Bila kufanya haya, tusahau suala la kuondokana na Mgao wa Umeme

Bila kufanya haya, tusahau suala la kuondokana na Mgao wa Umeme

Huu ulioandika ni ujinga ambao unafaunyia 'rationalization' ya kijinga ukiamini na wewe un akili zaidi ya wengine!!!

Hapo ilipo Israel ilikuta nchi ni yenye jangwa mpaka mto jordani ulokuwa unatiririsha maji kwenye bahari nyekendu na Judea ulianza kukauka lakini Waisrael wamebadilisha jangwa kuwa kijani kwa kutumia umande, maji ya bahari yanaondolewa chumvi (desalination) na mchankato huuo ambao unatiririsha maji kupitia mifereji kwa kasi ambapo mitambo inawekwa kwenye mfumo unazalisha umeme pia.

Wewe unaota uharibifu wa mazingira yanahusikaje ujazaji maji kwenye bwawa kupitia mito mitatu mikuu inayomwaga maji kwenye mto Rufiji ambayo ni 1. Kilombero ukitokea maeneo oevu ya Ulanga na Malinyi; 2. Ruaha mkuu kutokea maneo oevu ya Mbarali Mbeya kupitia Iringa na 3. Luwegu kutokea Njombe.

Swali dogo kwako wewe mtoa taarifa uliyefilisika je kuna upungufu wa mvua maeneo hayo ambako hiyo mito inatokea kiasi ambacho hakuna maji yanayotiririshwa kuingia mto Rufiji hadi mtu mmoja wa TANESCO anathubutu kudanganya wananchi kwamba pamoja na mvua inayoendelea kunyesha eti hakuna maji yanayoingia kwenda mto Rufiji na kuingia bwawa la Nyerere huko Rufiji!!!

Kama umetumwa na huyo mwizi aliyekuwepo kwenye wizara kujaribu kumsafisha kwa mtindo huo umekwama.

Eneo la Selous lina misitu ya asili na hakuna shughuli zozote za kibinadamu zaidi ya utalii, uvuvi kwenye mto na ujenzi wa bwawa upande wa mashariki kijiji cha mwisho kabla hujaingia ndani ya hifadhi ya Selous kiko umbali wa Kilomita 115 (Mloka) kupitia geti la Mtemere; kwa upande wa magharibi kijiji cha msho kabla hujaingia kwenye hifadhi mpaka kwenye bwawa la Nyerere kiko umbali wa kilomita 75 (Kisaki) na upande wa kasikazini ni mbuga ya Nyerere kilomita 65 kutoka kwenye bwawa shughuli zao ni utalii sasa hapo mazingira kuzuia maji kuingia kwenye mto yametokea wapi?
This battle opposing the construction of the hydropower generation at Rufiji should stop with you and your allies.
Maelezo mengi logic sifuri.
Kama una akili vizuri ulipaswa kufahamu kuwa mito inayomwaga maji kwenye mabwawa ya kihansi, mtera na kidatu ndo hiyo hiyo inapeleka maji Rufiji.

Ungeweza kujijibu mwenyewe tu kuwa kama Mtera, kidatu na Kihansi zinapata upungufu wa maji kipi kitazuia Bwawa la Rufiji kupata upungufu huko mbeleni?
 
Naomba kuwasilisha.
Inakubidi usome zaidi na zaidi, kwa vile inaonyesha wazi kuwa bado upo mwanzoni kabisa katika kuelewa eneo hilo.

Hiyo nuklia, uchafu wake unaodumu karne kadhaa utakuwa unauhifadhi wapi?

Umejaribu kufuatilia matatizo ya umeme wa jua kwa sasa; maana mwenzetu hata hutaji chochote kuhusu juhudi zinazofanyika kuhifadhi nishati hiyo, ili hata wakati jua halipo, nishati hiyo iwe inapatikana.

Hili swala la mvua kutonyesha, hayo ni majungu yasiyokuwa na ushahidi wowote nyuma yake. Ina maana juhudi zinazofanyika sasa kupunguza uharibifu wa mazingira na kutumia vyanzo vinavyozalisha hewa chafu hazitafanikiwa kusitisha au kupunguza uharibifu usiendelee?
 
Huu ulioandika ni ujinga ambao unafaunyia 'rationalization' ya kijinga ukiamini na wewe un akili zaidi ya wengine!!!

