kwa msisitizo. Unalengaje shabaha namna Ile,.
Labda ungesema Wamwaga njugu, kama Taifa linategemea Sniper za namna Ile (Hama ndoho kazi tetele)
Nimecheka kama mazurikwa hiyo mnataka hiyo ndio iwe tiketi ya kumtesea Lisu kwamba asiseme hata pale mnapokosea? au nini. unamwokoa mtu, unamfanya mtumwa wako, kwanza ni ninyi mlimwokoa au ni Mungu tu aliamua? na ninyi mkija kuokolewa mfanywe watumwa? mbowe na genge lako acheni kulamba asali. wasaliti wakubwa kabisa nyie.
We jamaa sio mzima kichwani!Mambo muhimu yako wapi wewe!
"Wale walenga shabaha(snipper )"
Wale hawakua walenga shabaha nakataa kwa msisitizo. Unalengaje shabaha namna Ile,.
Labda ungesema Wamwaga njugu, kama Taifa linategemea Sniper za namna Ile (Hama ndoho kazi tetele)
Kuokoa na Kula Rushwa ni Indirectly Proportional ? Kwamba ukila Ruswa huwezi kuokoa na Ukiokoa huwezi kura Rushwa ?NDIYO HUYOHUYO ANAMTUHUMU MBOWE ANAKULA RUSHWA KASHASAHAU NDIYO ALOIMUOKOA KWELI UBINADAMU KAZI
Kwa ufupi ule ni muujiza wa Mungu,alichagua watu sahihi wakutimiza huo muujizaMimi huwa nawashangaa sana watu wenye mawazo ya aina hii, ikiwa pamoja na yule aliyekuwa ni Makamu wa Rais wakati ule. Hivi, swali linakuja, wale jamaa, risasi zao, hazikumpata Lissu? Jibu ni kuwa zilimpata, tena zaidi ya kumi. Sasa, badala ya kushangaa muujiza wa Mwenye Enzi Mungu jamaa kuto kufa palepale, na kuwa hai mpaka leo hii, tunabaki tukubishana ujuzi wa wale wafyatua risasi.
Ni roho ngumu tu ya Ki Farao, ambaye hakuamini kuwa ni muujiza wa Mwenye Enzi Mungu, wa kutengeneza njia katikati ya bahari!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikristo,i UVIKIUTA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yake alikuwa kamishna wa kwanza wa magereza nchini,alikufa zamani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kama watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madini
Barikiwa sana mh mbunge Turkey kwa kuleta ndege chapchap japo wewe ni CCM uliangalia ubinadamu zaidi
Ahahahahaha!Ulikuwa bado unanyonya,huwezi kuelewa kitu
Mimi huwa nawashangaa sana watu wenye mawazo ya aina hii, ikiwa pamoja na yule aliyekuwa ni Makamu wa Rais wakati ule. Hivi, swali linakuja, wale jamaa, risasi zao, hazikumpata Lissu? Jibu ni kuwa zilimpata, tena zaidi ya kumi. Sasa, badala ya kushangaa muujiza wa Mwenye Enzi Mungu jamaa kuto kufa palepale, na kuwa hai mpaka leo hii, tunabaki tukubishana ujuzi wa wale wafyatua risasi.
Ni roho ngumu tu ya Ki Farao, ambaye hakuamini kuwa ni muujiza wa Mwenye Enzi Mungu, wa kutengeneza njia katikati ya bahari!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Serikali ni binadamu kama mimi na wewe. Na jambo lolote linalofanywa na binadamu hakina uhakika wa kufanikiwa kwa asilimia 100. Kuna wapinzani wengi tu wa Kagame wameepuka kifo. Kuna wapigania uhuru wengi toka Afrika Kusini, Namibia, Zimbabwe, walikuwa wanatakiwa na serikali lakini waliepuka kifo. Sio kweli kwamba serikali akiamua kuua mtu fulani basi lazima atakufa.acha ujuji Serikali ikiaamua kukutafuta itakupata kokote dunia cc fuatilia rwanda ilivyofanya mauji kwa wapinzani wa kagame wanaoishi nje ya nchi, LISU ALISHAMBULIWA NA WAHUNI TU
Hao wahuni mpaka leo hawajakamatwa,hapo hamba serikaliacha ujuji Serikali ikiaamua kukutafuta itakupata kokote dunia cc fuatilia rwanda ilivyofanya mauji kwa wapinzani wa kagame wanaoishi nje ya nchi, LISU ALISHAMBULIWA NA WAHUNI TU
Sasa mbona Lissu anaropoka ropoka???Hakuna ugomvi wowote kati ya watu hao wawili.
