Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio watakua kama wahutu na watutsi kwetu Rwanda. Watareta genocide na kibaya zaidi wanazidiana nguvu na maarifa.Nini suluhisgo la mzozo huu??
Binafsi naona bora wangeungana ikawa nchi moja.
Wawe naserikali ya umoja
Tukirejea mkataba wa UN, Israel ndiyo iliyovuka mpaka kuingia katika ardhi ya Palestina ila tukiweka udini tutamuona Israel yupo sahihiNi nani, kati ya Israel na Palestina anayekalia ardhi ya mwenzie kimabavu?