Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

Bila kuleta udini na uhafidhina, kati ya Israel na Palestina nani aliyevamia eneo la mwingine?

The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord
Sasa Mungu akikupa nchi anaitumia marekani? Kwenye Bible mara zote walikua wanarudishwa na nabii, embu niambie nabii gani aliwarudisha hao wayahudi hapo Tel Aviv?

Kwahiyo kesho nikiibuka tu nikasema mimi ni mpinga kristo basi automatically nakua nimetimiza maandiko?

Hii JF imekua na reasoning ndogo sana
 
Kwa mara ya kwanza neno PALESTINA lilianza kuonekana kwenye kumbukumbu na official documents lini?

Similarly, when did the word ISRAEL appear for the first time in historical records and official communications?

Mahali pa kuanzia ni kwenye records za falme za Mesopotamia, Uajemi, Faraoh, Rumi, Ottoman, etc. the word ISRAEL imetokea mara nyingi mno. Tupatieni historical records za PALESTINE. Sizungumzii dini; mleta mada ametahadharisha!
Kwamba hujawahi sikia neno Philistia kwenye Bible? Philistia ilikuja kuitwa Palestine na wagirik... mind you philistia ziliishi jamii za wacanaan kama hivites, gilgashites n.k hao kina Abraham wamekuja baadae sana kama wahamiaji tu.

Jifunzeni historia acheni ujuaji
 
Kama palestina ilikuwepo muda mrefu ni kitu gani kilicho wazuia wapalestina kuwa na taifa lao kama nchi?.
Ukoloni kuanzia rumi mpaka Ottoman hadi uingereza.... ni kama Tanzania tu tumekuwepo maelfu ya miaka ila taifa lilianza 1960s kwani tulicheleweshwa na nani?

Hao waingereza kama wangetoa uhuru pekee wakaondoka basi kungekua na taifa la Palestine
 
Kwamba hujawahi sikia neno Philistia kwenye Bible? Philistia ilikuja kuitwa Palestine na wagirik... mind you philistia ziliishi jamii za wacanaan kama hivites, gilgashites n.k hao kina Abraham wamekuja baadae sana kama wahamiaji tu.

Jifunzeni historia acheni ujuaji
Bible tena? Unadonoa vinavyokupendeza; au sio?
 
Umenukuu Biblia tena, vipi mkuu?
Ila wewe jamaa,naomba nikupe ushauri wa Bure.
Sio Kila historia utaitenganisha na dini.
Kuna historia nyingine zinatokana na machapisho ya vitabu vya kidini na wala huwezi kupata maelezo kamili nje ya vitabu vya kidini.
Kumbuka Karne nyingi zilizopota hapakua na serikali kama hizi za Sasa hivi Bali uongozi wenye milengo ya kidini.
Kwa hilo suala la Israel na Palestine hapo huwezi kukwepa machapisho ya vitabu vya dini.
Sasa kama hutaki hii basi wewe utakua una historia Yako unayoijua ila kwa Uzi huu utakua unataka TU kuchosha watu.
Kwa hiki unachokitaka Cha kukataa kutumia vitabu vya dini kupata historia ya mgogoro huu ni sawasawa na kumuuliza Baba Yako kua "hivi wewe ulizaliwa lini lakini ukamkataza baba Yako asikujibu kwa kupitia taarifa za hospitali,wakati inajulikana wewe kwa umri wako ulizaliwa wakati hospitali zilikua tayari zimeanzishwa"hapo utakua umeweka masharti magumu na hutoweza kupata majibu sahihi.
Kwa sababu ndani ya vitabu vya dini Kuna historia na sio mambo ya kuabudu pekee.
Acha kulazimisha vitu ambavyo havitaweza kukupa majibu.
Labda kama wewe unajua historia zaidi ya hii ya kwenye vitabu vya dini.
Kumbuka vitabu vya dini vinazungumzia zaidi mambo yaliyotokea middle east hapo Karne nyingi zilizopita na wala sio sehemu nyingine za Dunia.
 
