TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.

Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.

Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Mmh[emoji848]
 
Mathias ni bilionea kweli acha porojo,ana vitega uchumi ya mabilioni ya tsh.

398c9879-e7d9-46a5-a587-580b46a3ff33.jpg
 
Back
Top Bottom