Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

unafikra ndogo mno!, sasa ulitaka umpangie wakuendanae we mwenyewe ungetembea na mua kama mkongojo ungeuacha...?????
Kwa hio hapo ndio umetoa hoja yako au? Elezea jinsi gani unapingana na hoja sio unapuyanga tu, ukweli huo hata Wanawake wenyewe wanaujua upo open kabisa wala haufichiki
 
Nikuulize kwanza unaamini huyo Mungu wako ndio chanzo cha kila kitu..?
Wewe umesema umesoma vitabu vya dini kwenye kusoma vitabu hivyo umejifunza nini au hakuna ulichojifunza?
 
Nyongeza ya kiume : mwanamke yeyote duniani ambaye hubeba mimba hupoteza taratibu uwezo wake wa akili maana muda huo akili nyingine huenda kwa kiumbe alichobeba , ndio maana miezi Tisa yote hua ya visa na mikasa lakini pia hua na siku tisini yaani miezi mitatu ya akili yake kuregain upya na kurudi kama kawaida ndio maana ni rahisi kuona mwanamke kaacha mtoto au kaua kichanga cha mwezi mmoja hadi miezi mitatu , lakini hutosikia mwanamke kauwa kichanga cha miezi Minne na kuendelea sababu kubwa hapo akili yake inakua timamu tayari , ndio maana wanaume tuliaswa tuishi nao kwa akili Sana hawa viumbe , wakuelewa aelewe
 
Ungekuwa umetofautisha wanaume na vijana wa hovyo ungekuwa umejitendea haki sana mkuu.
Kwani hapo ametaja Wanaume na Wanawake wa ovyo au unamaanisha nini? Amesema Wanawake elewa mada
 
Nyongeza ya kiume : mwanamke yeyote duniani ambaye hubeba mimba hupoteza taratibu uwezo wake wa akili maana muda huo akili nyingine huenda kwa kiumbe alichobeba , ndio maana miezi Tisa yote hua ya visa na mikasa lakini pia hua na siku tisini yaani miezi mitatu ya akili yake kuregain upya na kurudi kama kawaida ndio maana ni rahisi kuona mwanamke kaacha mtoto au kaua kichanga cha mwezi mmoja hadi miezi mitatu , lakini hutosikia mwanamke kauwa kichanga cha miezi Minne na kuendelea sababu kubwa hapo akili yake inakua timamu tayari , ndio maana wanaume tuliaswa tuishi nao kwa akili Sana hawa viumbe , wakuelewa aelewe
Asante mkuu kwa kutema hizi nondo hadimu sana wengine hawawezi kuelewa mpaka waeleweshwe vizuri ingefaa zaidi ukatupa na nyongeza nyingine
 
Km una ubongo mdogo km wa tembo na sisimizi huwezi kuelewa kilichoandikwa hii inahitaji watu wenye uelewa mkubwa kuelewa na mifano ni mingi sana ila kwa sababu ni mzito kusoma na kuelewa basi baki hivyo hivyo siku moja utanyoosha mikono juu
Another petty bloated entitled Brat throwing tantrums.
 
Bila Salamu.

Wanabodi ninathibisha kwamba bila uwepo wa DINI ya kikristo na kiislamu basi nawahakikishia Wanaume wengi wangekufa kabla ya muda wao.

Wanawake wengi hawana huruma kwa Mwanaume namaanisha wengi na ninaposema wengi naomba nieleweke namaanisha wengi. Yaani kwenye Wanawake 10 Mwanamke mwenye huruma na Mwanaume hayupo.

Ila sasa unajua nini kinacho dilute ile chuki ya Mwanamke kwa Mwanaume? DINI

Wengi wanazidharau hizi DINI na wengine wanafika mbali na kusema hakuna Mungu hakuna DINI Mungu hana DINI km kuna Mungu nionyeshe nani kamuumba Mungu? Na maswali mengine mengi mengi mengi.

Ila tu niwaambie wale wote wenye mtizamo km huo bila hizi DINI mnazoziona duniani nawahakikishieni Wanaume wengi wangekufa km kuku wa kideli.

Usishangae kwanini kwenye haya makanisa mengi ya manabii na mitume waliojazana kwa wingi ni Wanawake, haujiulizi kwanini?

Kwanini Wanawake inamaana Wanaume hawatambui umuhimu wa DINI zao?

Wanawake wanajiweka karibu na DINI ili kujipunguza makali ya kufanya machafuko kuwateketeza Wanaume maana Mwanamke kumteketeza Mwanaume ni suala la kugusa tu. Ila kwa sababu ya uwepo wa DINI wengi wao huacha kufanya hivyo. Kwa hio alie engineer suala zima la dini aliona mbali sana kuhusu hawa Wanawake.

Niishie hapa.
Inaonekana unaleta mada ambayo inalenga kuchochea mjadala kuhusu dini na uhusiano wa kijinsia, hasa kati ya wanaume na wanawake, na unatoa maoni yenye mitazamo mizito kuhusiana na majukumu ya dini katika jamii.