Hizo ni hadithi za ngano tu, hakuna vitabu vyovyote vya historia vinavyothibitisha haya mambo.
Sawa mwambie anapo leta hadith za Ibrahim hakosekani mtoto wa Ibrahim aliye mtoa sadaqa ambaye ni mwanae wa pekee Ismail. Wakati ule Nabii Ibrahim ana miaka 86 Ishaq wala hajulikani kama atazaliwa 😄 Kwa hio walio ahadiwa ni Mungu ni Wajukuu wa Ismail.
 
Unajua wewe ndiye huelewi maana kihistoria hakuna uthibitisho wowote unaoweza kuuweka hapa kuonesha Israel ilikuwepo kabla ya Palestina bila kunukuu vitabu vya dini ijapokuwa tuntatofautiana katika kuelewa kifungu husika.
1000041709.png


Level yako ya uelewa wa Historia ni mdogo sana...

Hii ni history nje ya Biblia inaonesha Wayahudi chini ya Hasmonea dynast waliweza kuondoa utawala wa Wagiriki na Kujitawala kama taifa huru.

Capital City ni Jerusalem, lugha ni mojawapo ni Kiebrania na sio Kiarabu.

Tena Ardhi yao ilifika, misri, Jordan, na Syria
 
Herode unamkuta katika kitabu gani?
1000041710.png


Hii ni historical facts kuwa Romans walipofika hapo walikuta Judea wanakaa Jamii ya Watu wanaitwa Wayahudi.

Wapalestina hawana History na Eneo wanaloishi... Ndio maana kwenye website yao ya utalii na history ya wao kama nchi inaanzia mwaka 1986.

Mkitaka kuitetea Palestina msitumie history cause mtaonekana ignorant.

Kwenye issue ya Palestina tunatumia humanity and situation on the ground, and not historical facts where can take all 5 millions people who identify as Palestinians
 
Sawa mwambie anapo leta hadith za Ibrahim hakosekani mtoto wa Ibrahim aliye mtoa sadaqa ambaye ni mwanae wa pekee Ismail. Wakati ule Nabii Ibrahim ana miaka 86 Ishaq wala hajulikani kama atazaliwa 😄 Kwa hio walio ahadiwa ni Mungu ni Wajukuu wa Ismail.
Unaweza kuthibitisha kwa aidha Quran au Biblia pasi na shaka kwamba mtoto aliyetakiwa kutolewa sadaka ni Ismail?
 
Ukienda kwenye dini au bila dini Palestine ndio wenye haki, kwenye dini hio ardhi ilijulikana kama ya watu wenye asili ya Canaanites ambao ni watu wa pale ni Lebanon, Jordan, Palestine na part ya Syria wa Israel wala hawana hata asili ya Canaanites wanajaribu kufake kama walivyo fake kujiita waIsrael. Hata Qur'an inawatofautisha kati ya Wayahudi.na Watoto wa Yakobo. Qur'an ina waita Bani Israel lakini Wayahudi inawaita Yahudi.

Ukienda kwenye nje ya dini Wapalestine walikuwepo hapo kabla ya hao Wayahudi ambao wanajiita Waisrael walivyo kuwa wizi wa history hawa.
Bible inawatambua, na inasema kabisa kuwa ile nchi ni ya kwao.
Quran na Bible kipi kilianza?
Kabla ya uislam kuingia pale kina na i walikua wanaishi pale?

Tatizo lenu mnataka history ianzie kati kati
 
Lile eneo ni la waarabu , hasa kwa sababu media , na nguvu duniani kashika marekani na kuna mikataba ya siri uingereza na marekani kuisapoti Israel kwa lolote ndio shida , baadae akaja misri akataka kuwatetea wapalestina akaishia njiani , ikatokea migawanyiko mikubwa middle east , akabakia Iran ndio anawatetea wale watu , hao houth, hezbollah, hamas sio magaidi hivo ni vyama vya kisiasa tena vilikua vinashiriki chaguzi huko na vina wabunge , kama ilivo ccm na greengaurd yao Leo waitwe magaidi , maana nao hupata mafunzo ya kijeshi kule ihemi ikiwapo kutumia silaha , hasa vile vyama kulinda maslahi ndio vikaunda vikosi vya kujilinda na kulinda watu wao , hao sio magaidi kama tunavyoaminishwa na dunia ishaingia mkenge na kupata dhambi ya bure kwa kuwachukia wasio na hatia na kuwapenda wenye hatia
Iran ni mwarabu?
 
