Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo hutokana na mmoja kati yao kutomtimizia mahitaji mwenzake. Ila hawa wenye pesa huoana wakijua ya kuwa wataachana tuuHiyo nayo siyo basi tu hatuna platform ila kajamba nani wanaoa nankupigana chini daily nenda ofisi za serikali
Kizazi hiki kina nn mkuu!Siyo wa hiki kizazi aisee
Maskini.Nani alisema Mapenzi ni hela?
Bill kapata totoz nyingine nini?
Hii picha ya pili sijaelewa mkuu.
So funnyanakuambia usoni baba we fanya ufanyayo mimi siachiki ng'o, ndoa kazi kuipata.!!!
Kwani usiwaze Kama wewe ndo utaanza kufa? Unamuwazia mwingine..Hii huwa inatokea sana pale mnapokuwa na familia.
Wala sio kwa nia mbaya but huwa tunawaza watoto watabakije.
Dah, ukiipata nami ni PM mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣Ukiyasoma maelezo yao utagundua kuwa wawili hao hawajaachana kwa uadui ikiwemo mwingine kumtendea ubaya mwingine zaidi ya kila mmoja kujihisi ametamani kuanza kuishi maisha yake akiwa nje ya mwamvuli wa ndoa yao which is not bad na kwaku manisha hilo bado wametuhakikishia kuwa wataendelea kushafanya yote waliyokuwa wakishirikiana kuyafanya kasoro tu eneo la kimahusia kila mmoja atakuwa na eneo lake , you never know wenda mzeebaba alivyokuja Bongo that time alionekana anakula maharage kule Chuga wenda akapatishiwa ngoma [emoji12]na mamito akajua qwiqwiqwiqwiiiii
Unajua hii sheria ya kanisa inayosema HADI KIFO KIWATENGANISHE iliwekwa kwa sababu kadhaa kadhaa tu ikiwemo kila mmoja afeel ile ownership na hasa inawafaa wa a
Africa zaidi maana kwa Africa mwanamke ni kama kakifaa flani hivi ambacho jamii inakichukulia kama kikiachwa kitakuwa kimepotezewa ubora wake wa kutakiwa na wengine kitu ambacho kwa ulaya ni tofauti kabisa .
By then kuhusu hilo lakutarikiana to me is not a big deal kilichonistua ni vile jamaa kuwa tajiri No nne wakati ndiyo ilikuwa ikisemekana jamaa ndiyo tajiri No 1 Duniani ,au mimi ndiyo nilikuwa sijaelewa wakuu ?
Hii ni fursa .
Mwenye No ya Melinda tafadhali naomba ani- PM pls[emoji120]
[emoji1634]
Because more often than not wanaume ndo wanakuwaga breadwinners na wenye kuendesha familia.Kwani usiwaze Kama wewe ndo utaanza kufa? Unamuwazia mwingine..
Yaani wewe unataka uwe kaserengeti boy?Dah, ukiipata nami ni PM mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣
Umenena vyema sana mamaa mpaka umenikosha. 😂😂😂Because more often than not wanaume ndo wanakuwaga breadwinners na wenye kuendesha familia.
We often wonder how we will survive without them but this is taken so negatively by some people.
How?Umenena vyema sana mamaa mpaka umenikosha. 😂😂😂
Ila hata dini zinachangia sana ktk hiyo negativity
🤣🤣🤣🤣🤣 hapana bhana - haiwezekani abadani. Ila nataka kupanua wigo wa fursaYaani wewe unataka uwe kaserengeti boy?
KEY WORDSHow?
Nimeamua kwenda nazo hivyo hivyo ki majungu majungu[emoji1787]
Wamekosa vitu vingi sana ndio maana wakaamua kuachanaMapenzi ni upuuzi sasa hawa wamekosa nini katika maisha yao.