Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.