Hapo ilipo Israel ilikuta nchi ni yenye jangwa mpaka mto jordani ulokuwa unatiririsha maji kwenye bahari nyekendu na Judea ulianza kukauka lakini Waisrael wamebadilisha jangwa kuwa kijani kwa kutumia umande, maji ya bahari yanaondolewa chumvi (desalination) na mchankato huuo ambao unatiririsha maji kupitia mifereji kwa kasi ambapo mitambo inawekwa kwenye mfumo unazalisha umeme pia.

Wewe unaota uharibifu wa mazingira yanahusikaje ujazaji maji kwenye bwawa kupitia mito mitatu mikuu inayomwaga maji kwenye mto Rufiji ambayo ni 1. Kilombero ukitokea maeneo oevu ya Ulanga na Malinyi; 2. Ruaha mkuu kutokea maneo oevu ya Mbarali Mbeya kupitia Iringa na 3. Luwegu kutokea Njombe.

Swali dogo kwako wewe mtoa taarifa uliyefilisika je kuna upungufu wa mvua maeneo hayo ambako hiyo mito inatokea kiasi ambacho hakuna maji yanayotiririshwa kuingia mto Rufiji hadi mtu mmoja wa TANESCO anathubutu kudanganya wananchi kwamba pamoja na mvua inayoendelea kunyesha eti hakuna maji yanayoingia kwenda mto Rufiji na kuingia bwawa la Nyerere huko Rufiji!!!

Kama umetumwa na huyo mwizi aliyekuwepo kwenye wizara kujaribu kumsafisha kwa mtindo huo umekwama.

Eneo la Selous lina misitu ya asili na hakuna shughuli zozote za kibinadamu zaidi ya utalii, uvuvi kwenye mto na ujenzi wa bwawa upande wa mashariki kijiji cha mwisho kabla hujaingia ndani ya hifadhi ya Selous kiko umbali wa Kilomita 115 (Mloka) kupitia geti la Mtemere; kwa upande wa magharibi kijiji cha msho kabla hujaingia kwenye hifadhi mpaka kwenye bwawa la Nyerere kiko umbali wa kilomita 75 (Kisaki) na upande wa kasikazini ni mbuga ya Nyerere kilomita 65 kutoka kwenye bwawa shughuli zao ni utalii sasa hapo mazingira kuzuia maji kuingia kwenye mto yametokea wapi?
This battle opposing the construction of the hydropower generation at Rufiji should stop with you and your allies.
Umesahau kumwambia bwawa la nyerere ni Ziwa , sio tu bwawa kama anavyofikiria, lina urefu wa km 100 na upana km 20 ,

Ikinyesha mvua ya masika ya nguvu msimu mmoja tu , ndio atajua nini maana ya ziwa Nyerere,

Nimekuwepo huko nalijua na najua nini nisemacho.

Na wataalamu wanasema likija in full capacity , hata ipite misimu mitatu ya bila mvua , mitambo itaendelea kufanya kazi bila tatizo.

Sada ikioita misimu mitatu hakuna mvua ., basi maana yake ni kwamba hata kilimo hakitakuwepo , sasa hapo bado utalaumu ziwa nyerere tena .
 
Umesahau kumwambia bwawa la nyerere ni Ziwa , sio tu bwawa kama anavyofikiria, lina urefu wa km 100 na upana km 20 ,

Ikinyesha mvua ya masika ya nguvu msimu mmoja tu , ndio atajua nini maana ya ziwa Nyerere,

Nimekuwepo huko nalijua na najua nini nisemacho.

Na wataalamu wanasema likija in full capacity , hata ipite misimu mitatu ya bila mvua , mitambo itaendelea kufanya kazi bila tatizo.

Sada ikioita misimu mitatu hakuna mvua ., basi maana yake ni kwamba hata kilimo hakitakuwepo , sasa hapo bado utalaumu ziwa nyerere tena .
Unamaanisha wataalam hawa hawa wa kitanzania walioita nyufa expansion joint?
 
Unamaanisha wataalam hawa hawa wa kitanzania walioita nyufa expansion joint?
Hapana kule kuna wataalam wa mataifa mbalimbali,

Sio hao unaosema tu ,
Kuna Waarabu mpaka wachina , na kwa kweli Wachina ndio wajenzi wa bwawa pale.

