Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii zinavyozidi kuongeza personal freedom ndivyo talaka zinavyozidi.Jinamizi la talaka halijawaacha mkuu.
Ila wamekua waungwana kuweka wazi vinginevyo ingeacha speculations na tafran
Tuwape mkono wa pole japo njia waliyoichagua huenda ikawapa amani na furaha zaidi.
Hapa ndio utaelewa kuna wakati mambo yanavyoonekana kwa nje, ni tofauti na uhalisia.
Jamii zinavyozidi kuongeza personal freedom ndivyo talaka zinavyozidi.
Nishawahi kueleza masikitiko kuhusu talaka za watu, halafu wao wakawa wananishangaa kwa nini nasikitikia uamuzi wao walioona ndio uliofaa kabisa.
Kwao, kitu cha kusikitika ni watu kulazimisha kukaa katika ndoa wakati hawaendani.
Kuna Mzee mmoja mtata sana nilikuwa naongea naye habari za haki za wanawake, ndoa za mitala etc.Haya mambo mengine magumu sana wakati mwingine.
Naamini huku kwetu wapo wengi tu, tena wengi sana wanaishi kwa mbinde na shuruba ila inabidi wavumilie kubaki kwenye ndoa kwa kuogopa jamii itawachukuliaje wakitalikiana.
Hii ndiyo inaitwa - Priority namba moja ni kazi/biashara na mengine yanafuata, nadhani wanawake wana survive zaidi kwenye ndoa ambazo waume zao wana muda mwingi wa kuwapetipeti kuliko ukiwa busy 24/7.Hapa Wamebaki Wajuba Wa3 Tu [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1772994
Mimi naona ni sawa tu na wanafanya vyema kutalikiana.Jamii zinavyozidi kuongeza personal freedom ndivyo talaka zinavyozidi.
Nishawahi kueleza masikitiko kuhusu talaka za watu, halafu wao wakawa wananishangaa kwa nini nasikitikia uamuzi wao walioona ndio uliofaa kabisa.
Kwao, kitu cha kusikitika ni watu kulazimisha kukaa katika ndoa wakati hawaendani.
Ndoa hii kuna jambo limewashinda kuvumiliana wakaona enough is enough, maana wamevumiliana kwa miaka yote hiyo 27 ya ndoani, leo tu wamekata tamaa shetani naona kaja na nguvu mpya, maana divorce ni mpango wa shetani ibilisi na sio Mungu
Kuna cousin ana move kwenye hizo circles anasema Bill Gates ni mtu arrogant sana miaka mingi amekuwa akishangaa Melinda anaishi naye vipi.Ndoa hii kuna jambo limewashinda kuvumiliana wakaona enough is enough, maana wamevumiliana kwa miaka yote hiyo 27 ya ndoani, leo tu wamekata tamaa shetani naona kaja na nguvu mpya, maana divorce ni mpango wa shetani ibilisi na sio Mungu
Vise versaHakuna aliyesalama kwenye mapenzi!
Billionaires Bill Gates and wife Melinda to get divorced after 27 years I
Nyinyi si ndio mawakala wao wa ideology zao huku?Mashetani yamezinguana kudadadeki.
Hawa watu wameua maelfu ya watu, yaani hii ni habari njema sana
Kabisa yaani.Halafu Ukute Kuna Kichalii Kidogo Tu Kwenye Hyo Foundation Yao Ndio Kinampelekea m-[emoji91] Aiseeeeh [emoji3][emoji3][emoji3]
K Wa kuitwa @Karuchee I miss u Bana [emoji3059][emoji3059]Kabisa yaani.
Tusubirie tuone.
Miss you too tatizo either nilipitwa JF muda sana nikawasahau ama mnabadili sana user name.K Wa kuitwa @Karuchee I miss u Bana [emoji3059][emoji3059]
Karibu Hawaii BanaMiss you too tatizo either nilipitwa JF muda sana nikawasahau ama mnabadili sana user name.
Hawaii hii hii ya Manzese ya kunywa gongo ?Karibu Hawaii Bana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]Hawaii hii hii ya Manzese ya kunywa gongo ?
Mkuu umenichoka.
Siyo wa hiki kizazi aiseeMwanamke akiwa na hekima, mchapakazi, na cares humuwezi chokana ndani