- Thread starter
- #21
Sio kila mleta mada ni mwana ccm. Ni ukweli ccm imechokwamngejua ccm mlivochokwa sema mnajificha kwenye dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mleta mada ni mwana ccm. Ni ukweli ccm imechokwamngejua ccm mlivochokwa sema mnajificha kwenye dola
Sidhani kama ndio lengo.jamaa wanampa tuzo fake anapenda sifa iliwapige pesa za umma vizuri
Lengo ni nini akina Uhuru Kenyatta, Mkapa, Nyerere, Mandela, Museveni n.k wamefanya mambo makubwa lakini hawakupewa PhD fake kama yeye nakuanza kujiita DktSidhani kama ndio lengo.
Raisi ana kila kitu,ajipange kwa lipi?Tuendelee kumpa Muda Rais ajipange sawa sawa
Neno! Wanajua wanachokifanya.jamaa wanampa tuzo fake anapenda sifa iliwapige pesa za umma vizuri
Kwa imani yako hiyo Rasterman, una tofauti gani na fisi ambao hadi leo wana imani kwamba huo mkono wa binadamu lazima tu kuna siku utadondoka? Kama hiyo ndio imani ya Watanzania walio wengi basi tunayo safari ndefu ndugu zangu.Binafsi Bado nina Imani na Rais Samia kutuletea Tanzania iliyo bora zaidi
Yaani mtu alikuwa makamu wa Rais kwa miaka zaidi ya mitano, halafu bado wapo wanaotutaka tumpe muda. Kibaya zaidi anatoka chama kile kile, mawazo yale yale na akili zile zile...kwa hakika nachoka na wadanganyika!Kabisa mkuuu
Chama cha mambuzi ni lazima wafe wote kwanza. Hakuna mtu pale katika kile chama mwenye dhamira ya kuleta mageuzi yenye tija. Ni mambo ya zimamoto na kucheza na akili za wadanganyika. Imeisha hiyo
Unampa PhD ya heshima kwa kipi ambacho amekifanya katikati ya mgawo wa maji, umeme, mfumuko wa bei n.k?Neno! Wanajua wanachokifanya.
Hawa watu wanakera sana.Unampa PhD ya heshima kwa kipi ambacho amekifanya katikati ya mgawo wa maji, umeme, mfumuko wa bei n.k?
Majangili tupu kwenye systemHawa watu wanakera sana.
Unatamani mtu ungekua na nafasi unazinyofoa roho zao.
Yaani jamaa wewe umeongea umbeya nilitaka nigonge like nimekunyima. Mambo ya maridhiano ni ujinga mtupu kwa sababu hawa viroboto wapinzani hawana nia njema kabisa na nchi yetu (mfano tu Zitto usipo mpatia hela ya rushwa atakusumbua kama alivyosumbua enzi za awanu ya 5, yaani mtu aliyetamani hata kumuua rais aliyepo madarakani kisa utofauti wa dini na kukataa ukoloni mambo leo, au mbowe ambaye ndani ya ngo yake hakuna demokrasia wala uhuru wa kuhoji). Ni muhimu kuua kabisa upinzani ili uzaliwe mwingine wenye maslahi na nchi.Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Bimkubwa yuko smart sana binafsi namkubali sana atatuvusha!Mimi namuona Raisi Samia kama Raisi mwanamageuzi, itaji la vijana ni ukuaji wa uchumi, kwa kuipa uhuru sekta binafsi kuwekeza na kufanya biashara, na ili ndilo analolipigania, kama akifanikiwa kwa haraka basi ajira na vibarua vitaongezeka, mzunguko wa hela utakuepo kwa kiasi fulani, vijana wataweza kujiajiri kwa kuzunguka uku na huko kutafuta fursa. Namuona pia kama Raisi asiependa ubabe wa kisiasa, namuombea atembee katika haki kwa vyama vya kisiasa.
Ni kwa vile tu kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Lakini kiukweli maoni yako ni tofauti na matakwa ya watanzania walio wengiYaani jamaa wewe umeongea umbeya nilitaka nigonge like nimekunyima. Mambo ya maridhiano ni ujinga mtupu kwa sababu hawa viroboto wapinzani hawana nia njema kabisa na nchi yetu (mfano tu Zitto usipo mpatia hela ya rushwa atakusumbua kama alivyosumbua enzi za awanu ya 5, yaani mtu aliyetamani hata kumuua rais aliyepo madarakani kisa utofauti wa dini na kukataa ukoloni mambo leo, au mbowe ambaye ndani ya ngo yake hakuna demokrasia wala uhuru wa kuhoji). Ni muhimu kuua kabisa upinzani ili uzaliwe mwingine wenye maslahi na nchi.
Umenza vizuri lakini una itikadi za kiditeta ambazo kwa dunia ya leo hazina nafasi tena.Maridhiano hayana faida wala kazi yoyote kwenye maendeleo
Hakuna faida ya mtoto mdogo kuanza shule mapema. Kikubwa ni achievement regardless ameipata na umri gani. Watoto wadogo wanakosa haki zao za kucheza, kukua vizuri na kuburudika nyumbani kwa sababu ya matakwa na Fashion za wazazi.Watoto waanze primary na miaka 5 (wa kwangu alianza na miaka 5) na wasome miaka 6 tu mnawachosha tu na masomo lukuki ya siasa za ujamaa na kujitegemea zisizo na faida kwenye maisha yao ya baadae ya kibepari (self employment)
Hapana ungejua watanzania wengi Rais Samia hawampendi ungesaidia sana Rais Samia kujirekebisha. Tatizo lake kazalisha matatizo mengi sana ambayo kuyatatua inawezekana CCM inahitaji mtu mwingine.Ni kwa vile tu kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni. Lakini kiukweli maoni yako ni tofauti na matakwa ya watanzania walio wengi
🤣🤣🤣Ni mpiga dili tu, mpaka leo hajasema wafadhili wa Royal Tour ni watu gani, Rais anayefanya biashara Ikulu ni hatari sana
Can you give some examples Bwana MudawoteHapana ungejua watanzania wengi Rais Samia hawampendi ungesaidia sana Rais Samia kujirekebisha. Tatizo lake kazalisha matatizo mengi sana ambayo kuyatatua inawezekana CCM inahitaji mtu mwingine.
Kama uliyo andika ni kweli basi watz nia wote na sisi tuanze kunya akili na kubakisha [emoji90][emoji90][emoji90] ili na sisi tuwe wananchi boraNdugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Ndio maana tunasisitiza maridhiano na Katiba Mpya ili tuepukane na mawazo ya watu wale wale.Kwa imani yako hiyo Rasterman, una tofauti gani na fisi ambao hadi leo wana imani kwamba huo mkono wa binadamu lazima tu kuna siku utadondoka? Kama hiyo ndio imani ya Watanzania walio wengi basi tunayo safari ndefu ndugu zangu.
Yaani mtu alikuwa makamu wa Rais kwa miaka zaidi ya mitano, halafu bado wapo wanaotutaka tumpe muda. Kibaya zaidi anatoka chama kile kile, mawazo yale yale na akili zile zile...kwa hakika nachoka na wadanganyika!