Na kusema kweli wapo makini na wanaweza hasa ingawa wapo kimya , lakini kazi wanachapa hasa.
 
Compressed air kwa facility zipi ambazo tunazo sasa na kwa efficiency ipi ? Flywheel unajua kwamba inafaa kwa storage na matumizi ya muda mfupi ? Unajua storage ya kitu under high pressure ni more risky kuliko kitu kama maji ambayo ni kuyaweka tu hapo juu kusubiri yashuke baadae ?

Ndio maana nikasema a practical way depending on what we have at our disposal ni Pumped Hydro...
Wenzetu wanatumia hizo kama Marekani wanatumia sana hiyo compressed air kwa businesses na industrial uses usiangalie kibongobongo mkuu utachelewa sana
 
Pili hilo eneo ni kubwa sana shukuru tu kwamba lipo Jangwani (eneo ambalo huwezi kulitumia kwa kuzalisha jambo jingine) now just imagine eneo hilo unatumia huku kwetu wakati huenda ungeweza kupanda mazao fulani au miti kuota
Kwani hivyo vyanzo vingine vinachukua maeneo makubwa kadiri gani?
 
Project kama hii sio ya kwanza nyingi zilishafanyika (ingawa hii ni kubwa zaidi) lakini zimekutana na bottlenecks za hapa na pale..., na kwa kubashiri nadhani future haitakuwa na farms kama hizi zinazochukua eneo kubwa bali huenda hata vioo na kuta za kawaida zitakuwa zinaproduce umeme kidogo kidogo hence kuongeza surface area katika eneo kubwa zaidi kuliko hiki kinachoendelea huko
Ndiyo ujue watu hawajakaa kizembe R&D zinaendelea kufanyika kila siku kuhusu solar energy na tunapoelekea zitaboreshwa zaidi. Mataifa mengi sasa hivi yanawekeza katika green power kama solar na wind
 
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa Bwawa la Umeme la Rufiji likianza kazi basi suala la Mgao wa umeme litakuwa historia kwenye nchi hii.

Kwa namna ninavyosoma taarifa mbalimbali za kiutafiti zinazohusu masuala ya Mazingira napenda kuwaambia hawa watu wakiwemo viongozi wetu kuwa inawezekana wakawa sahihi kwa muda fulani ila kwa muda mrefu hawatakuwa sahihi

Kwa hali ya mabadiliko ya hali ya hewa ilivyo inasemwa kuwa huko mbeleni suala la ukame litakuwa jambo la kawaida sana duniani na inawezekana hata uzalishaji wa chakula ukapungua sana.

Kwa haya ni sahihi kusema kuwa hata Bwawa la Nyerere inawezekana lisiwe efficient kwa miaka mingi ijayo kutokana na changamoto hizi.

Kwa upande mwingine kuna vyanzo ya umeme vinavyoonekana kuwa vya uhakika zaidi katika miaka mingi ijayo. Vyanzo hivyo ni pamoja na Nyuklia na Jua ambavyo kwa bahati nzuri sana vyote kwa hapa Tanzania tunavyo.

Ushauri wangu.
1. Kuna teknolojia mpya salama zaidi ya kutengeneza plant ndogo za nyuklia. Serikali ialike wataalam kutoka nchi za Ujerumani au Scandinavia wajenge hata plant moja ya namna hiyo kwenye moja ya mikoa yenye bahari/ maziwa hapa Tanzania. Tukipata megawat hata 10,000 au 20,000 sio mbaya. Uzuri madini ya uranium tunayo kinachotakiwa ni teknolojia tu.

2. Kuna mikoa/ sehemu hapa nchini ambayo Jua linawaka kwa uhakika kwa miezi si chini ya 10 au 11. Serikali iwekeze haraka uzalishaji wa Umeme Jua kwenye mikoa hii hata megawat 3000 - 5000

Inawezekana watu wakasema tuna gesi ila kiuhalisia gesi tuliyonayo ni ya matumizi ya miaka 30- 50 kama sikosei hivyo inawezekana huko mbeleni nayo ikaisha.


Naomba kuwasilisha.
Nungana na wewe Kabisa.

Nadhani kwa mtu mmojammoja ili uishi maisha ya kutosumbuka na Umeme na Maji tafadhari anza kupanga sasa kuwa na Independent power generations, (Solar na Generator for Electricity) and Kisima cha kuchimba kwa ajili ya Maji (Dawasa). Hii kwa wakazi wa Dar es Salaam.
 
