Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

alilitambua lengo lake mapema katika umri ambao sisi tulikuwa tunafundishwa panzi ana miguu mingapi
 
Mkuu, huwezi kulewa madaraka kweli 😄😄, Utaaza kuchota mihela na kuya transfer nje tena 😰
 
Mkuu, huwezi kulewa madaraka kweli 😄😄, Utaaza kuchota mihela na kuya transfer nje tena 😰
😄 mkuu usijali nimezaliwa kwenye hela siwezi kutamani hata siku moja
Father alikuwa ananipa nazihesabu nikiwa mdogo sana na ndugu zangu kama kuiba ningeanza huko

Hapa nilipo kuna jamaa aliniachia kampuni peke yangu ndio boss alirudi imezaa akaamua kunipa shares kwa hiyo jambo la kuzingatia katika Dunia hii ni Uaminifu na roho nzuri tu pamoja na ukarimu
 
Ili kufikia hatua ya utajiri, heshima ya pesa inahitajika sana.. Tofauti na hapo tutaishia kupata hela kula tu.
 
Njoo gombea mkuu! Una kura yangu na ya maelfu ya wana familia ya JF.

Tunataka viongozi wenye "macho" yanayoona.

"Macho" yako yanaona vizuri. Nafasi yako iko wazi. Njoo!
Nashukuru sana mkuu ingawa serikali imetutenga na kutuita Diaspora tusio na haki ila ipo siku watatupa haki yetu maana hata mirathi tumesamehe eti hatuna haki nayo. Nyie sawa tu 😄
 
Mali za mikataba hizo za wale jamaa!!

Hakuna tajiri was america ambae sio member was society ile!!

Ukifanya mema walau adhabu ya kuzimu au akhera utapunguziwa japo ni kweli.kwamba wewe ni WA kuzimu na motoni milele!!
 
Akifa atakuwa hana thamani nazo ndo maana anataka zitoke, angekuwa mtoaji kweli angetoa 50% sasa hivi badala 99% akifa
Humjui Buffett wewe. Tangu 2006 mpaka sasa alishagawa utajiri wa zaidi ya dola bilioni 50 kwenye mashirika ya watoto, maskini na miradi ya kijamii. Hiyo ni zaidi ya trilioni 125 za kibongo.
Anachofanya ni kupunguza kidogo kidogo na akifa ndio wagawe kabisa kilichobaki.
 
Kwanini urithi?

Kwanini atoe akifa...

Atoe sasa akiwa hai, sehemu fulani kwa hao wahitaji...

Kwa tunaoamini Mungu, tumeambiwa tutoe sadaka kwa wahitaji...

Ikiwa na maana tukiwa hai sio wafu...
Buffet na matajiri wengi wakubwa u aowajua wewe wametoa sana mali zao kusaidia watu na mpaka wanna foundation mtu Kama Buffet ana foundation kabisa ameshasaidia ma Billions hadi umri huo ila hapa leo tunazungumzia URITHI kwenye urithi kaamua hivyo...Mosi.

Pili, hizo Mali zipo in trwm of share ya Kampuni yake ya Barkshare inaamana yeye kumiliki huo utajiri hadi sasa ni inamaanisha anarndeleza shughuri za Biashara ambyo apart from kumpa utaji ndio purpose yake, passion na Icon so kurithisha kabla ya kufa inamaanisha ni kijiondoa kwenye Biashara ambayo ndio passion na purpose yake.
 
Watoto wasimamie ugawaji kama baba yao alivyousia.
 
Mali za mikataba hizo za wale jamaa!!

Hakuna tajiri was america ambae sio member was society ile!!

Ukifanya mema walau adhabu ya kuzimu au akhera utapunguziwa japo ni kweli.kwamba wewe ni WA kuzimu na motoni milele!!
Mjinga mwengine huyu hapa....hafu naye ana ndoto za kuja kuwa president
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…