run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Mkuu unafahamu Suleman Temple iko taifa gani?Jerusalem haijawai kuwepo as relation to bible/quran au dini yoyote.
Baada ya hawa majambazi(waisrael feki) kuona Historia&sayansi itawafunga kuwa hawahusiki na umiliki wa ardhi wakaamua kutumia ushahidi wa kusadikika ambao wengi wanauamini, yaani masimulizi ya watu wa kale kuwa walikua babu zao na ndio waliwapa iyo ardhi, kitu ambacho kiuhalisia, kisayansi, kijiografia na kihistoria hakisapoti na hakuna mahala popoote utakapopata ushahidi wa uwepo wa hao babu zao na Bible's characters kama akina ibrahimu, Yakobo, akina suleiman hawa wote ni fiction characters hawajawai kuwepo ktk hiyo ardhi na hata uwepo wao mahala popote duniani haupo na hatokuwepo.
hivyo basi wazungu na hao waisrael feki wanatumia mbinu hii ya dini kuwahadaa watu waamini maana ndio njia pekee ya wao kusurvive hapo, bila kisingizio cha dini hao waisrael feki wangeshaondolewa mapema sana maana, idadi kubwa ya watu wanaosapoti uvamizi wa hao fake Jews wanatumia hisia na imani zao za kidini zilizowaaminisha kuwa iyo ni ardhi teule ya mitume sijui na vitu gani huko, ndiomaana wanapata sapoti kubwa ulimwenguni, na hata kuna wanaojaribu kupinga uvamizi huu lkn wakifikili kuhusu maandiko ya biblia wanajikuta kubaki njia panda ama kusapoti.
Back to history hao wayahudi feki hawana ushahidi wa uwepo mahala hapo, kama nilivyosema historia inaweza kutaja maelfu ya watu walioishi maelfu ya miaka lkn kwanini hakuna ushahidi wa mtu yeyote ktk biblia aliyewai kuishi hapo middle east, au basi hata makaburi hakuna wala mabaki na michoro hakuna, zaidi zaidi utaambulia nakala feki ambazo zimeundwa juzi tu na magofu ya uongo ambayo yametengenezwa kusapoti uongo, mfano wa kaburi la yesu ambalo limeundwa na wala huyo yesu hajawai kuishi hapo israel na wala hakuwai na hatowai kuhusika na iyo ardhi.
Jamani kuna mambo ya msingi ili upate majibu ni lazima utumie njia nyepesi tu ambayo inamake sense,
Ni sawa na leo hii waTanzania tuivamie China ambayo hatuhusiki nayo kihistoria,kijiografia wala kisayansi then tuaminishe ni ardhi yetu kupitia maandiko ambayo tudai kuwa yaliyoka kwa babu zetu walioishi hapo, hii ni njia pekee ya kuteka hisia za watu wakuamini maana njia halali ya historia haiwezi kusapoti huu ujinga na hata DNA hazisapoti huu ujinga, je hao waisrael wenu wa uongo wanasapoti ya ibrahimu kihistoria na kisayansi kuprove huyo jamaa aliwai kuishi hapo?
The same kwa Afrika kama kuna ushahidi wa uwepo wa mababu wa kifalao walioishi zaidi ya miaka 5000 B.C je kwanini hakuna ushahidi wa kihistoria na kisayansi kuhusu uwepo wa akina yesu, na mitume wake hapo middle east ambapo hawa hawazidi hata nusu ya miaka ya mafalao walioishi zamani lkn ushahidi wao upo mpaka sasa,
Walokole na wapumbavu wengine mnaoamini kwenye dini amkeni mnachezewa akili.
Na huyo Suleman alikuwa kiongozi wa Taifa gani?
Hapo tunazungumzia historia sio Biblia na Quran