Acheni ujinga..

Tunzeni mazingira, umeme wa maji ndio uhakika kuliko umeme wowote.. maji hayaishi ..

Tanesco imejqza wajinga watupu.. na wezi
 
Wenzetu wanatumia hizo kama Marekani wanatumia sana hiyo compressed air kwa businesses na industrial uses usiangalie kibongobongo mkuu utachelewa sana
Mkuu kila kitu kinategemea matumizi na efficiency kwenye gari what matters ni wepesi hivyo au kwenye simu ambapo ni ndogo unahitaji storage yenye high density yaani kuweza kustore energy kubwa kwenye sehemu ndogo ipasavyo (hapo gharama ni secondary) kwahio batteries especially lithium inafaa hapo (Wepesi na Udogo ndio unatakiwa i.e. Energy Density kuliko Gharama)

Issue kama Grid ampabo una-store ma Megawatts cost ndio ya kuangalia zaidi ukisema utumie battery itakuwa gharama kwahio kitu kama HEP ambacho kipo tayari ni cost effective na efficiency yake ni kubwa.., (sababu theoretically ungeweza useme utengeneze a battery bank kwa kutumia battery za Saa; ila at what cost and at what efficiency na utaona kwamba sio practical as heat waste itakuwa kubwa)

Sasa kama maji yapo na chombo kipo kwanini utafute caves au containters za kuweza kuweka hewa pressurized na kitu kikiwa pressurized kinahitaji energy zaidi kukiweka katika mfumo huo kuliko kutoa maji point A na kuya-pump mpaka point B...., (It takes energy to store something in its un-natural state kuliko maji ambayo unatumia nguvu kuyapump ila yakikaa pale juu yanakuwa na potential energy ambayo utatumia baadae; Kwahio Megawatt per Megawatt ni cheaper kutumia Pumped HEP kuliko Compressed Air
Wenzetu wanatumia hizo kama Marekani wanatumia sana hiyo compressed air kwa businesses na industrial uses usiangalie kibongobongo mkuu utachelewa sana
Wanatumi kwenye grid kiasi gani ?, Mbona najirudia kama santuri mbovu..., si nimekuwekea juu hapo juu storage percentage ya USA ? Wanatumia industrial use kwenye machinery hio ni rahisi zaidi kama una mashine zinazotumia Pressurized Air kwahio inategemea mahitaji...
 
Wewe baki hapohapo dunia inasonge mbele
Mkuu kila kitu kinategemea matumizi na efficiency kwenye gari what matters ni wepesi hivyo au kwenye simu ambapo ni ndogo unahitaji storage yenye high density yaani kuweza kustore energy kubwa kwenye sehemu ndogo ipasavyo (hapo gharama ni secondary) kwahio batteries especially lithium inafaa hapo (Wepesi na Udogo ndio unatakiwa i.e. Energy Density kuliko Gharama)

Issue kama Grid ampabo una-store ma Megawatts cost ndio ya kuangalia zaidi ukisema utumie battery itakuwa gharama kwahio kitu kama HEP ambacho kipo tayari ni cost effective na efficiency yake ni kubwa.., (sababu theoretically ungeweza useme utengeneze a battery bank kwa kutumia battery za Saa; ila at what cost and at what efficiency na utaona kwamba sio practical as heat waste itakuwa kubwa)

Sasa kama maji yapo na chombo kipo kwanini utafute caves au containters za kuweza kuweka hewa pressurized na kitu kikiwa pressurized kinahitaji energy zaidi kukiweka katika mfumo huo kuliko kutoa maji point A na kuya-pump mpaka point B...., (It takes energy to store something in its un-natural state kuliko maji ambayo unatumia nguvu kuyapump ila yakikaa pale juu yanakuwa na potential energy ambayo utatumia baadae; Kwahio Megawatt per Megawatt ni cheaper kutumia Pumped HEP kuliko Compressed Air

Wanatumi kwenye grid kiasi gani ?, Mbona najirudia kama santuri mbovu..., si nimekuwekea juu hapo juu storage percentage ya USA ? Wanatumia industrial use kwenye machinery hio ni rahisi zaidi kama una mashine zinazotumia Pressurized Air kwahio inategemea mahitaji...
Wewe baki hapohapo dunia inasonga mbele bado uko nyuma