Acha stori za kusadikika, huyo Daudi hajawai kuwepo, leta machapisho na nakala zinazoonesha kuna jamaa wa aina hiyo aliisho middle east, mnatumia biblia kama ushahidi wakati kitabu chenyewe tu kina mikanganyiko, yaan kitabu kilichoandikwa na huyo huyo mvamizi akajipendelea na kujitukuza, then utegemee kitabu hicho kisimpe favour?

Wafia dini akili hamtumii
Herode Mfalme wa Wayahudi yuko katika historia ya warumi
 
Jibu ni moja tu, kama mmiliki halali ni mtu mweusi, maana yake ndiye muisrael wa kweli na ndiye aliyetakiwa kutukuzwa na mataifa yote duniani, na hiyo israel wanayodai ipo middle east, ni uzushi tu,

Ardhi takatifu ni Afrika nzima ambayo wanaing'ang'ania mpaka leo waitawale.

Jiulize ktk biblia na kiuahisia, ni nani aliyewekwa utumwani? ni taifa lipi lililosambaa dunia nzima?, ni taifa la race ipi ambalo limeonewa sana? Jibu ni taifa la mtu mweusi, ndilo lenye haki ya kuitwa myahudi na sio hao wazungu na waarabu.

Kama waafrika tungewekeza muda wetu kusoma mambo ya msingi tungeamka mapema sana, haya mambo yako wazi sana mbona hata hao wazungu wenyewe wanajua Israel ya kweli ni Afrika na waafrika, lkn sisi wafrika bado tunajazana imani za kipuuzi makanisan na misikitini kuabudu uongo na kuchukiana sisi kwa sisi.

Sasa kama mwamba wao Putin mwenyewe tena mtu mwenye influence dunia nzima anayejua siri nyingi dunian, anakubali haya mambo kuhusu real African history, sasa mbona hizi kondoo zetu makanisani na misikitini zinabaki kupinga na elimu zao za madrasa/sunday school.

View attachment 3131182View attachment 3131183View attachment 3131184View attachment 3131182
Pumbavu,
Rubbish
 
Kama wote ni wavamizi; mmiliki halisi ni nani?
Mmiliki halisi hajulikani kwasasa kwasababu hao wote waliingia hapo kwa kupigana na lengo ni kuwapoteza wenye hati miliki , kwahiyo ni vitu viwili tu vilitokea kwa wamiliki ni kukimbia wasiuliwe au kuishi miongoni mwa wavamizi kama daraja la chini
 
View attachment 3131212

Level yako ya uelewa wa Historia ni mdogo sana...

Hii ni history nje ya Biblia inaonesha Wayahudi chini ya Hasmonea dynast waliweza kuondoa utawala wa Wagiriki na Kujitawala kama taifa huru.

Capital City ni Jerusalem, lugha ni mojawapo ni Kiebrania na sio Kiarabu.

Tena Ardhi yao ilifika, misri, Jordan, na Syria
Katika kitu ambacho ukijui ni kuwa Kiebrania ni moja ya lugha iliyotokana na lugha mama ya Semit ambayo lugha hii ilikuja kutoa Kiarabu, Kiebrania na Amhar.

Ni muhimu kujiuliza kabla Abraham hajatoka kwao Mesopotamia kuelekea kanaani unaaamini binadamu wakiohishi huko hawakuwa na lugha zao?
 
View attachment 3131213

Hii ni historical facts kuwa Romans walipofika hapo walikuta Judea wanakaa Jamii ya Watu wanaitwa Wayahudi.

Wapalestina hawana History na Eneo wanaloishi... Ndio maana kwenye website yao ya utalii na history ya wao kama nchi inaanzia mwaka 1986.

Mkitaka kuitetea Palestina msitumie history cause mtaonekana ignorant.

Kwenye issue ya Palestina tunatumia humanity and situation on the ground, and not historical facts where can take all 5 millions people who identify as Palestinians
Mkuu Wayahudi ata Ethiop wapo, ata Uganda wapo enzi ma enzi na hilo sikatai kuwa kulikuwa na jamii ya watu mbalimbali eneo hilo ila Wayahudi walikuwepo Yudea pia kama waliopo Ethiopia leo ata Iran kuna jamii ya Wayahudi pia mpaka leo.
 
Back
Top Bottom