Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Kwny kiwanda chake cha bugurun vibarua wanaingia saa 12 asbuh wanatoka saa 12 jion,, mtu unakuta kabeba viroba 100 vya sembe afu anamlipa elfu 7. Huko sio kuwanyoosha??
 
Umafia wa Afrika umezidi na ume ambatana na undugu sana.

Afadhali hata umafia wa nchi za first world countries sio mkubwa kivile kama huu wa Afrika.
 
Bado unalima kusini nije unipe Ramani za mashamba bibie.
 
Umetia chumvi sana kuhusu mamantilie
 
Mashamba sasa hivi kibao na mikopo bwereree, nenda wizara ya kilimo au wapigie simu wakupe utaratibu.

Serikali inafanya bidii kuwawezesha nyie mnadanganyana hapa: Piga hii kwa kilimo: Tel: +255 733 800 200
Dadangu kipenzi Cha Rais mama Samia tumedanganyana na nani wakati mie nimeuliza!
Anyway naomba unipatia namba ako wewe Kisha utanielekeza vizuri Habibat ..
 
Hapa umenikumbushia jamaa flani anaitwa tomath shelby. Mafanikio ni umafia na kujali familia yako maana ndo watu pekee watakao kuangaikia ukiwa maututi, maana sio kila ndugu ni mbaya kwako.

If they ask you, tell them order coming from fucking peaky blinder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…