Bill & Melinda Gates watalikiana

Sindio mashauzi yanapoanziaga hapo always! Mara akunyime uchi, aone una pua kubwa, akuone kama mshamba hivi! Mwisho ataona kama kukuheshimu anakufanyia favours.

Its very common kwa wanawake wa kiafrika yani!
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]


Toka nizaliwe sijawahi kucheka hivi Aseee[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Yaan nimeangua kicheko hapa, mpaka staff mates ofisini wamekuja mezani kwangu kuangalia kitu gani kinanichekesha nimewaonesha hii comment yako....mjadala unaendelea humu[emoji16]


Anyway una PHD ya wanawake mkuu, nimekupigia saluti[emoji119][emoji119]
 
Hahahahah nimefurahi pia kuona nimekuwa chanzo cha furaha yako leo 🥰🥰😅😅😅😂😂 nikutakie kazi njema mama!
 
Hahahahah nimefurahi pia kuona nimekuwa chanzo cha furaha yako leo [emoji3059][emoji3059][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] nikutakie kazi njema mama!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]we jamaa sikuwezi

Thanks[emoji120][emoji120]
 
Talaka imefanywa kuwa na faida kubwa sana dunia ya sasa. Hapo mwanamke anapewa nusu ya mali za mume bila kujali hata kama hakuchangia senti tano utaambiwa alichangia alikuwa akimsimamia house girl aliyekuwa akimpikia na kumfulia mumewe. Pia mke atalipwa hela za matunzo kama vile yeye ni mlemavu au taahira maisha yake yote.
 
Mwanamke akishashika hela ndefu anakuwa haoni haja ya kuwa na mwanaume tena
Hahahahahha....! Moneyphobia tu hizo wanaume..mnajikutaga sana mshike tu hela nyie.hahahaa...ubinafsi unawasumbua!
Nikuambia kitu ambacho ni serious vibaya sana! Ni heri mwanamke wako 100% akawa ana hela za kumtosha mahitaji.yKe kuliko akawa hanA!
Mwanamke akiwa hana hela anapata vishawishi vya kisengerema balaa..anaweza itiwa 5000! Ss huyy huyo mwanamke awe hata na 20000.hata umuite nadra sana kwenda...akikujibu hata sms zako shukuru...bora awe na hela..hata akifanya mambo.mengine ni yeye ameamua na nafsi yake!
● Namanisha wale wanawake wanaotosheka na maisha na hustle zao..sio wale wenye tamaa ya kumiliki mambo makubwa .mfano anaendesha ist anataka amiliki dualis kisa shogake analo ..na uwezo wake mdogo!
 
Mie nimejiweka kwa kundi la huyo wa 20,000 thus why mizinga sina wala stress sina 😂😂😂 kanafanya biashara zake tu!

Ila kimsingi pesa huwapa jeuri sana watoto wa kike!
 

@Alexander The Great [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa bwana
 
Divorce zingine shavu dodo unachukua kaserengeti boy unazunguka nako dunia nzima full bata (unless kulikuwa na pre-nuptials)

Sasa za huku kwetu aisee. Mtagawana hadi generational curses [emoji2960][emoji2960][emoji1787][emoji1787]
Didn't expect this from you....

Umewaza kitamaa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipi Cha ajabu?
 
Naona Bi mkubwa bado anang'aa, lazima atapata muhuni atakayempelekea moto vizuri tu.
 
Alianza jeff bezzos now billget, sasa nyie endeleeni kujidanganya kua ukiwa na pesa itamfanya mwanamke asisumbue
 
I never cease to amaze eeh?

Ndoa sio mchezo acha Melinda akapelekewe moto.

[emoji848][emoji848] Hivi melinda ana miaka mingapi!? I dont think anawaza unavyowaza[emoji851]
 
[emoji848][emoji848] Hivi melinda ana miaka mingapi!? I dont think anawaza unavyowaza[emoji851]
Atakuwa anawaza mle mleeee ama zaidi na fetish zote kaziorodhesha.

Lol sijui miaka yake 😉😉
 
"hatuamini tena kama sisi tunaweza kukua pamoja kama wenzi katika awamu hii inayofuata ya maisha yetu"
Maneno mazuri yenye busara

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…