Binafsi siwezi kuishi na mtu anayeenda kwa Waganga wa kienyeji na Mchawi

Wamewaiga Masheikh wa bidaa, wamefanya sana hizo mambo.....Shri anachanganya Aya za Qur'an na uchawi....ndo mara wanaandika makombe, mara hii kafukie, hii kapake uchawi mtupu.
Now makombe ya kilokole ndo hayo mafuta ya upako na maji......
 
Binafsi siwezi ishi na mtu ambaye anapenda mambo ya kishirikina, anaenda kwa waganga, au anadalili za uchawi uchawi.
Wateja wengi wa waganga ni ndugu zako wa Chamani na unaishi nao, u shake hand, huges etc... Kwa kifupi unaishi nao!
 
We mwenyewe utapambana na Mwendokasi🤣🤣🤣 Muhimu mganga ale kuku na atembelee wowowoo🤣
Mwendokasi zipo, treni la mwakyembe hilo hapo...aaaahhh mganga wangu atafrahiii
 
Yakikukuta yale ya noway out utaanyooka, nyie mnaojiapiza ni wepes kbs kulko wale neutral [emoji1625][emoji1625]

Kama wewe huna miiko usidhani kila mtu yupo kama wewe.
Kuna miiko hata kama no way huwezi kuivunja.

Mfano nakuuliza, wewe unaweza kuwa shoga ikiwa utafikia Ni way?
 
Upo sahihi mkuu

Uchawi ni nguvu ndogo Sana kiroho na ipo renewable in each single day

That is way MTU anaweza kukuchezea ukafukuzwa kazi Ila hana uwezo wa kukufanya ukose kazi.

Ni vizuri watu wakaishi kitibeli kwa kuipenda HAKI

Maana ukiipenda haki utakuwa innocence na ukiwa innocence huwezi kurogwa.
 
Mpaka kuandika huu uzi teyari umeshalogwa na mdada mzuri na hujui sababu ya kuandika huu uzi.
 

Naam Mkuu
 
Kwa hiyo kwa mantiki hiyo unamaanisha uchawi unaleta maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…