Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Kweli duniani haki ni kuwa na nguvu tu hamna kingine!!!
 
Kwa mara ya kwanza neno PALESTINA lilianza kuonekana kwenye kumbukumbu na official documents lini?

Similarly, when did the word ISRAEL appear for the first time in historical records and official communications?

Mahali pa kuanzia ni kwenye records za falme za Mesopotamia, Uajemi, Faraoh, Rumi, Ottoman, etc. the word ISRAEL imetokea mara nyingi mno. Tupatieni historical records za PALESTINE. Sizungumzii dini; mleta mada ametahadharisha!
What a superb analysis! Tungekua na watanzania wengi wenye akili kama yako tungekua mbali. Ni mjinga tu ndio atasema eneo lile ni la wapalestina. Israel imekuepo kabla hata ya kuzaliwa kwa yesu!
 
Japo katika kujibu swali hili kutahitaji historia, naomba tujitahidi tusilete udini bali chanzo halisi cha mgogoro huu wa Palestina na Israel.


Ninachokijua kime-base kwenye dini na ndio maana nashindwa kukiweka hapa, nawaomba wataalamu wa Historia ya Israel na Palestina watusaidie, pia mtu yoyote aliye na uelewe wa haya mambo anaombwa achangie.
Eswatini ndo mwenye haki
 
Kwanza wadau tunaenda mbaali saana huko madmshariki ya kati kote,hivi wanaosema waisrael ni wavamizi watuambie Yesu(Issa kama wanavyo mwita waarabu) alikuwa mwarabu!?na aliishi wap!?.Kama kweli Israel ni wavamizi turudi kwetu bara la Afrika hivi hao waarabu wa kaskazini nikweli hiyo ardhi ni ya kwao!? Au nawao niwalewale!?nimalizie kwa kusema hivi watani zangu wangon ninyi ni ndugu na niwa tz og, tunawapenda saana.
 
Tupate historia kidogo maana wengine wana mahaba ya kidini ambayo tulipigwa na kitu kizito kichwani na Wazungu na Waharabu

View: https://youtu.be/uuCyN8MHBn8?si=e_N-udxVIY5bs7sy

Lisu kuna maeneo kachapia. Yizak Rabin, anamtaja kama Yizak Shamir. Lakini pia, japo kuna wakati ni kwa idadi ndogo, hakuna wakati ambapo Palestine iliwahi kutokuwa na Wayahudi. Licha ya wengi kuhama, bado kuna wachache walikuwepo nyakati zote.
 
Nani aliyevamia ardhi ya mwenzie kati ya Israel na Palestina? Swali lipo hapo, kuhusu ukorofi wa wa Palestina wa eneo la Gaza kuliko wa Palestina wa Ramallah (*kama eneo hili lipo) ni issue subjective kulingana na sababu ulizozitumia.
Waarabu ndiyo wavamizi. Hakuna wakati wowote uko Nyuma Palestine iliwai kuwa Nchi ama Utaifa wa mtu,bali ilikuwa ni colonial entity.
 
Mimi ni mkristo lakini Siwaungi mkono hao mamluki Wanaojiita israel
Waparestina wako aggressive coz wanajua hao watu sio wa waesrael wa kweli ni wazungu kutoka Uturuki

Kiufupi Waparestina Wanafahamu pale sio ardhi yao kiasili lakini tunahitaji waisrael halisi ambao wako Ethiopia na yemen ambao ndio hao Tunaowasoma kwenye biblia sema hawana sauti

kwa hiyo mwisho wa dunia ukifika kundi la watu ambalo Litachomwa moto kuliko watu wote ni hawa wa Israeli kwa dhulma wanayoifanya
 
Mimi ni mkristo lakini Siwaungi mkono hao mamluki Wanaojiita israel
Waparestina wako aggressive coz wanajua hao watu sio wa waesrael wa kweli ni wazungu kutoka Uturuki

Kiufupi Waparestina Wanafahamu pale sio ardhi yao kiasili lakini tunahitaji waisrael halisi ambao wako Ethiopia na yemen ambao ndio hao Tunaowasoma kwenye biblia sema hawana sauti

kwa hiyo mwisho wa dunia ukifika kundi la watu ambalo Litachomwa moto kuliko watu wote ni hawa wa Israeli kwa dhulma wanayoifanya
Acha kuvuta unachovuta,utakuja nishukuru.
 
H
Kwasababu Jerusalem ni sehemu ya palestina (Zamani Philistia) tokea Abraham bado hajabalehe!!
Nakubaliana nawewe, swali. Hivi hawa wenyeji wa Palestina ya sasa ndo wale wa kipindi kile au nao ni wavamizi kama Israel?
 
H

Nakubaliana nawewe, swali. Hivi hawa wenyeji wa Palestina ya sasa ndo wale wa kipindi kile au nao ni wavamizi kama Israel?
Wote wavamizi tu, maana original palestinians walishakua sucked na makabila mengine tokea uvamizi wa Persians na babylonia
 
Lini Tanzania iliwahi kuwa taifa kabla ya Ukoloni wa uingereza.
ngoja niiweka katika lugha Rahisi.
Africa ni jina la Eneo.hakuna wakati Africa iliwai kuwa nchi ama utaifa wa mtu.

katika hiyo Africa kumezaliwa nchi nyingi.

Palestine vile vile hakuna mahala iliwai kuwa utaifa wa mtu,kila aliyekuwa mkaazi wa ilo eneo aliitwa mpalestina.

katika hiyo hiyo Palestine, waarabu baadhi wakakata 77% ya Eneo la Palestine, wakatengeneza Nchi inayoitwa Jordan.
ila sijawai sikia wapigania uhuru fake wa Palestine wakitaka Ardhi ya Jordan ilhali nayo ni Palestine.
 
Back
Top Bottom