Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

Soma vitabu vya dini utaelewa jambo, vitabu hivyo vinazungumzia uwepo wa Mwanaume kabla ya Mwanamke maana yake hapo kabla Mwanaume hakua na tofauti yoyote na CREATOR mpaka pale alipoletewa Mwanamke ndio tofauti zikajitokeza na baada ya tofauti hizo Mwanaume alifukuzwa sababu akufuata makatazo aliyopewa aliamua kumsikiliza Mwanamke balada ya kumsikiliza Creator wake alimkataza nini, km Mwanaume angegoma kula lile tunda alilokatazwa basi Wanaume wote tungekua paradiso huko sijui unaelewa?
zwazwa kweli wewe, unaamini hizo ngano..? toka huko haraka hicho kitabu nimesoma mara mbili nikaanza kuona kuna vitu havipo sawa na kweli ni upuuzi mtupu!.

hebu tokeni huko haraka mnatuabisha ndio maana hata fikra zenu ni duni mnatuletea mada kama hizi!
 
Nyongeza :mwanamke kila mwezi ana siku 10 za kua kichaa na anaweza kufanya maamuzi ya ajabu ndani ya siku hizo , siku tatu kabla ya kuingia period , siku tatu au nne za period na siku tatu baada ya period hapo mwanamke hatumii akili yake timamu , ndani ya muda huo anaweza kufanya lolote ikiwamo kucheat , kununa na maamuzi mengine ya ajabu , hivo mwanamke Yuko timamu kwa siku 20 Tu kila mwezi
Bado hawajakuelewa wafafanulie tena vizuri ili wakuelewe
 
zwazwa kweli wewe, unaamini hizo ngano..? toka huko haraka hicho kitabu nimesoma mara mbili nikaanza kuona kuna vitu havipo sawa na kweli ni upuuzi mtupu!.

hebu tokeni huko haraka mnatuabisha ndio maana hata fikra zenu ni duni mnatuletea mada kama hizi!
Kwa hio unataka kupingana na ukweli au unaupinga ukweli? Kuna wanawake wanaua kabla kiumbe hakijazaliwa unajua hilo au unasikia sikia tu? Kuna wanawake wanazuia mimba maana yake hio ni namna moja wapo ya ukatiri au haujui? Huruma 0 hio nimekupa mifano hai kabisa sasa km unabisha na hio wewe inabidi upwimwe medula
 
Logical non sequitur.
Km una ubongo mdogo km wa tembo na sisimizi huwezi kuelewa kilichoandikwa hii inahitaji watu wenye uelewa mkubwa kuelewa na mifano ni mingi sana ila kwa sababu ni mzito kusoma na kuelewa basi baki hivyo hivyo siku moja utanyoosha mikono juu
 
Bila Salamu.

Wanabodi ninathibisha kwamba bila uwepo wa DINI ya kikristo na kiislamu basi nawahakikishia Wanaume wengi wangekufa kabla ya muda wao.

Wanawake wengi hawana huruma kwa Mwanaume namaanisha wengi na ninaposema wengi naomba nieleweke namaanisha wengi. Yaani kwenye Wanawake 10 Mwanamke mwenye huruma na Mwanaume hayupo.

Ila sasa unajua nini kinacho dilute ile chuki ya Mwanamke kwa Mwanaume? DINI

Wengi wanazidharau hizi DINI na wengine wanafika mbali na kusema hakuna Mungu hakuna DINI Mungu hana DINI km kuna Mungu nionyeshe nani kamuumba Mungu? Na maswali mengine mengi mengi mengi.

Ila tu niwaambie wale wote wenye mtizamo km huo bila hizi DINI mnazoziona duniani nawahakikishieni Wanaume wengi wangekufa km kuku wa kideli.

Usishangae kwanini kwenye haya makanisa mengi ya manabii na mitume waliojazana kwa wingi ni Wanawake, haujiulizi kwanini?

Kwanini Wanawake inamaana Wanaume hawatambui umuhimu wa DINI zao?

Wanawake wanajiweka karibu na DINI ili kujipunguza makali ya kufanya machafuko kuwateketeza Wanaume maana Mwanamke kumteketeza Mwanaume ni suala la kugusa tu. Ila kwa sababu ya uwepo wa DINI wengi wao huacha kufanya hivyo. Kwa hio alie engineer suala zima la dini aliona mbali sana kuhusu hawa Wanawake.

Niishie hapa.

Ungekuwa umetofautisha wanaume na vijana wa hovyo ungekuwa umejitendea haki sana mkuu.
 
Kwa hio unataka kupingana na ukweli au unaupinga ukweli? Kuna wanawake wanaua kabla kiumbe hakijazaliwa unajua hilo au unasikia sikia tu? Kuna wanawake wanazuia mimba maana yake hio ni namna moja wapo ya ukatiri au haujui? Huruma 0 hio nimekupa mifano hai kabisa sasa km unabisha na hio wewe inabidi upwimwe medula
wewe hufai hata kuwa ng'ombe ya nyama na hata ukiwa ya maziwa basi utatoa maziwa machungu!..

ukisema tuanze kulinganisha uuaji hapa kati ya me na ke.. me hatushikiki! ati wanazuia vipi sie na mapunyeto ya kila namna..? sisi ndo watengeneza siraha mpk mabomu ya nyuklia vita sisi hivi mkuu unakichwa au bichwa..?🤣
 
Kwa hio unataka kupingana na ukweli au unaupinga ukweli? Kuna wanawake wanaua kabla kiumbe hakijazaliwa unajua hilo au unasikia sikia tu? Kuna wanawake wanazuia mimba maana yake hio ni namna moja wapo ya ukatiri au haujui? Huruma 0 hio nimekupa mifano hai kabisa sasa km unabisha na hio wewe inabidi upwimwe medula

