Bila uwepo wa Dini nathibitisha kwamba Wanaume wengi wangekufa kama kuku wenye kideri

zwazwa kweli wewe, unaamini hizo ngano..? toka huko haraka hicho kitabu nimesoma mara mbili nikaanza kuona kuna vitu havipo sawa na kweli ni upuuzi mtupu!.

hebu tokeni huko haraka mnatuabisha ndio maana hata fikra zenu ni duni mnatuletea mada kama hizi!
 
Bado hawajakuelewa wafafanulie tena vizuri ili wakuelewe
 
Kwa hio unataka kupingana na ukweli au unaupinga ukweli? Kuna wanawake wanaua kabla kiumbe hakijazaliwa unajua hilo au unasikia sikia tu? Kuna wanawake wanazuia mimba maana yake hio ni namna moja wapo ya ukatiri au haujui? Huruma 0 hio nimekupa mifano hai kabisa sasa km unabisha na hio wewe inabidi upwimwe medula
 
Logical non sequitur.
Km una ubongo mdogo km wa tembo na sisimizi huwezi kuelewa kilichoandikwa hii inahitaji watu wenye uelewa mkubwa kuelewa na mifano ni mingi sana ila kwa sababu ni mzito kusoma na kuelewa basi baki hivyo hivyo siku moja utanyoosha mikono juu
 

Ungekuwa umetofautisha wanaume na vijana wa hovyo ungekuwa umejitendea haki sana mkuu.
 
wewe hufai hata kuwa ng'ombe ya nyama na hata ukiwa ya maziwa basi utatoa maziwa machungu!..

ukisema tuanze kulinganisha uuaji hapa kati ya me na ke.. me hatushikiki! ati wanazuia vipi sie na mapunyeto ya kila namna..? sisi ndo watengeneza siraha mpk mabomu ya nyuklia vita sisi hivi mkuu unakichwa au bichwa..?🤣
 

Wanovaa condom, wapiga ny*to, mashoga, wageni wa Pdidy, wenye kufanya vasectomy, nk uliwakumbuka?
 
Km wewe kweli unasoma vitabu vya dini basi ile siku Eva alipompa Adam tunda alile angekua amelipakaa sumukuvu sasa hivi usingekuwepo ila ni uthibitisho tosha kwamba Mwanaume kumalizwa na Mwanamke ni suala la kugusa tu unapotezwa
 
Vyema sana mkuu
 
Mboni nimekupa mifano hai wewe toa mfano hai unaothibitisha hilo unalolisema, nimeanza kwenye vitabu vya dini Wanawake hao hao wanaokesha makanisani hawajiulizi kwanini Bwana Yesu hakuchagua Wanawake 12 wawe mitume wake au tukirudi kwenye Uislam kwanini Mtume Mohamed (SAW) hakuchagua Makhalifa wa kike katika Makhalifa wake aliokua nao? Jiulize tena
 
Km wewe kweli unasoma vitabu vya dini basi ile siku Eva alipompa Adam tunda alile angekua amelipakaa sumukuvu sasa hivi usingekuwepo ila ni uthibitisho tosha kwamba Mwanaume kumalizwa na Mwanamke ni suala la kugusa tu unapotezwa
wewe ni peremende sana!.. kama unamuda mi naweza kukuelewesha mmbaya wa yote hiyo ni kwa mujibu wa kitabu hicho unachokiamini!
 
wewe ni peremende sana!.. kama unamuda mi naweza kukuelewesha mmbaya wa yote hiyo ni kwa mujibu wa kitabu hicho unachokiamini!
Haya muda ndio huu elewesha hapa ueleweke kwani nimekuzuia toa hoja zako na mifano yako
 
unafikra ndogo mno!, sasa ulitaka umpangie wakuendanae we mwenyewe ungetembea na mua kama mkongojo ungeuacha...?????
 
Wote hao chanzo ni Mwanamke kwa hio hayo machafuko yote uliyoyataja yanatoka kwa Mwanamke sio Mwanaume

Kijana wa hovyo ny*to upige wewe ahusike mwingine vipi hapo?

Kila mtu mbele ya hukumu ni kushinda mechi zake ndugu.
 
Kijana wa hovyo ny*to upige wewe ahusike mwingine vipi hapo?

Kila mtu mbele ya hukumu ni kushinda mechi zake ndugu.
Jibu kwa hoja na mifano hai sio unatoa ngonjera isiyo na kichwa wala miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…