Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Ndo ukweli wenyewe japo mchungu mwanangu. Ndiyo maana ukristo hauutambui uislam lakini uislam unautambua na kuuheshimu ukristo. Ndizo sifa za mzazi na mtoto. Angalia hata waganganjaa wa mihadhara. Mara nyingi hutumia biblia kufanya biashara yao lakini si quran.
Kwani wapi imeandikwa biblia ni kitabu cha wakristo?
 
Sijaumizwa na neno fala na nimelipokea kwa mikoono minne, wala usiwe na shaka.

Ila usikatae jambo kwa sababu linapingana na misingi ya mafundisho uliyowahi kuipata hapo kabla.

Ni vema ukaanza kuelewa kuanzia sasa kuwa Uislam ni zao la Kanisa Katoliki la kirumi, halafu baada ya hapo anza kuchimba ili kupata ufahamu zaidi, sawa ?
 
Mke wa kwanza wa Bwana Muhammad alikuwa mkristu mkatoliki, kupitia huyu mwanamke Muhammad akawa anachota baadhi ya vifungu vya BIBLIA TAKATIFU kwa maelekezo ya kitaalamu ya Bi khadija mkatoliki na kuja kuvijazia kwenye kitabu cha kuran, akaongezea na hadithi za hapa na pale ndio Kuran ikapatikana.
Oh People of the Book! Commit no excesses in your religion, nor say of God anything but the truth. Christ Jesus, the son of Mary, was (no more than) a messenger of God, and His Word which He bestowed on Mary, and a spirit proceeding from Him. So believe in God and His messengers. Say not, 'Trinity.' Desist! It will be better for you, for God is One God, Glory be to Him! (Far exalted is He) above having a son. To Him belong all things in the heavens and on earth. And enough is God as a Disposer of affairs" (4:171).

Aya hiyo Nayo ilichotwa kutoka ukristo wa kikatoliki?
 
Mke wa kwanza wa Bwana Muhammad alikuwa mkristu mkatoliki, kupitia huyu mwanamke Muhammad akawa anachota baadhi ya vifungu vya BIBLIA TAKATIFU kwa maelekezo ya kitaalamu ya Bi khadija mkatoliki na kuja kuvijazia kwenye kitabu cha kuran, akaongezea na hadithi za hapa na pale ndio Kuran ikapatikana.

Usidanganye

No. Prophet Muhammad, peace be upon him, did not have a Catholic wife.

One of his women, Maria al-Qibtiyya, was of an Orthodox Christian background. She was gifted as a slave by the Christian ruler of Egypt to the Prophet Muhammad, peace be upon him. She converted to Islam before she married the Prophet. She bore him a son, Ibrahim by name, who died in childhood.
 
Ukatoliki ndio ulianzisha uislamu

Jamaa hawataki kabisa kulielewa hilo somo. Ila ndio ukweli mchungu wanaotakiwa kuumeza.

Ukatoliki utaanzisha kitu kinachowataka kuwacha imami yao ?

Qurani inasema Yesu si Mungu

Qurani inasema Yesu Hakufa wala kusulubiwa

Qurani inakataa utatu , Trinity


Jee wakatoliki wanakubali haya ????

Kidogo utumie akili , usipakazie
 
Sijaumizwa na neno fala na nimelipokea kwa mikoono minne, wala usiwe na shaka.

Ila usikatae jambo kwa sababu linapingana na misingi ya mafundisho uliyowahi kuipata hapo kabla.

Ni vema ukaanza kuelewa kuanzia sasa kuwa Uislam ni zao la Kanisa Katoliki la kirumi, halafu baada ya hapo anza kuchimba ili kupata ufahamu zaidi, sawa ?

Usipakazie please

 
Wa RC sio Wakristo halisi hiyo ni mila za asili za Kirumi.
Wanachanganya imani ya kikristo na mila za kirumi.
Kwani Ukristo ni necessarily kinyume na mila? Hata isingekuwa mila za kirumi ungebaki na mila za Kiyahudi. Hata Ukristo unavyokuwa practiced hapa Africa unakuwa expressed through our cultural contexts and there is nothing wrong with that . Mfano tutatumia Kiswahili, tunapiga ngoma za ngozi za ng'ombe, sisi ni weusi. Sasa kama Ukristo ulikua zaidi kimfumo enzi za Kirumi lazima ubebe cultural elements za kirumi ilimradi hizo element haazipingani in essence mafundisho ya Kikristo. Mwanadamu hawezi kuexpress chochote bila mila na cultural contexts. Hata Mungu hujifunua kwa Mwanadamu kulingana na mazingira yake ndipo ataeleweka.
 
Kwani Ukristo ni necessarily kinyume na mila? Hata isingekuwa mila za kirumi ungebaki na mila za Kiyahudi. Hata Ukristo unavyokuwa practiced hapa Africa unakuwa expressed through our cultural contexts and there is nothing wrong with that . Mfano tutatumia Kiswahili, tunapiga ngoma za ngozi za ng'ombe, sisi ni weusi. Sasa kama Ukristo ulikua zaidi kimfumo enzi za Kirumi lazima ubebe cultural elements za kirumi ilimradi hizo element haazipingani in essence mafundisho ya Kikristo. Mwanadamu hawezi kuexpress chochote bila mila na cultural contexts. Hata Mungu hujifunua kwa Mwanadamu kulingana na mazingira yake ndipo ataeleweka.
 
Usidanganye

No. Prophet Muhammad, peace be upon him, did not have a Catholic wife.

One of his women, Maria al-Qibtiyya, was of an Orthodox Christian background. She was gifted as a slave by the Christian ruler of Egypt to the Prophet Muhammad, peace be upon him. She converted to Islam before she married the Prophet. She bore him a son, Ibrahim by name, who died in
Slave converting. That's forced conversion
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye mada Moja Kwa Moja

Bila Kanisa Katoliki:
  • Ukristo usingeenea Duniani
  • Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa
  • Ukristo usingeheshimika
  • UKRISTO ungefutika na dini ile nyingine ingetawala
Kanisa Katoliki kwa habari ya hapa Duniani ndiye Mlinzi Mkuu wa Ukristo. Kanisa Katoliki ndiye Msemaji Mkuu wa Ukiristo. Ili kupambana na kuufuta Ukiristo Duniani lazima kwanza yule adui apambane & kuushinda Ukatoliki. Mungu libariki Kanisa Katoliki.

Karibuni tujadili kwa hoja

NB: Lugha zisizo na staha hazikubaliki na ikibidi Uzi huu utafutwa

Soma hoja iliyowasilishwa kwa umakini na kisha ndiyo uchangie
Papa kishakubali mashoga waoane.

Turufu liobaki ni kuwajazabmashoga tu huko.

"Dini ile... " kama ulimaanisha Uislam, elewa kuwa Uislam haupo kwa ajili ya kutawala. Mkristo wa kweli kwa maana ya kumfata Yesu alayhi salaam, huyo hakuna zaidi yaMuislam.

Uislam maana yake ni kujisalimisha kwa Muumba wetu, Allah.

 
Back
Top Bottom