Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Umafia uko barani afrika tu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Neno lenyewe "mafia" si la kiafrika...

Hivi mtakua lini na hamu ya kujifunza mambo ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji106][emoji2956]
 
Kwny kiwanda chake cha bugurun vibarua wanaingia saa 12 asbuh wanatoka saa 12 jion,, mtu unakuta kabeba viroba 100 vya sembe afu anamlipa elfu 7. Huko sio kuwanyoosha??
Sawa....

Halafu huyo alipwaye elfu 7 kila siku kwa miaka 10 anafanya ukibarua hapohapo....huu ndio UMASKINI wenyewe sasa [emoji1787][emoji1787]
 
Subhanak allauma, Quran haijaacha kitu!!
 
Maisha....

Hata "ordinary life" ina changamoto hivyohivyo....

Life's a war .....
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii dunia kuna jamaa nilimsikia anasema kwamba eti tajiri hana chuki ..wakati wapo matajiri wanachukia hata wanaopata kidogo na wanapnga kuwadhulumu kabisa kile kidogo wakose kabisa...
[emoji2956][emoji2956][emoji106]
 
Umafia uko barani afrika tu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]

Neno lenyewe "mafia" si la kiafrika...

Hivi mtakua lini na hamu ya kujifunza mambo ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Kwa jinsi neno hilo lilivyo elezewa na mleta mada, Naona wewe ndio huja elewa nilicho andika.

Rudi kasome uzi vizuri, ali maanisha nini kwenye umafia huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…