900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
tekinolojiaya mzungu au pamoja naya muafrikaMpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.
Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.
Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.
Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Kufilisika ndio akiliTunaambiwa Trump alifilisika zaidi ya mara 4....usikate tamaa...
Well said.....halafu mwanasiasa mmoja tu yuko serikalini anakuja na hoja ya fursa ni nyingi na utajiri uko nje nje nendeni mkajiajiri....ngeke mkubwa.Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.
Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.
Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.
Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Kulalamika sio njia ya kutoka hapo ulipo hata hao wanasaisa hawajui chochote kuhusu Mafanikio that is way wamo wanagombania vyeo vidogo Kama ubunge na uraisWell said.....halafu mwanasiasa mmoja tu yuko serikalini anakuja na hoja ya fursa ni nyingi na utajiri uko nje nje nendeni mkajiajiri....ngeke mkubwa.
U-husler muhimu, ila kutoboa issue. Za mboga hukosi lakini.Kulalamika sio njia ya kutoka hapo ulipo hata hao wanasaisa hawajui chochote kuhusu Mafanikio that is way wamo wanagombania vyeo vidogo Kama ubunge na urais
huyo mwaba kanizidi parefu,.🙌🙌😂😂.....inaendelea....huyo tajiri kimsingi nimesoma nae darasa moja shule ya msingi hakuwa na uwezo darasani....form 4 alipata div 4....ila ametubeba sana kwenye makampuni yake.....washkaji wengine wana CPA lakini wanapewa maisha na huyu tajiri.......nakumbuka kuna siku tulikuwa nae Iringa......tulifunga mamilioni cha ajabu....sie asubuhi tunakunywa supu,yeye anakunywa maji ya uvuguvugu,mchana tunapata lunch yeye akaenda sehemu yenye kilabu cha pombe aka agiza kande za jelo...sie usiku tuna choma nyama na kuhangaika na pombe na upuuzi mwingine...yeye kitambo yupo chumbani na mavitabu yake......itaendelea.....
Unafeli we mama😀😀unataka bakhresa akuambie halipi Kodi na ana produce products ambazo sio salama Kwa afya ya binadamu?Sijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
Wengi Tunapata pesa hata kupitia dirt Money ila namna ya kuukuza huo mkwanja ndo shida tunakuwa harder hustler and not hustler smarter . So tuishi umo kwanza chaka kwa Chaka tupige pesa tusilale mpaka Account zisome pakubwa.U-husler muhimu, ila kutoboa issue. Za mboga hukosi lakini.
Wapi?
Uyo mama mwacheni dini inamchanganya😀😀Ukizitumia wewe unatoboa? Kawe shoe shiner halafu ghafla uwe trillionea
So sasahv ww ni mafioso!?Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.
Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.
Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
Tupe hiyo formula imeandikwa katika aya ipi ya kitabu cha mtume!?Sasa umebadili wimbo, siyo "umafia" tena?
Kijana hakuna utajiri wa namna hizo, utajiri ni mawazo yako tu.
AlhamduliLlah Uislam unafundisha namna kuwa utajiri, wanaofata njia hizo wanatajirika tu, hakuna cha kuwazuwia.
Kwanza ni lazima uelewe, kuwa tajiri siyo kuwa na pesa zisizokuwa na kazi.
Kijana acha kusikiliza maneno ya google na kuambiwa,achana kabisa na Mark zuck na Elon 😀😀Kawaulize wamarekani kuhusu mark watakwambia alivyo mafia vitu vingi anavyomiliki ni copy ya vitu vya wenzake nikupe kimoja tu thread ni copy ya twitter, Facebook ni aliwadhurumu washikaji zake,twende Kwa Elon ana space X ambayo NASA wanaitegemea na Hela za ruzuku muda wowote anapewa na gavoo ya US we utashindana na Elon au UNALETA utani,kila utajiri una Siri kibao sio kama uyo bibi Faiza anadai anamjua bakhresa ni mtu mwema😀😀anajua wakina Nani wanashare pale bakhresa group?Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.
Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Mark alikua anamiliki twitter?Ya kina mark Zuckerberg utayaona wapi wakati uko mbali nayo??? Tena huyo mark ndo usimzungumzie huyo ndo mafia wa mamafia,,, hata hyo Facebook halikua wazo lake kuna mtu alimpelekea hlo wazo amuundie hyo app ,,,,guess what happened next!!!
Haya hapa juz juz kauza twitter kwa elon musk afu kazindua mtandao mwngne ambao ni C&P ya twitter!!
Naskia rostam alimiliki share za Voda Kwa mdomo tu hakutoa ata Tsh 100? Ukitaka deal lako la mabilioni litick hapa East africa au Tz we ongea na Rostam tu😀😀Tena haw Waarabu ...Ndio usiseme ,tunaojua wamefikaje hapo huwa tuwawazoom tu...eti waasimilia jinsi walivyoanzia chini kibiashara!😁🤭
Umafia mfate Rostam akufundishe😀😀😀Nataka nijifunze umafia
Hapana ni taasisi ya kutoa mali😂😂🤣😁Kumbe illuminati chanzo chake ni Mwenyezi Mungu ,right?