Screenshot_20231128-100801_Chrome.jpg
 
Kwani hivyo vyanzo vingine vinachukua maeneo makubwa kadiri gani?
Kwahio unaona ni sawa kutumia hekari kadhaa ambazo ungelima mpunga ili kuweka mapanels ? Hao wameweka jangwani ambapo hakuna kitu sasa wewe ukiweka sehemu ambapo kunaweza kukawa na kilimo huoni hasara hapo ? Ndio maana mimi nikasuggest hii iwe part ya energy mix wala hakuna sababu ya kuwa na solar farms panels ziwe juu ya nyumba za watu
 
Kwahio unaona ni sawa kutumia hekari kadhaa ambazo ungelima mpunga ili kuweka mapanels ? Hao wameweka jangwani ambapo hakuna kitu sasa wewe ukiweka sehemu ambapo kunaweza kukawa na kilimo huoni hasara hapo ? Ndio maana mimi nikasuggest hii iwe part ya energy mix wala hakuna sababu ya kuwa na solar farms panels ziwe juu ya nyumba za watu
Miti mingapi ilikatwa kwa ajili ya kutengeneza facilities za bwawa la Nyerere?
 
Ndiyo ujue watu hawajakaa kizembe R&D zinaendelea kufanyika kila siku kuhusu solar energy na tunapoelekea zitaboreshwa zaidi. Mataifa mengi sasa hivi yanawekeza katika green power kama solar na wind
Kinachofanyika sio issue ya solar energy per se..., nimekwambia the next big thing inayosumbua watu ni storage (nishati ipo ya kumwaga) kwahio efficient battery sio sababu ya solar pekee ni for all storage..., kuwekeza kwenye green energy ni sababu ya mazingira ila ukiangalia HEP ni more green kuliko solar (ukishaweka panels, battery na kwa hizo farm land use) solar is not as green as you might think..., Unless iwe kama ninavyosuggest iwe decentratilized kwenye mapaa ya watu sehemu tofauti na sio kutumia fertile land kwa kusimika hayo madude (unless ni kwenye deserts)
 
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa Bwawa la Umeme la Rufiji likianza kazi basi suala la Mgao wa umeme litakuwa historia kwenye nchi hii.

Kwa namna ninavyosoma taarifa mbalimbali za kiutafiti zinazohusu masuala ya Mazingira napenda kuwaambia hawa watu wakiwemo viongozi wetu kuwa inawezekana wakawa sahihi kwa muda fulani ila kwa muda mrefu hawatakuwa sahihi

Kwa hali ya mabadiliko ya hali ya hewa ilivyo inasemwa kuwa huko mbeleni suala la ukame litakuwa jambo la kawaida sana duniani na inawezekana hata uzalishaji wa chakula ukapungua sana.

Kwa haya ni sahihi kusema kuwa hata Bwawa la Nyerere inawezekana lisiwe efficient kwa miaka mingi ijayo kutokana na changamoto hizi.

Kwa upande mwingine kuna vyanzo ya umeme vinavyoonekana kuwa vya uhakika zaidi katika miaka mingi ijayo. Vyanzo hivyo ni pamoja na Nyuklia na Jua ambavyo kwa bahati nzuri sana vyote kwa hapa Tanzania tunavyo.

Ushauri wangu.
1. Kuna teknolojia mpya salama zaidi ya kutengeneza plant ndogo za nyuklia. Serikali ialike wataalam kutoka nchi za Ujerumani au Scandinavia wajenge hata plant moja ya namna hiyo kwenye moja ya mikoa yenye bahari/ maziwa hapa Tanzania. Tukipata megawat hata 10,000 au 20,000 sio mbaya. Uzuri madini ya uranium tunayo kinachotakiwa ni teknolojia tu.

2. Kuna mikoa/ sehemu hapa nchini ambayo Jua linawaka kwa uhakika kwa miezi si chini ya 10 au 11. Serikali iwekeze haraka uzalishaji wa Umeme Jua kwenye mikoa hii hata megawat 3000 - 5000

Inawezekana watu wakasema tuna gesi ila kiuhalisia gesi tuliyonayo ni ya matumizi ya miaka 30- 50 kama sikosei hivyo inawezekana huko mbeleni nayo ikaisha.


Naomba kuwasilisha.
Tanzania tuna joto Ardhi ya kutosha kabisa ni swala la utafiti na uendelezaji tuu.

