Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

Binadamu walifanya Ibada hata kabla ya hizi Dini

naona hauna hoja unaleta mifano haipo kabisa..sijalazimisha ila nimejibu kama hukubali basi haina haja ni free kuamini au kutoamini.


Ila anayejiamini kabisa angebaki na mitazamo yake sio kuleta mada ambayo ukipewa majibu hutaki
Majibu gani umemezeshwa acha kukariri . Unakaza fuvu ukiijua kweli utabadilika
 
Nakupa fact! Nmetoa jibu huna akili ya kunishawishi mimi bado akili yako ndogo sana rudi ukasome
🏎 we kama gari tu kijana nikushawishi we demu au bado uko kwenye zama za kushawishiwa 😁😁😁 we jumalokole
 
Msingi wa neno "Uislam" ni "silm" ambalo linamaanisha "kujisalimisha" au "kusalimu amri." Linamaanisha kujisalimisha kwa Allah (Mwenyezi Mungu).
umejishalimisha sasa wew binafsi tuanzie kwako? Hata una chembe ya adabu. .mnatetea ushoga afu leo eti kujisalimisha
 
Msingi wa neno "Uislam" ni "silm" ambalo linamaanisha "kujisalimisha" au "kusalimu amri." Linamaanisha kujisalimisha kwa Allah (Mwenyezi Mungu).

Asante kwa elimu hii nimepata kitu.

Naomba unifundishe kuhusu dini ya kiislam ilianza lini ?

Pia kuhusu Silm ama kujisalimisha kwa Mungu, nauliza swali je Wakrtiso walio salim amri kwa Mungu. Wanaomuabudu Mungu na kumuheshimu kama walokole nao wanatambulika kama waislam?
 
Asante kwa elimu hii nimepata kitu.

Naomba unifundishe kuhusu dini ya kiislam ilianza lini ?

Pia kuhusu Silm ama kujisalimisha kwa Mungu, nauliza swali je Wakrtiso walio salim amri kwa Mungu. Wanaomuabudu Mungu na kumuheshimu kama walokole nao wanatambulika kama waislam?
Ilianza kabla hajaumbwa binaadam, binaadam tumeukuta. Waliokuwepo kabla ya binadam ni viumbe waliojisalimisha kwa Mwenyezi Mungu.

Tofauti ya Uislam na dini zingine, zote, zimebeba majina au sifa za kibinadam.

Uislam pekee ndiyo unamaanisha kujisalimisha kwa Muumba wetu pekee.
 
Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.

Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.

Siku pingi,dini zililetwa kwa lengo la kumtawala mwanadamu kifikra,mana kuna watu akiwatazama jinsi dini inavyowapeleka hadi unawahurumia unabaki kucheka tu,eti mtu anavaa mabomu akajiripue na kuua binadamu wenzi kisa upuuzi wa dini huu si ujinga na ushenzi uliovuka viwango.
 
Mada za dini zimekuwa nyingi na hazina mvuto. Wachangiaji wao nao ni watu wa kawaida kabisa kimaarifa. Pamoja na kashifa hizi na kejeli ndogondogo hizi naomba nichangie jambo.
kulingana na mtaalamu mmoja wa sayansi jamii aliyewahi kusoma dini kama tamaduni ya binadam aliwahi kusema kwamba mwanadam Ana mlolongo wa dini (steji takribani 5) ataanza na animism yani yule ambae hajui chochote kuhusu mungu. Atakuja fetishism, Yan yule anaeamini katika vitu asili na mizimu Yan anaabudu katika miti, majabali makubwa nk. Atakuja steji ya tatu ya polytheism, Yan watakuwa na imani juu ya uwepo wa MI-ungu (zaidi ya 1) steji hii ni Ile ya dini za wahindi kama hindu wenye miungu mi3, na pia ilipitiwa na dini za ustaarabu wa misri. Steji ya 4 ni monotheism yani mungu mmoja, hii steji ndo zilizaliwa dini ya uislam na ukristo. Na pia inafikiriwa steji ya mwisho ya atheism, hawa wasio amini uwezo wa mungu na uwepo wake. Hapa wengi ni watu wanao amini sayansi
IKUMBUKWE msomi huyu pia aliwahi kusema kwamba kila steji ambayo mwanadam atapitia kwenda steji nyingine ataacha mabaki/watu watakaokomaa na steji Ile aliytoka.
Cha kuzingatia: Kwa wanaojua steji za mabadiliko ya mwanadam, viashiria vya mwanadam kuanza kuamini /kuwa na dini vilikutwa katika masalia ya yule mwanadam wa 3/4 "homo habilis /sapiens"
Usifanye mambo yako kwa kufata watu.

Wewe unaaamini nini?
 
Siku pingi,dini zililetwa kwa lengo la kumtawala mwanadamu kifikra,mana kuna watu akiwatazama jinsi dini inavyowapeleka hadi unawahurumia unabaki kucheka tu,eti mtu anavaa mabomu akajiripue na kuua binadamu wenzi kisa upuuzi wa dini huu si ujinga na ushenzi uliovuka viwango.
Wewe wa dini ipi?
 
Mi nimekuuliza huyu mtu ni nani unaleta swali lisilo eleweka. Na effect ya dini kwenye imani potofu ni kubwa sana. Watu waliishi kwa imani za ajabu sana miaka ya nyuma. Waliamini kafara na njia zingine za ajabu katika maisha. Mfano mdogo ni namna watu wa Amerika kusini walivyokua wakiishi, nadhani umeshaona kwenye filamu ya Apocalypto, kama bado itafute. Dini zimesaidia sana

Hata wao wanakushangaa katika hicho unachoamini wanaona upuuzi kama upuuzi mwingine,dini ni upuuzi na wanaozifuata ni wapuuzi hasa.
 
Back
Top Bottom