Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Hahahah au sio tajiriVijana mnaongea sana....matajiri tumekaa pale tunawacheki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah au sio tajiriVijana mnaongea sana....matajiri tumekaa pale tunawacheki tu.
Hakutoa hata thumni? [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naskia rostam alimiliki share za Voda Kwa mdomo tu hakutoa ata Tsh 100? Ukitaka deal lako la mabilioni litick hapa East africa au Tz we ongea na Rostam tu[emoji3][emoji3]
Chai hiyo [emoji3][emoji3]Mark alikua anamiliki twitter?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kijana acha kusikiliza maneno ya google na kuambiwa,achana kabisa na Mark zuck na Elon [emoji3][emoji3]Kawaulize wamarekani kuhusu mark watakwambia alivyo mafia vitu vingi anavyomiliki ni copy ya vitu vya wenzake nikupe kimoja tu thread ni copy ya twitter, Facebook ni aliwadhurumu washikaji zake,twende Kwa Elon ana space X ambayo NASA wanaitegemea na Hela za ruzuku muda wowote anapewa na gavoo ya US we utashindana na Elon au UNALETA utani,kila utajiri una Siri kibao sio kama uyo bibi Faiza anadai anamjua bakhresa ni mtu mwema[emoji3][emoji3]anajua wakina Nani wanashare pale bakhresa group?
Kampuni gani ilijaribu kuleta halafu ikazama mkuuAlimfanyia umafia AZANIA aka mikoani ltd huko Rwanda yule mpemba ni Yakuza kabisa
Angalau jiko zao zinajitahid sio kama huku vichochoron ambako usiku mateja wanajisaidia, asubuh ndo sehem ya kuoshea vyombo!!Mkuu ushawahi ingia jikoni kwenye hzo hotel za gharama..?? Tukuambie au tukuache kwanza🤣🤣🤣🤣🤣
Anasahau wazungu wanavyotufanyia umafiA kwenye migodi yetu na Mali asili zengne...Hii kitu ipo dunia nzima. Shida neno la "umafia" lina relate sana na illegality; lakini ukilichukulia kama unfairness acts ndio utaona dunia nzima haya mambo yapo.
Juzi tu hapa Australia imekataa kuongeza route za Qatar airways nchini kwao bila sababu za msingi, hiyo move imekuwa engineered by Qantas Airways. Ndio umafia wenyewe. Tena wenzetu wako very aggressive and open. Facebook akishindwa kukunua ata-copy unachofanya ili kukumaliza.
Au wamesahau kesi ya Mo na kleesoft ,Mo Naye ni mhuni kama wachina tu baada ya kuona kleesoft bongo wanapiga pesa akaibuka na clean soft , kleesoft wakasema aache utoto😀😀wakampeleka mahakamani akaamua asitishe mpango wake WA kimafia,tatizo wabongo wengi hawajui vitu Duniani vinavyokwendaKampuni gani ilijaribu kuleta halafu ikazama mkuu
Umenena kwa Ubongo Mkubwa sana ...Big-upWanaojua hawasemi, na wanaosema hawajui.
Hapo kweli au vyombo vinawekwa juu ya sink la choo daahAngalau jiko zao zinajitahid sio kama huku vichochoron ambako usiku mateja wanajisaidia, asubuh ndo sehem ya kuoshea vyombo!!
Mo janjajanja [emoji1787] [emoji1787]Au wamesahau kesi ya Mo na kleesoft ,Mo Naye ni mhuni kama wachina tu baada ya kuona kleesoft bongo wanapiga pesa akaibuka na clean soft , kleesoft wakasema aache utoto[emoji3][emoji3]wakampeleka mahakamani akaamua asitishe mpango wake WA kimafia,tatizo wabongo wengi hawajui vitu Duniani vinavyokwenda
Kumbe babe ushakua tajiri na hausemi? Watu mko na siri sana!Vijana mnaongea sana....matajiri tumekaa pale tunawacheki tu.
kwa jinsi ninavyoona huyu mumuache kwanza🤣🤣Mkuu ushawahi ingia jikoni kwenye hzo hotel za gharama..?? Tukuambie au tukuache kwanza🤣🤣🤣🤣🤣
asante sana mkuuPole sana mkuu
Kwanini mazingira ya bongo sio rafiki?Je mazingira ya bongo ni rafiki kwa wewe kuwa tajiri?
Maana nahakika mazingira ya bongo na mifumo ingekuwa kama ya ulaya huenda leo afeica ingekuwa kinara kwa mabilionea