Wanovaa condom, wapiga ny*to, mashoga, wageni wa Pdidy, wenye kufanya vasectomy, nk uliwakumbuka?
 
zwazwa kweli wewe, unaamini hizo ngano..? toka huko haraka hicho kitabu nimesoma mara mbili nikaanza kuona kuna vitu havipo sawa na kweli ni upuuzi mtupu!.

hebu tokeni huko haraka mnatuabisha ndio maana hata fikra zenu ni duni mnatuletea mada kama hizi!
Km wewe kweli unasoma vitabu vya dini basi ile siku Eva alipompa Adam tunda alile angekua amelipakaa sumukuvu sasa hivi usingekuwepo ila ni uthibitisho tosha kwamba Mwanaume kumalizwa na Mwanamke ni suala la kugusa tu unapotezwa
 
Bila Salamu.

Wanabodi ninathibisha kwamba bila uwepo wa DINI ya kikristo na kiislamu basi nawahakikishia Wanaume wengi wangekufa kabla ya muda wao.

Wanawake wengi hawana huruma kwa Mwanaume namaanisha wengi na ninaposema wengi naomba nieleweke namaanisha wengi. Yaani kwenye Wanawake 10 Mwanamke mwenye huruma na Mwanaume hayupo.

Ila sasa unajua nini kinacho dilute ile chuki ya Mwanamke kwa Mwanaume? DINI

Wengi wanazidharau hizi DINI na wengine wanafika mbali na kusema hakuna Mungu hakuna DINI Mungu hana DINI km kuna Mungu nionyeshe nani kamuumba Mungu? Na maswali mengine mengi mengi mengi.

Ila tu niwaambie wale wote wenye mtizamo km huo bila hizi DINI mnazoziona duniani nawahakikishieni Wanaume wengi wangekufa km kuku wa kideli.

Usishangae kwanini kwenye haya makanisa mengi ya manabii na mitume waliojazana kwa wingi ni Wanawake, haujiulizi kwanini?

Kwanini Wanawake inamaana Wanaume hawatambui umuhimu wa DINI zao?

Wanawake wanajiweka karibu na DINI ili kujipunguza makali ya kufanya machafuko kuwateketeza Wanaume maana Mwanamke kumteketeza Mwanaume ni suala la kugusa tu. Ila kwa sababu ya uwepo wa DINI wengi wao huacha kufanya hivyo. Kwa hio alie engineer suala zima la dini aliona mbali sana kuhusu hawa Wanawake.

Niishie hapa.
Vyema sana mkuu
 
wewe hufai hata kuwa ng'ombe ya nyama na hata ukiwa ya maziwa basi utatoa maziwa machungu!..

ukisema tuanze kulinganisha uuaji hapa kati ya me na ke.. me hatushikiki! ati wanazuia vipi sie na mapunyeto ya kila namna..? sisi ndo watengeneza siraha mpk mabomu ya nyuklia vita sisi hivi mkuu unakichwa au bichwa..?🤣
Mboni nimekupa mifano hai wewe toa mfano hai unaothibitisha hilo unalolisema, nimeanza kwenye vitabu vya dini Wanawake hao hao wanaokesha makanisani hawajiulizi kwanini Bwana Yesu hakuchagua Wanawake 12 wawe mitume wake au tukirudi kwenye Uislam kwanini Mtume Mohamed (SAW) hakuchagua Makhalifa wa kike katika Makhalifa wake aliokua nao? Jiulize tena
 
Km wewe kweli unasoma vitabu vya dini basi ile siku Eva alipompa Adam tunda alile angekua amelipakaa sumukuvu sasa hivi usingekuwepo ila ni uthibitisho tosha kwamba Mwanaume kumalizwa na Mwanamke ni suala la kugusa tu unapotezwa
wewe ni peremende sana!.. kama unamuda mi naweza kukuelewesha mmbaya wa yote hiyo ni kwa mujibu wa kitabu hicho unachokiamini!
 
wewe ni peremende sana!.. kama unamuda mi naweza kukuelewesha mmbaya wa yote hiyo ni kwa mujibu wa kitabu hicho unachokiamini!
Haya muda ndio huu elewesha hapa ueleweke kwani nimekuzuia toa hoja zako na mifano yako
 
Mboni nimekupa mifano hai wewe toa mfano hai unaothibitisha hilo unalolisema, nimeanza kwenye vitabu vya dini Wanawake hao hao wanaokesha makanisani hawajiulizi kwanini Bwana Yesu hakuchagua Wanawake 12 wawe mitume wake au tukirudi kwenye Uislam kwanini Mtume Mohamed (SAW) hakuchagua Makhalifa wa kike katika Makhalifa wake aliokua nao? Jiulize tena
unafikra ndogo mno!, sasa ulitaka umpangie wakuendanae we mwenyewe ungetembea na mua kama mkongojo ungeuacha...?????
 
Wote hao chanzo ni Mwanamke kwa hio hayo machafuko yote uliyoyataja yanatoka kwa Mwanamke sio Mwanaume

Kijana wa hovyo ny*to upige wewe ahusike mwingine vipi hapo?

Kila mtu mbele ya hukumu ni kushinda mechi zake ndugu.
 
Kijana wa hovyo ny*to upige wewe ahusike mwingine vipi hapo?

Kila mtu mbele ya hukumu ni kushinda mechi zake ndugu.
Jibu kwa hoja na mifano hai sio unatoa ngonjera isiyo na kichwa wala miguu
 
Back
Top Bottom