Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Atakuwa anawaza mle mleeee ama zaidi na fetish zote kaziorodhesha.
Lol sijui miaka yake [emoji6][emoji6]
Ila hakuzidi wewe [emoji39][emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa anawaza mle mleeee ama zaidi na fetish zote kaziorodhesha.
Lol sijui miaka yake [emoji6][emoji6]
Asante,ila wakati anaweka hii habari hakuweka ndio maana nikaulizaSoma chini ya hiyo habari ameweka.
Ndo vizuri ukiwa na cash ni kula chuchu konzi tuKuna scandal ya Jeffrey Epstein Huyu alikuwa billionaire kazi yake ni kuwa tafutia powerful men watoto under age .Watoto wakike walikuwa wanakamatwa na kupeleka kwenye Island ya mapenzi .List ya watu wenye pesa waliokuwa wanaenda huko Imetolewa .Bill gates ,Trump ,prince Andrew ,king wa Saudi Arabia .wa Jordan ,Bill Clinton na list ni kubwa .
Halafu Ukute Kuna Kichalii Kidogo Tu Kwenye Hyo Foundation Yao Ndio Kinampelekea m-[emoji91] Aiseeeeh [emoji3][emoji3][emoji3]I never cease to amaze eeh?
Ndoa sio mchezo acha Melinda akapelekewe moto.
Hapa Wamebaki Wajuba Wa3 Tu [emoji1][emoji1][emoji1]Alianza jeff bezzos now billget, sasa nyie endeleeni kujidanganya kua ukiwa na pesa itamfanya mwanamke asisumbue
Mwanamke akiwa na hekima, mchapakazi, na cares humuwezi chokana ndaniKuishi n jitu ndani zaidi ya miaka 5 siwezi aisee
Sijakuelewa Aiseeeh... Hawezi kuchoka mwanamke?Mwanamke akiwa na hekima, mchapakazi, na cares huwezi choka mwanamke
56[emoji848][emoji848] Hivi melinda ana miaka mingapi!? I dont think anawaza unavyowaza[emoji851]
Yani watu wameishi pamoja katika ndoa mpaka wanaanza kufananana, halafu talaka!
Yani kila watu maarufu walivyokuwa wanafikia talaka, nilikuwa naiona hii couple ngangali sana. Ya kupigiwa mfano.
Nayo imekumbwa na talaka.
Kwenye page zao wote wametuma maneno haya ,Isije kuwa ni mkakati kibiasharaNdoa zina changamoto nyingi sana, nawapa mkono wa pole View attachment 1772902
Sijakuelewa Aiseeeh... Hawezi kuchoka mwanamke?
hao wengine wanaishi kigumu wana matako ya sufuria wamezoa motoHapa Wamebaki Wajuba Wa3 Tu [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1772994