Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

sio wote kuna wachache ndo mazwazwa sie wengine hatuna ubaguzi kama mimi nimetokea kukupenda njoo tule ubwabwa sawii...😂

Baki na moyo huohuo maana chuki humuumiza mwenye chuki huku wengine tukiendelea kuenjoy life.
 
Mwanamke ni sawa na silent killer in a mute mode yaan km panya hivi anakung'ata huku anakupuliza mwisho anakuacha na donda na kovu la kudumu

Haa wewe endelea kuamini hivyo hivyo ndugu mjumbe.
 
Dini hizi mbili ni utapeli. Turudi kwenye asili yetu, ndoa zilidumu, upendo na amani vilitawala. Acha propaganda
Wahadzabe ni asili wanaishi kimila na huko Mwanaume hana power mwenye power ni Mwanamke ndio anayesimamia mtiririko wa ukoo sio Mwanaume, sijui unanipata? Sio Wahadzabe tu ukirudi kwenye asili jamii nyingi hususani hapa Tanzania ni Matrilineal hata Sheria zenu zipo hivyo zinaegemea kwenye Matrilineal sio Patrilineal haujiulizi kwanini? Means Mwanaume kupotezwa na Mwanamke ni jambo dogo sana
 
Upo sawa ila unarudi palepale kwenye point ya msingi kwamba Wanaume wengi anguko lao sababu kuu hua ni Wanawake yaan wewe unaweza ukabisha kwamba sio kweli ila jua dini ndio imewafanya Wanawake wasifanye maafa kwa kiasi kikubwa maana wana uwezo wa kuifanya dunia ikawa ya Wanawake tu bila kua na Wanaume au dunia isiwe na kiumbe chochote huo uwezo pia wanao km unabisha kuhusu hilo pia sema ili nikutolee mifano iliyo hai, najua kwa hilo hauwezi kunibishia maana majibu unayo nini kinasababisha wasifanye hivyo unajua wanaliwazika na dini kwamba usifanye hivi fanya hivi bila hivyo wangefanya maamuzi ya kutisha km walivyofanya kwenye ile Conference kwamba nyie wapuuzi sasa ni 50/50
Asante kwa mawazo yako, naona umekuja na hoja nzito. Ukweli ni kwamba uhusiano kati ya dini na jinsi watu wanavyofanya maamuzi, hasa kuhusu jinsia, ni mkubwa. Lakini pia ni muhimu kuelewa kwamba wanawake, kama ilivyo kwa wanaume, wana hisia, maadili, na utu ambao unawasaidia kufanya maamuzi yanayoenda mbali zaidi ya masuala ya kijinsia. Ndio maana hata bila dini, wapo wanawake na wanaume wanaojitahidi kuishi kwa misingi ya maelewano, heshima, na haki.

Hoja yako ya kwamba 'dini inawaliwaza' ni ya kuvutia, lakini pia unaweza kuangalia upande wa pili ambapo dini inatoa maadili ya kijamii ambayo yanachochea usawa na maelewano, sio kwa ajili ya kuzuia maafa tu. Pia, labda sio wote wanakubaliana na wazo kwamba 'wanaume wengi anguko lao ni wanawake.' Kuna mambo mengi zaidi yanayochangia changamoto za maisha kwa pande zote mbili.

Lakini tunapozungumzia hili, huoni kuwa njia bora zaidi ni kuangalia jinsi ya kujenga maelewano na usawa kati ya jinsia zote, badala ya kugawa mzigo wa lawama kwa upande mmoja tu? Naweza kuona huu mjadala una nafasi ya kupanuka zaidi!"
 
Back
Top Bottom