Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
- Thread starter
- #121
Maswali ya kitoto sijibu maana umekaririHalafu nimekuuliza kuhusu muongozo wa kumjua huyo Mungu wako ni upi?
Hapa naona unazunguka mbuyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ya kitoto sijibu maana umekaririHalafu nimekuuliza kuhusu muongozo wa kumjua huyo Mungu wako ni upi?
Hapa naona unazunguka mbuyu
Swali gani hilo sasa. Emu uliza vizuriUmejuaje kama huyo Mungu wako ndio muumbaji?
Historia hazikuandikwa na mtu hizo, hayo ni mambo yalitokea. Hayo ndo yalikua maisha ya watu wa Amerika ya kusini kabla ya dini ya Cathotlic kuingia miaka ya 1500. Afrika pia tulikua na mila nyingi sana potofu ambazo kati ya hizo, zingine ndo bado zinaishiaAcha utoto basi hizo historia aliandika nani? Na Amerika kusini ni Afrika au ? Jaribu kukuwa basi umepata elimu au ?
Nimekuuliza umejuaje kama huyo Mungu wako ndio muumbaji?Swali gani hilo sasa. Emu uliza vizuri
Nimekariri niniMaswali ya kitoto sijibu maana umekariri
Mungu sio BinadamuNimekuuliza umejuaje kama huyo Mungu wako ndio muumbaji?
Ulikuwepo.Historia hazikuandikwa na mtu hizo, hayo ni mambo yalitokea. Hayo ndo yalikua maisha ya watu wa Amerika ya kusini kabla ya dini ya Cathotlic kuingia miaka ya 1500. Afrika pia tulikua na mila nyingi sana potofu ambazo kati ya hizo, zingine ndo bado zinaishia
Ungeongezea na dini ya kiyahudi. Dini hizo tatu ni za toka enzi ya mhenga Abraham, hivyo mara nyingine huitwa "Abrahamic religions"Mwanzilishi wa Dini ya ukristo na uisalam ni mtu mmoja tena ni kwa lengo la utawala na biashara, hakuna cha ziada kuhusu uisalam na ukristo.
Maandiko na dini ni vitu viwili tofauti.
Ulikuwepo.
Hela Kaka Sina PA kuanzia labda nikutumie CV tuongee. Hali mbaya kakaTafuta hela na heshimu kila mtu muogope Mungu aliyekuumba
Sijasema huna hela nimesema tafuta hela haya masuala sio ya kukaza sana fuvu. Mambo yako wazi ukiwa na akili inayochangamkaHela Kaka Sina PA kuanzia labda nikutumie CV tuongee. Hali mbaya kaka
Ah kumbe huna uelewa wowote juu ya mjadala ulio uanzisha!🚮 bila shaka nyie ndo wale mnao fkiria mambo juu juu na kukariri huku mkijiamini ni waelewa zaidi kuliko wengineUlikuwepo.
hayo yote umesema wewe ukirudia kusoma hizo comment zako utaona ulichokiandika ..ziko hapa kubishana.Ah kumbe huna uelewa wowote juu ya mjadala ulio uanzisha!🚮 bila shaka nyie ndo wale mnao fkiria mambo juu juu na kukariri huku mkijiamini ni waelewa zaidi kuliko wengine
Mkuu Wazolee, ni kigezo gani ambacho kimekutambulisha kuwa huyu mtoa hoja ni Mkristo? Maana kwenye hoja yake ya msingi amezichambua dini zote mbili kwa mapana yake. Yeye anataka uchambuzi ulio sahihi katika masuala haya ya imani.Nimesoma Uzi wako na comments zako zote ni pumba tupu
Ila nimegundua wewe ni mkristo ila umeathilika kisaikolijia Baada ya kugundua ukristo ni dini ya uongo
Majibu uliyotoa kwenye maswala kadhaa niliyo kuuliza yanaonyesha ni kwa kiasi gani huna uelewa na historia ya dunia. Ila upo hapa kujaribu kuikosoa dini ambayo nina hakika pia utakua huijuihayo yote umesema wewe ukirudia kusoma hizo comment zako utaona ulichokiandika ..ziko hapa kubishana.
Kafiri wewe umeuonesha ukafiri wako kwa kuniwekea maneno kwenye post #121 , Mimi sijatamka maneno Yale , kafiri wewehayo yote umesema wewe ukirudia kusoma hizo comment zako utaona ulichokiandika ..ziko hapa kubishana.
Maamlisho ya Mungu gani hayo unafata!?Me ni binadamu ninaefuata maamlisho ya mungu masuala ya udini weka p3mbeni
Mkuu Saidama, haya mambo ya kuona watu wa zamani walikuwa walikuwa wajinga la hasha, walifanya vile kutokana na nyakati wao. Kila wakati/muhula una ujinga wake; kwa mfano leo, Mrusi na Ukreine wanauana, wanaharibu miundo mbinu yao. Vizazi vijavyo vya miaka mia ijao watawaona hawa hawana akili kwa kupigana kwa sababu za kijinga za kugombania mipaka tu ya ardhi... Hivyo usiwadharau wa zamani.Soma historia uone watu waliishi vipi zamani. Kuna jamii ziliishi kwa kuamini katika kutoa binadam wenzao kafara Amerika ya kusini. Na hata Afrika tu kuna jamii zilikua na mila za ajabu sana za kuumiza binadam wenzao kabla ya dini
Siwadharau ila najaribu kueleza ni kwa kiasi gani dini zimesaidia kuwatoa watu katika mifumo ileMkuu Saidama, haya mambo ya kuona watu wa zamani walikuwa walikuwa wajinga la hasha, walifanya vile kutokana na nyakati wao. Kila wakati/muhula una ujinga wake; kwa mfano leo, Mrusi na Ukreine wanauana, wanaharibu miundo mbinu yao. Vizazi vijavyo vya miaka mia ijao watawaona hawa hawana akili kwa kupigana kwa sababu za kijinga za kugombania mipaka tu ya ardhi... Hivyo usiwadharau wa zamani.