Nakushauri usikashifu imani za watu, utakuja kutukanwa humu wewe na mtume wako hadi utatafuta pa kuficha kichwa chako usipate, shauri yako.Ulaya huko yananunuliwa kama njugu na kufanywa misikiti.
Waliwaletea Ukristo washajielewa kuwa waliwaletea uongo tu.
Sasa unachokipinga ni kuwa makanisa Ulaya hayafanywi ma night club au hayanunuliwi na Waislam na kufanywa mikiti?Nakushauri usikashifu imani za watu, utakuja kutukanwa humu wewe na mtume wako hadi utatafuta pa kuficha kichwa chako usipate, shauri yako.
TAKIBIIIR....!!!Mbinguni kuna mito ya pombe na mabikira 72, Kwahiyo hapo Kujenga msikiti ndio mahali pake.
Allah akbarHakika Uislamu ni mwema sana, nikiwa angalia Taliban na Islamic State, hakika uislamu ni mwema sana.
Takbiir.
Usiseme dini zingine kwamba ni uongo wakati hata huyo Mungu mwenyewe hajasema dini fulani ndiyo nzuri.Sasa unachokipinga ni kuwa makanisa Ulaya hayafanywi ma night club au hayanunuliwi na Waislam na kufanywa mikiti?
Wewe ungependelea lipi kati ya hayo?
Kuna kashfa gani hapo? Hebu tufahamishe.
Na kuchamba ni sehemu ya ibadaWajinga wa dini wamebaki Waafrica tu, watu wenye akili walishashtuka siku nyingi dini ni project za watu.
Kuna taasisi za kiislamu kazi yake ni Kujenga misikiti na kuchimba visima tu vya kuchambia, hawana muda na maswali ya afya wala elimu.
Sasa hao race yao ni uislamu au Uarabu, uhajemi na uhindi?Vyuo na vituo vya utafiti vilivyokuwa Spain na Baghdad vilijengwa na macaliphates in Islamic Golden Age vilikuwa chini ya usimamizi na ufadhili wao
Na hao wote wa kina al battan, Al Biruni ,Abuul Fath Al-Khazni walikuwa religious haswa tofauti na wa western kwanza wengi wao ni wakanaji mungu lakini hatusemi kuwa dini ndio imefanya hayo kwamaana yametoka kwenye Quran (sijui kama ulimaanisha hivi) ,lakini tunavyotaja Jamii ambazo zimechangia maendeleo ya kielimu ya Dunia basi waislamu ni miongon mwa Jamii iliyochangia pakubwa
Haya, umeshinda wewe. Hodari sana wewe.Usiseme dini zingine kwamba ni uongo wakati hata huyo Mungu mwenyewe hajasema dini fulani ndiyo nzuri.
Ndiyo maana tunasema hizo ni aya za shetani.Hiyo ni kazi ya adui wa Gabriel!
[emoji116][emoji116]
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Leo umekua muungwana umekubali yaishe. Saaafi umepevukaHaya, umeshinda wewe. Hodari sana wewe.
Haya tuambie hiyo ya kuoana wanaume Kwa wanaume,wanawake Kwa wanawake inayosimamiwa Kwa nguvu zote za wafuasi wa Yesu imeandikwa sehemu gani kwenye biblia?Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.
Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.
Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.
Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
Upendo wa kufikia mwanaume kuolewa HAPANA aisee!Ukisoma historia ya dini, Issa sio Yesu. Ni obvious hilo liko wazi.
Ni waislamu walijaribu kutaka kuhusisha uislamu na yesu angalau kutafta relevance ila ukisoma Quran na Biblia ni vitabu vimeandikwa na viumbe 2 tofauti.
Haiwezekani Mungu akamtuma Yesu aje kufundisha habari njema za upendo na kupendana, msamaha na kusameheana, kujaliana, kutokulipa kisasi kua na huruma nk halafu ghafla Mungu akamtuma Mohamed aje kutangaza mauaji, kuua watu, kubaka watoto, kulawiti watu nk.
Mungu wa kwenye Quran ni Mungu ambae kama amechanganyikiwa, yuko very frasturated, amevurugwa na maisha, amejaa visasi, hana huruma, hana msamaha, God of no mercy. Mungu wa kulazimisha watu wakubaliane na hoja zake za kitaahira ukikataa anataka uuwawe nk.
kwa hivyo huyu yesu ambae sio issa ndio aliekuja kuhalalisha ndoa za mashoga makanisani ama na wewe unaolewa lini.Ni jambo jema sana kuwafikishia watu imani yako au habari njema. Ndiyo lengo la dini kuwafikia na kuwapa faraja wenye uhitaji.
ila, Itakapotokea Imam wa hapo akaja kuwa shoga au Mwanamke na pembezoni mwa Msikiti pakazungukwa na groceries wasije wakaanza kulalamika kama tulivyoona Sweden.
Unapopeleka Imani au utamaduni/mfumo wa maisha yako kwa watu wengine basi sharti uwe tayari kwa lolote ikiwemo kuvifanyia ukarabati ili waweze kuvikubali na waweze kuendana navyo.
Kama wewe ni mwafrika, ukizaa na mwarabu, mzungu, mchina su asili tofauti zinapochangamana biologically tarajia Chotara.
I will get married kesho.kwa hivyo huyu yesu ambae sio issa ndio aliekuja kuhalalisha ndoa za mashoga makanisani ama na wewe unaolewa lini.
Aya za shetiNdiyo maana tunasema hizo ni aya za shetani.
Halafu ikishakuwa?Kidogo kidogo, kama si leo kesho. Jinsi Uislam unavyokuwa Uingereza, sitoshangaa miaka michache ijayo kukawa na serikali yote ya Kiislam.