Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Nikikuuliza kabla neno wakristo kutumika...wafuasi wa Yesu waliitwaje hata hujui.

Nikikuuliza neno Wakristo kwa mara kwanza lilianza kutumika wapi wala hujui.

Wewe si pipa tupu?
Sasa hayo yahusiana vp na hoja yako?
Dish limeyumba wewe naona
 
Ukristo, sio kanisa lolote lile. Ukristo ni kumuamini na kumfuata Yesu Kristo.
Yesu Kristo, hapiganiwi, wala hasaidiwi na dini yoyote, taasisi yoyote, na wala mtu yeyote Yule, au utawala wowote ule.
Yesu kristo, anajipigania mwenyewe, tena yeye huwapigania wafuasi wake, na wao wakabaki kutazama tu.
" Yesu ni yeye yule jana leo na hata milele "
Kalaga bahho.
 
Ukristo, sio kanisa lolote lile. Ukristo ni kumuamini na kumfuata Yesu Kristo.
Yesu Kristo, hapiganiwi, wala hasaidiwi na dini yoyote, taasisi yoyote, na wala mtu yeyote Yule, au utawala wowote ule.
Yesu kristo, anajipigania mwenyewe, tena yeye huwapigania wafuasi wake, na wao wakabaki kutazama tu.
" Yesu ni yeye yule jana leo na hata milele "
Kalaga bahho.
 
thibitisha kwa maandiko tena yatoke kwenye qur,an au biblia yako

kama hapa ninavio kuthibitishia kuwa ukirisito ni upagani bila sanamu hakuna ukirisito mungu wenu huyo hapo chini akiabudiwa na papa huyu papa ndie anae wasamehe dhambi View attachment 2511487
Wewe jamaa una viashiria vya ushoga.
 
JEE YESU ALISULUBIWA?
QURANI:

Na kwa (ajili ya) kusema kwao: "Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa Maryamu Mtume wa Mungu", hali hawakumuua wala hawakumsulubu, bali walibabaishiwa mtu mwingine wakadhani Nabii Isa). Na kwa hakika wale waliokhilitafiana katika hakika hiyo (ya kumuua Nabii Isa) wamo katika shaka nalo (jambo hilo la kusema kauawa). Wao (kabisa) hawana yakini juu ya (jambo) hili (ila kuwa kweli wamemuua Nabii Isa), isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumuua. (Tafsiri ya Kiswahili ya Qur’an ya Sheikh A. Farsy).
WANAFUATA DHANA TU WAMO KATIMKA SHAKA:

INJILI INASEMA NINI?

SAA NGAPI ALIKSULUBIWA YESU?

Marko anasema Yesu alisulubiwa saa tatu asubuhi (Mk. 15:25) l

Yohana anasema alisulubiwa baada ya saa sita mchana (Yn. 19:14).

Luka anaposema kwamba Yesu alipaa siku ile ile aliyofufuka (Lk. 24:13-51).

NANI ALIBEBA MSALABA WAKE

Simoni mkirene (Marko 15:21)

Yesu mwenyewe(Yohana 19:17)

ALIVISHWA VAZI GANI WAKATI ANASULUBIWA?

Jekundu (Mathayo 27:28)

Zambarau (Marko (15:17)

ALIPEWA KINYWAJI GANI WAKATI ANASULUBIWA

Siki (Luka 23:36)

Mvinyo (Marko15:23)

Divai (Mathayo 27:34)

NANI WALITUNGA HIZI INJILI ZINZOTOFAUTIANA?

Kadiri ya mapokeo ya zamani Injili ya tatu imeandikwa na Luka aliyezaliwa Antokia akawa Daktari. Alikuwa mpagani (au wa asili ya mazingira ya Kigiriki) si Myahudi kama walivyokuwa akina Mathayo, Marko na Yohana (Uk. 84 wa Biblia hiyo hiyo).

Nayo Biblia Takatifu T.M.P. Book Department Tabora, 1967, uk, 911 inaeleza kwamba Marko hakuwa mwanafunzi wa Yesu, na Injili yake ni muhtasari wa mafundisho ya Petro.

Na ama Injili ya Yohana inajishuhudia yenyewe kwamba waandishi wake ni wengi na wala hawafahamiki:
Mimi huwa mnanichekesha sana.

Unauliza swali, Je Yesu alisulubiwa? Halafu unatoa vifungu vya Quran (Ambayo Haina Jina Yesu) ili kutetea hoja... ni ukichaa kwa kweli.

Jina YESU wewe umelijua kutoka kwenye Biblia. Sasa unachotakiwa kujibu ni je, Kwa Mujibu wa hiyo Biblia... Huyo mtu anayeitwa Yesu ALISULUBIWA au HAKUSULIBIWA?
 
Ubu tuletee hapa bibilia ya asili yenye jina la Yesu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii hapa Biblia ya ki-Aramaic (lugha ya ASILI ambayo Injili iliandikwa kwayo).

[emoji116]link hii hapa


Jina la asili la Yesu ni Yeshua, ambalo limekuwa translated to Y'ashu(kiarabu), Yesu/Jesu (African languages ) na Jesus (kiingereza)

Na ninakuletea screenshot kutoka kwenye original aramaic Bible inayoonesha huyo Yeshua alivyokuwa akiitwa. Hii hapa
[emoji116]
Screenshot_20230209-215627_Chrome.jpg
 
Hii hapa Biblia ya ki-Aramaic (lugha ya ASILI ambayo Injili iliandikwa kwayo).

[emoji116]link hii hapa


Jina la asili la Yesu ni Yeshua, ambalo limekuwa translated to Y'ashu(kiarabu), Yesu/Jesu (African languages ) na Jesus (kiingereza)

Na ninakuletea screenshot kutoka kwenye original aramaic Bible inayoonesha huyo Yeshua alivyokuwa akiitwa. Hii hapa
[emoji116]
View attachment 2511951
Hii hapa jina la jesus translated as isa. [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20230209-221408.jpg
Screenshot_20230209-221356.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom