Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Hii mbona naskia bahresa alishindwa akarudisha jina la watu
 

Siri ya utajiri ndivyo ilivyo……
Lazima uteseke ili kizazi chako kijacho kile nguvu kazi yako, iwe kwa kuua au kudhulumu.
Empire nyingi zilitengenezwa kwa style hiyo
 
graph,histograms,pie chart ..... Ideal for prompt DATA & TRENDS VISUALIZATION
 
Hizo zote porojo za mitaani tu. Bakhresa jina lake lina kosa gani hata atumie jina la Azania?

Wacheni kudanganyana, fanyezi kazi kwa bidii, hakuna aliyezaliwa na mali na hakuna aneondoka na mali. Tumezzikuta na tunaziwacha hapa hapa.
We demu huna akili, si ukaangalie kesi mahakamani ipo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Umafia ni nini?
 
Acha uongo. Twitter haijawahi kumilikiwa na Mark Zuckerberg.
 
Utajiri ni nini, na kuwekeza kwenye teknolojia, ipi hiyo? Utajiri hasa ni nini..kuwa na mali nyingi, pesa nyingi au happiness and peace, sielewi
 
Huo umafia ni kwenye akili zenu, mnaongea kana kwamba Zuckerberg aliwawekea bunduki kichwani watu wa Whatsapp na kuwaambia wamuuzie app yao au la ...

Tech guys wengi huwa wanaanzisha start ups ili waje waziuze, huwa hawana long term plans kwa sababu wengi wao huwa hawataki kuanza kuumiza vichwa jinsi ya ku-scale up biashara ya hizo app/ websites. Pia ofa inaweza kuwa kubwa mpaka mtu inabidi uuze, ukikataa kila mtu atakuona mwehu.

Wewe umeitaja Whatsapp tu lakini apps/websites nyingi maarufu haziendeshwi na waliozianzisha kuanzia Whatsapp, Instagram, Youtube, Twitter, LinkedIn, Paypal etc.
 
Maskini ni tatizo kubwa. hayo mawazo mgando yanakuja ukiwa na njaa. njia za kumiliki hela halali zipo nyingi bila umafia.

Maskini akishafeli maisha huwa anaona kila mwenye hels ni tapeli.

Tafuta hela tu hayk mawazo mgando utayasahau
Sidhani kama mleta mada anamanisha wizi na utapeli mbona Kuna wezi na matepeli kibao na ni masikini bado
 
Labda kama kuna kesi nyingine...ila hii alishinda.

Point ya mtoa mada ni kweli, biashara na roho ya Mama Theresa itakushinda; Labda usiwe mkubwa.
Au kanunua brand anailipia?. Mana naskia azania ni supplier mkubwa wa ngano afrika mashariki na kati kwa sasa na kama ni hivyo bahresa anauzia jina Hilo Rwanda tu
 
UKWEILI AMABAO HAUSEMWI WAZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…