zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kwa hio hapo ndio umetoa hoja yako au? Elezea jinsi gani unapingana na hoja sio unapuyanga tu, ukweli huo hata Wanawake wenyewe wanaujua upo open kabisa wala haufichikiunafikra ndogo mno!, sasa ulitaka umpangie wakuendanae we mwenyewe ungetembea na mua kama mkongojo ungeuacha...?????
Wewe umesema umesoma vitabu vya dini kwenye kusoma vitabu hivyo umejifunza nini au hakuna ulichojifunza?Nikuulize kwanza unaamini huyo Mungu wako ndio chanzo cha kila kitu..?
jibu swali kenge wewe! hebu jibu swali nililokuuliza!Wewe umesema umesoma vitabu vya dini kwenye kusoma vitabu hivyo umejifunza nini au hakuna ulichojifunza?
Kwani hapo ametaja Wanaume na Wanawake wa ovyo au unamaanisha nini? Amesema Wanawake elewa madaUngekuwa umetofautisha wanaume na vijana wa hovyo ungekuwa umejitendea haki sana mkuu.
Jibu kwa hoja na mifano hai sio unatoa ngonjera isiyo na kichwa wala miguu
Asante mkuu kwa kutema hizi nondo hadimu sana wengine hawawezi kuelewa mpaka waeleweshwe vizuri ingefaa zaidi ukatupa na nyongeza nyingineNyongeza ya kiume : mwanamke yeyote duniani ambaye hubeba mimba hupoteza taratibu uwezo wake wa akili maana muda huo akili nyingine huenda kwa kiumbe alichobeba , ndio maana miezi Tisa yote hua ya visa na mikasa lakini pia hua na siku tisini yaani miezi mitatu ya akili yake kuregain upya na kurudi kama kawaida ndio maana ni rahisi kuona mwanamke kaacha mtoto au kaua kichanga cha mwezi mmoja hadi miezi mitatu , lakini hutosikia mwanamke kauwa kichanga cha miezi Minne na kuendelea sababu kubwa hapo akili yake inakua timamu tayari , ndio maana wanaume tuliaswa tuishi nao kwa akili Sana hawa viumbe , wakuelewa aelewe
Another petty bloated entitled Brat throwing tantrums.Km una ubongo mdogo km wa tembo na sisimizi huwezi kuelewa kilichoandikwa hii inahitaji watu wenye uelewa mkubwa kuelewa na mifano ni mingi sana ila kwa sababu ni mzito kusoma na kuelewa basi baki hivyo hivyo siku moja utanyoosha mikono juu
Haya weka hio mifano iliyo hai angalia usilete mifano iliyokufa tuHakuna ngonjera hapo na kumesheheni mifano hai
Inaonekana unaleta mada ambayo inalenga kuchochea mjadala kuhusu dini na uhusiano wa kijinsia, hasa kati ya wanaume na wanawake, na unatoa maoni yenye mitazamo mizito kuhusiana na majukumu ya dini katika jamii.Bila Salamu.
Wanabodi ninathibisha kwamba bila uwepo wa DINI ya kikristo na kiislamu basi nawahakikishia Wanaume wengi wangekufa kabla ya muda wao.
Wanawake wengi hawana huruma kwa Mwanaume namaanisha wengi na ninaposema wengi naomba nieleweke namaanisha wengi. Yaani kwenye Wanawake 10 Mwanamke mwenye huruma na Mwanaume hayupo.
Ila sasa unajua nini kinacho dilute ile chuki ya Mwanamke kwa Mwanaume? DINI
Wengi wanazidharau hizi DINI na wengine wanafika mbali na kusema hakuna Mungu hakuna DINI Mungu hana DINI km kuna Mungu nionyeshe nani kamuumba Mungu? Na maswali mengine mengi mengi mengi.
Ila tu niwaambie wale wote wenye mtizamo km huo bila hizi DINI mnazoziona duniani nawahakikishieni Wanaume wengi wangekufa km kuku wa kideli.
Usishangae kwanini kwenye haya makanisa mengi ya manabii na mitume waliojazana kwa wingi ni Wanawake, haujiulizi kwanini?
Kwanini Wanawake inamaana Wanaume hawatambui umuhimu wa DINI zao?
Wanawake wanajiweka karibu na DINI ili kujipunguza makali ya kufanya machafuko kuwateketeza Wanaume maana Mwanamke kumteketeza Mwanaume ni suala la kugusa tu. Ila kwa sababu ya uwepo wa DINI wengi wao huacha kufanya hivyo. Kwa hio alie engineer suala zima la dini aliona mbali sana kuhusu hawa Wanawake.
Niishie hapa.
Utakua umebeba ubongo wa Chawa sio bureAnother petty bloated entitled Brat throwing tantrums.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.Utakua umebeba ubongo wa Chawa sio bure
Kama mwanamke asingewepo Duniani, na zambi zisingewepo pia.Wanaume ndio chanzo cha matatizo yote makubwa duniani
Hivi wahadzabe wana dini gani?Na bila dini wanaume wengi tusingeoa...ingekuwa mwendo wa chovyachovya tu
Na wewe mboni hutoi maelezo yako kutetea hoja yako na mifano iliyo hai?jibu swali kenge wewe! hebu jibu swali nililokuuliza!
Hakika kuna watu wachache sana wenye kulielewa hili na itoshe kusema wewe ni mmoja kati ya hao ila majority hawaelewi kuhusu hiloTeknolojia na Tamaa inafanya baadhi ya wanawake wawe wakatili.
Hawezi kukuelewa wewe wakati ana sex toys chini ya mto.
Kwenye mapenzi una default style (cockroach death) wakati huko nje kuna lijamaa linamfunga mguu kwenye kenchi. Kwa nini usife?
Dini haifanyi mwanamke kupoa, na sahivi ndio baadhi wamekuwa wakatili zaidi.
Hao Wahadzabe unawaelewa vizuri culture yao? Huko kwa Wahadzabe wana play Matrilineal yaan ni Matrilineal society means Mwanamke ndio mwenye power Mwanaume hana power huko, huzisomi hata culture zao zinasemaje au hufuatilii vipindi?Hivi wahadzabe wana dini gani?
Halafu mbona hawana hayo unayosema chovya chovya?
Na hakuna single maza kwao
Huu ujinga wa western culture ndiyo umeharibu culture zetu Africa
Zaman wanawake walikuwa wanawaheshimu wanaume jiulize kwa nn sasa hivi?
Kweli kabisa hadidu za rejea zinatupeleka moja kwa moja pale kwenye bustani, Nyoka alimshindwa Mwanaume akaona sehemu pekee ya kumshinda Mwanaume ni kwa kupitia Mwanamke kwa hio kushindwa kwa Mwanaume yoyote ni kupitia kwa Mwanamke, Mwanamke ndio anguko pekee la Wanaume wengi waliokua hodari kwa nyakati zaoKama mwanamke asingewepo Duniani, na zambi zisingewepo pia.