Vyanzo vya maji sio sustainable
 
Wewe baki hapohapo dunia inasonge mbele

Wewe baki hapohapo dunia inasonga mbele bado uko nyuma

View attachment 2827245
Mkuu unajua hata kusoma unachoandika ? Rudia kusoma ulichoweka hapo alafu uone mimi naongea nini na wewe unasema nini umeleta hio page kutoka wapi..., Pumped hydro una-compare ni compressed air kwa costs wakati hapo tayari infrastructure ya Hydro unayo na ya Compressed hauna..., Ushaambiwa its only available in certain areas and one of that area happens to be Tanzania...

Hukohuko ulipo-qoute hio paragraph percentage ya energy iliyowekwa kwenye Pumped Hydro ni kiasi gani na Compressed air ni kiasi gani ?

Kama una kiwanda chako na unatumia Tools ambazo nyingi zinaweza kutumika moja kwa moja kwa Compressed air unadhani utachimba bwawa ili energy utunze kwenye Bwawa alafu ubadilishe tena hio energy kuwa pressurized air ?!!

Mkuu haya mambo yanaendana na what is available and what is required
 
Miti mingapi ilikatwa kwa ajili ya kutengeneza facilities za bwawa la Nyerere?
Kila siku miti inakatwa na Bwawa litakaa miaka mingapi ? Tukichukulia unachoongelea misitu mingapi iliondolewa ili kutengeneza miji watu waishi

 
Suluhisho kwa sasa ni umeme wa gesi tu
Vipi kuhusu umeme wa jua au upepo?
Naona kama kuna maeneo kwenye nchi yetu jua kali sana linapiga, upepo wa kutosha kabisa unapatikana.

Kama tungeweza kuwekeza kwenye maji, jua, gas na upepo sidhani kama tungelaumiana. Shida moja kubwa, bongo zetu zipo dormant kama volcano ya mlima k'njaro.
 
Kuna watu wanaamini kabisa kuwa Bwawa la Umeme la Rufiji likianza kazi basi suala la Mgao wa umeme litakuwa historia kwenye nchi hii.

Kwa namna ninavyosoma taarifa mbalimbali za kiutafiti zinazohusu masuala ya Mazingira napenda kuwaambia hawa watu wakiwemo viongozi wetu kuwa inawezekana wakawa sahihi kwa muda fulani ila kwa muda mrefu hawatakuwa sahihi

Kwa hali ya mabadiliko ya hali ya hewa ilivyo inasemwa kuwa huko mbeleni suala la ukame litakuwa jambo la kawaida sana duniani na inawezekana hata uzalishaji wa chakula ukapungua sana.

Kwa haya ni sahihi kusema kuwa hata Bwawa la Nyerere inawezekana lisiwe efficient kwa miaka mingi ijayo kutokana na changamoto hizi.

Kwa upande mwingine kuna vyanzo ya umeme vinavyoonekana kuwa vya uhakika zaidi katika miaka mingi ijayo. Vyanzo hivyo ni pamoja na Nyuklia na Jua ambavyo kwa bahati nzuri sana vyote kwa hapa Tanzania tunavyo.

Ushauri wangu.
1. Kuna teknolojia mpya salama zaidi ya kutengeneza plant ndogo za nyuklia. Serikali ialike wataalam kutoka nchi za Ujerumani au Scandinavia wajenge hata plant moja ya namna hiyo kwenye moja ya mikoa yenye bahari/ maziwa hapa Tanzania. Tukipata megawat hata 10,000 au 20,000 sio mbaya. Uzuri madini ya uranium tunayo kinachotakiwa ni teknolojia tu.

2. Kuna mikoa/ sehemu hapa nchini ambayo Jua linawaka kwa uhakika kwa miezi si chini ya 10 au 11. Serikali iwekeze haraka uzalishaji wa Umeme Jua kwenye mikoa hii hata megawat 3000 - 5000

Inawezekana watu wakasema tuna gesi ila kiuhalisia gesi tuliyonayo ni ya matumizi ya miaka 30- 50 kama sikosei hivyo inawezekana huko mbeleni nayo ikaisha.


Naomba kuwasilisha.
maa ni safi ila ukichomeka "
inasemwa kuwa huko mbeleni" basi inaanza kuwa tatizo.
 
Back
Top Bottom