Na wale waliomparua trump sikio tunawaitajeWale hawakuwa snipers, snipers ni trained, watu wenye shabaha waliofunzwa kulenga na kwa kawaida hutumia bunduki za risasi moja tuu, na huwa hawakosi shabaha.
Ndio maana hata Samia, alisema wazi, wale sio wa kwetu, wa kwetu wakikosa mbili, unaandika maelezo.
Wale ni watu tuu wasiojulikana, usiwape sifa za kuwa ma snipers ukatuchafulia jina safi la ma snipers wetu wanaofanya a clean job!. Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
P
Katoa maoni, hiki ni chama cha demokrasiaSasa mbona Lissu anaropoka ropoka???
Kuna yule jamaa aliitwa ulisubisya mpoki naye apewe maua yake baadaye alitumbuliwaWale walenga shabaha(snipers )baada ya kushindwa kumuua Tundu Lissu ,alipelekwa hospitali ya General kwa matibabu.
Mnaidhani wale sio sniper refer Donald Trump alipunyuliwa nywele badala ya kupigwa kichwa na sniper....tuendelee
Lengo lilikuwa apelekwe Muhimbili.
Mbowe mtoto wa mjini akahisi hapa kuna mchezo mchafu unaweza kuchezwa,akampigia rafiki yake Captain Minje wakakodi ndege chapchap wakamtorosha mgonjwa mpaka Nairobi then ulaya,ilikuwa kama movie ya chuck Noris vile.
Mkuu wa mkoa Jordan Rugimbana akapigiwa simu toka juu kuwa imekuwakuwaje anga la Dodoma alikufungwa mpaka mgonjwa anatoroswa kibabe kama sinema.
Haikuchukua muda akatumbuliwa,npaka leo yupo kijijini kwake Chamazi kwenye kambi ya vijana wa kikristo,i UVIKIUTA anafuga kuku.
Hawakuishia hapo mradi wake wa makumbusho ya wanyambo kule kijijini kwake Nyakahanga, Karagwe ukapigwa stop,ulikuwa ni mradi wa mabilioni toka kwa wafadhili.
Rugimbana kule mbinguni kuna kiwanja chake,mtu mwema kabisa,baba yake alikuwa kamishna wa kwanza wa magereza nchini,alikufa zamani sana enzi za Nyerere na kuwaacha wakiwa wadogo,Nyerere aliwachukua na kuishi nao kama watoto wake.
Barikiwa sana Jordan Rugimbana na Freeman Mbowe kwa msaada wa Mungu Tundu Lissu bado yupo akitema madini
Barikiwa sana mh mbunge Turkey kwa kuleta ndege chapchap japo wewe ni CCM uliangalia ubinadamu zaidi
Achani mbwembwe hakuna kabila la wanyambo Kuna wahaya wa karagweJordan Rugimbana ,jamaa mmoja hivi snap snap Sana mwenye uchache wa somjo somjo ila utu usiomithirika ,bila yeye wanyambo wangeniua kule Kijiji Cha Rushe _Karagwe ,baada ya kudakwa na majasusi wa mtaa nikila raha na mke wa mtu pasipo Mimi kujua ameolewa ila mwamba alinipigania nikatoka salama japo nundu kadha wa kadha usoni ila haziondoi wema wake na msaada wake kwangu .
Endelea kuwa blessed mgau gau