Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Bila Kanisa Katoliki, Ukristo ungefutika duniani na Wakristo wangeishi kwenye mateso makubwa

Kwani biblia ni kitabu cha nani?
Yeyote atakayekuwa anakimiliki.Naomba utumie Quran ijisimamie yenyewe.Tofauti na hapo tutaanza kuamini kuwa Waraqah etal walitumwa toka Vatican kukamilisha mission
 
Lete ushahidi wa aya
Ubishani wa kwenye gahawa si type yangu.Hata mtoto wa darasa la saba anajua kwamba biblia ni kitabu kinachotumiwa na wakristo.Kuhusu haya kuna vitabu na injili nyingi sana hazijajumuishwa kwenye hiyo maktaba.sasa tukitaka kila kitu kiwe na haya sidhani kama tutafika.Biblia yenyewe inakili kuwa kuna mambo mengi sana yamefanyika lakini hayajawekwa humo.labda kama una hoja ya kupinga hilo nikukaribishe
 
Ubishani wa kwenye gahawa si type yangu.Hata mtoto wa darasa la saba anajua kwamba biblia ni kitabu kinachotumiwa na wakristo.Kuhusu haya kuna vitabu na injili nyingi sana hazijajumuishwa kwenye hiyo maktaba.sasa tukitaka kila kitu kiwe na haya sidhani kama tutafika.Biblia yenyewe inakili kuwa kuna mambo mengi sana yamefanyika lakini hayajawekwa humo.labda kama una hoja ya kupinga hilo nikukaribishe
Ndiyo umeleta ushahidi wa aya kuwa kitabu cha Biblia ni cha wakristo?
 
Wewe mtoa mada hujui ulipo, upo kwenye giza totoro. Ni ushabiki tu wa dhehebu lako ndio unakufanya uweke post kama hii JF.

Ukitaka kujua MAOVU MENGI SANA yaliyofanywa na Kanisa Katoliki, nenda kwenye internet utafute History of the Roman Catholic Church.

Zaidi ya hayo maovu, mambo ambayo Katoliki wanafanya sasa ni TOFAUTI KABISA na lile kanisa Yesu alilomkabidhi Petro.

1. Petro alikuwa na mke (na Yesu akamkabidhi kanisa akijua ameoa) lakini Katoliki sasa inazuia mapadre kuoa wakati Timotheo wa Kwanza Mlango wa tatu inatamka wazi kwamba ASKOFU na shemasi (padre) LAZIMA WAWE WAMEOA.

2. Yesu alisema tule Mwili wake na Damu yake (mkate na divai). Ile Katoliki ya mwanzo ilikuwa inatoa divai na mkate. Hata Mtakatifu Paulo ameandika jambo hilo kwenye Wakorintho wa kwa sura ya 11 kuanzia mstari wa 17.

Mambo ambayo Katoliki wanayafanya kinyume na Biblia ni MENGI SANA (tatizo wewe unadhani ukishakuwa Mkatoliki utaenda mbinguni kama hata Biblia husomi)
 
Kanisa katoliki ndio lililoua ukristo wa kweli duniani. Katoliki liligeuzwa kuwa dini ya Nchi, wengi wasiowakatoliki waliuwawa. Middle east yote ilikua christian land, Morocco, Algeria na Egypt. Zilikua christian countries. Catholic chini ya utawala wakiimula uliua na kuumiza wengi.

Ndipo ulipotokea uislamu kama mkombozi wa mateso ya Catholics. Ukristo ulikuwepo,kabla ya ukatoliki na ulivurugwa na tawala zilizo kuwa chini ya Catholic. Wanakuja watu kama Martin Luther n.k kuuamusha ukristo iliuwawa na Catholic. Leo hii uislamu usingekuwepo duniani lakini Catholic ilizaa Islamic. Usidanganye watu.
Umeongea ukweli, Ukristo ulishakufa kitambo kabla ya Uisilamu, uliopo sasa ni Uromani
 
Mke wa kwanza wa Bwana Muhammad alikuwa mkristu mkatoliki, kupitia huyu mwanamke Muhammad akawa anachota baadhi ya vifungu vya BIBLIA TAKATIFU kwa maelekezo ya kitaalamu ya Bi khadija mkatoliki na kuja kuvijazia kwenye kitabu cha kuran, akaongezea na hadithi za hapa na pale ndio Kuran ikapatikana.
Ukijifanya Unajua mbele ya wanaojua utaonekana mjinga,
 
Siyo kwamba kuua ukristo ilishindikana ndo ule msemo wa if you cant beat them join them ukatumika?

Inasemekana hapo mwanzo palikuwapo na ukristo na wapagani waliupinga na waabudu sanamu waliupinga sana, baadae ilionekana kuwa pamoja na kuuwa na kutesa bado unasambaa ndo ikaamuliwa ukristo uwe controlled kupitia mwavuli mmoja na ndipo ukristo ukawa ukatoliki na baadae ulutheri ukazaliwa na wengine wakafata ila kabla hapakuwa na ukatoliki, palikuwa na ukristo. Ukatoliki ni matokeo ya upagani kufanikiwa kuukontrol ukristo.
Wahusika wenyewe hilo hawalijui
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom