- Thread starter
- #41
Mkuu Benjamini pale UG M7 kafanya nini cha maana?Lengo ni nini akina Uhuru Kenyatta, Mkapa, Nyerere, Mandela, Museveni n.k wamefanya mambo makubwa lakini hawakupewa PhD fake kama yeye nakuanza kujiita Dkt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Benjamini pale UG M7 kafanya nini cha maana?Lengo ni nini akina Uhuru Kenyatta, Mkapa, Nyerere, Mandela, Museveni n.k wamefanya mambo makubwa lakini hawakupewa PhD fake kama yeye nakuanza kujiita Dkt
Uganda wapo juu sn kiuchumi sisi tunafuata material kwao kama sukari, cement, mafuta(petrol) ngano, vitenge n.kMkuu Benjamini pale UG M7 kafanya nini cha maana?
Hali halisi huko kwao tazama Kampqlq ilivyochoka, currency exchange vs DollarUganda wapo juu sn kiuchumi sisi tunafuata material kwao kama sukari, ent, mafuta(petrol) ngano, vitenge n.k
Umewahi kufika lakini Uganda mkuu?Hali halisi huko kwao tazama Kampqlq ilivyochoka, currency exchange vs Dollar
Rais Samia Suluhu aliahidi kutuweka pamoja na sasa anatekelezaNdugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Asante Kwa taarifa.Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Hilo Hakuna ubishi SSH ndio Rais ataaleta maheuzi makubwa kwenye sekta mbalimba licha ya watu wenye chuki zao nae..Ndugu zangu pamoja na mambo mengi yaliyopita tangu Tupate uhuru ni wazi kuwa kwa sehemu fulani Rais Samia amekuwa Rais Bora miongoni mwa waliokuwa bora.
Hili linakuja kutokana na mchango wake mkubwa hasa ktk kuleta ajira, na kuongeza fedha ktk mzunguko wa miradi ya kitaifa. Kama miradi hiyo itaketa faida au la ni jambo lingine. Kama itakamilika kwa wakati au la ni mjadala mwingine.
Lakini pia nasikia kuna maridhiano yanaendelea (hatuna uhakika maana hatujatangaziwa), hili pekee kama linaendelea ni dalili njema ya kuipata Tanzania tuitakayo.
Ofcourse, mtu mwenye njaa ya hitajio la jambo fulani ataona kama muda unachelewa lakini kila lenye heri lahitaji kuvuta subira.
Naamini kinachoendelea kiko katika nia njema na muda ndio utaongea.
Hongera Rais Samia na wadau woote wanaosongesha Nchi katika mwelekeo sahihi.
Hilo Hakuna ubishi SSH ndio Rais ataaleta maheuzi makubwa kwenye sekta mbalimba licha ya watu wenye chuki zao nae..
Mfano hii haijawahi tokea toka Uhuru Hospital za Mikoa yote kuwa na CT Scan, hospitali za Kanda kuwa na MRI na Hospital zote za Wilaya kuwa na Digital X Ray machines👇View attachment 2448067
Hai ni waganga njaa tu in Jk's voiceAsante Kwa taarifa.
Ila tambura Hawa walioko Nyuma yake ndio waharibifu!
Kusema deni la Taifa halimgusi mtu yeyote na bado tunakopesheka.
Mwengine anakuja na umeme tumemaliza tatizo! Hii ni laana!!
Japo hajafanya sana lakini kuna mwelekeoRais Samia Suluhu aliahidi kutuweka pamoja na sasa anatekeleza