Hata hivyo, ningependa kuongeza kwamba mada kama hizi zinahitaji kujadiliwa kwa busara na kwa kuzingatia ukweli kwamba kila mtu ana mitazamo na uzoefu wake binafsi. Pia, suala la dini linabeba umuhimu mkubwa kwa watu wengi, siyo tu kuhusu uhusiano kati ya wanaume na wanawake, bali pia kuhusu maadili, jamii, na jinsi tunavyoishi.

Ni muhimu kuelewa kwamba uhusiano kati ya dini na maisha ya kijinsia au kijamii si wa moja kwa moja kwa watu wote. Wapo wanaoona dini kama chombo muhimu cha kuleta amani, huruma, na maelewano, lakini pia wapo wengine ambao wana mitazamo tofauti, kulingana na uzoefu wao.

Badala ya kuangalia upande mmoja wa hoja hii, inawezekana kuwa na mjadala mzuri zaidi kwa kuuliza maswali kama:

  • Dini inachangia vipi katika uhusiano wa kijinsia na familia?
  • Nini kinachoweza kufanywa ili kujenga uhusiano mzuri zaidi kati ya wanaume na wanawake, licha ya mitazamo tofauti ya kidini?
  • Je, ni mifumo gani ya kijamii inayoweza kusaidia watu kuwa na maelewano bora zaidi?
Huu unaweza kuwa mwanzo wa mjadala unaozingatia mitazamo na uzoefu wa pande zote mbili.
 
Umeandika ujinga + uzwazwa

Dini zimekuja zimewakuta Hao wanaume na wanawake wanaishi pamoja bila hizo Tafrani kuwepo

Kuna jamii za watu wengine haziamini kabisa katika hizo dini na wanaishi vizuri Tu mfano mdogo ni baadhi ya wamasai na wahadzabe
 
  • Thanks
Reactions: wax
Na bila dini wanaume wengi tusingeoa...ingekuwa mwendo wa chovyachovya tu
Hivi wahadzabe wana dini gani?
Halafu mbona hawana hayo unayosema chovya chovya?
Na hakuna single maza kwao

Huu ujinga wa western culture ndiyo umeharibu culture zetu Africa

Zaman wanawake walikuwa wanawaheshimu wanaume jiulize kwa nn sasa hivi?
 
Teknolojia na Tamaa inafanya baadhi ya wanawake wawe wakatili.

Hawezi kukuelewa wewe wakati ana sex toys chini ya mto.

Kwenye mapenzi una default style (cockroach death) wakati huko nje kuna lijamaa linamfunga mguu kwenye kenchi. Kwa nini usife?

Dini haifanyi mwanamke kupoa, na sahivi ndio baadhi wamekuwa wakatili zaidi.
 
Teknolojia na Tamaa inafanya baadhi ya wanawake wawe wakatili.

Hawezi kukuelewa wewe wakati ana sex toys chini ya mto.

Kwenye mapenzi una default style (cockroach death) wakati huko nje kuna lijamaa linamfunga mguu kwenye kenchi. Kwa nini usife?

Dini haifanyi mwanamke kupoa, na sahivi ndio baadhi wamekuwa wakatili zaidi.
Hakika kuna watu wachache sana wenye kulielewa hili na itoshe kusema wewe ni mmoja kati ya hao ila majority hawaelewi kuhusu hilo
 
Hivi wahadzabe wana dini gani?
Halafu mbona hawana hayo unayosema chovya chovya?
Na hakuna single maza kwao

Huu ujinga wa western culture ndiyo umeharibu culture zetu Africa

Zaman wanawake walikuwa wanawaheshimu wanaume jiulize kwa nn sasa hivi?
Hao Wahadzabe unawaelewa vizuri culture yao? Huko kwa Wahadzabe wana play Matrilineal yaan ni Matrilineal society means Mwanamke ndio mwenye power Mwanaume hana power huko, huzisomi hata culture zao zinasemaje au hufuatilii vipindi?

Kwa Wahadzabe Mwanamke ndio mwenye mamlaka sio Mwanaume, Mwanamke ndie anaeamua azae na Mwanaume yupi na akiona Mwanaume sio mchakalikaji anampiga chini anamfukuza kwenye kibanda chake anamtafuta Mwanaume mchakalikaji anaanza kuzaa nae, hujajifunza hata hilo? Haujui kuhusu hilo?
 
Kama mwanamke asingewepo Duniani, na zambi zisingewepo pia.
Kweli kabisa hadidu za rejea zinatupeleka moja kwa moja pale kwenye bustani, Nyoka alimshindwa Mwanaume akaona sehemu pekee ya kumshinda Mwanaume ni kwa kupitia Mwanamke kwa hio kushindwa kwa Mwanaume yoyote ni kupitia kwa Mwanamke, Mwanamke ndio anguko pekee la Wanaume wengi waliokua hodari kwa nyakati zao
 
Back
Top Bottom