Binafsi Bado nina imani na Rais Samia kutuletea Tanzania iliyo bora zaidi

Binafsi Bado nina imani na Rais Samia kutuletea Tanzania iliyo bora zaidi

Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.

Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.

Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.

Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.

Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.

Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Rais Samia Suluhu aliahidi kutuweka pamoja na sasa anatekeleza
 
Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.

Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.

Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.

Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.

Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.

Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Asante Kwa taarifa.
Ila tambura Hawa walioko Nyuma yake ndio waharibifu!
Kusema deni la Taifa halimgusi mtu yeyote na bado tunakopesheka.
Mwengine anakuja na umeme tumemaliza tatizo! Hii ni laana!!
 
Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.

Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.

Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.

Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.

Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.

Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Hilo Hakuna ubishi SSH ndio Rais ataaleta maheuzi makubwa kwenye sekta mbalimba licha ya watu wenye chuki zao nae..

Mfano hii haijawahi tokea toka Uhuru Hospital za Mikoa yote kuwa na CT Scan, hospitali za Kanda kuwa na MRI na Hospital zote za Wilaya kuwa na Digital X Ray machines👇
Screenshot_20221212-182913.png
 
Hii ni hatua nzuri mno
Hilo Hakuna ubishi SSH ndio Rais ataaleta maheuzi makubwa kwenye sekta mbalimba licha ya watu wenye chuki zao nae..

Mfano hii haijawahi tokea toka Uhuru Hospital za Mikoa yote kuwa na CT Scan, hospitali za Kanda kuwa na MRI na Hospital zote za Wilaya kuwa na Digital X Ray machines👇View attachment 2448067
 
Asante Kwa taarifa.
Ila tambura Hawa walioko Nyuma yake ndio waharibifu!
Kusema deni la Taifa halimgusi mtu yeyote na bado tunakopesheka.
Mwengine anakuja na umeme tumemaliza tatizo! Hii ni laana!!
Hai ni waganga njaa tu in Jk's voice
 
Back
Top Bottom