Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Achaneni na huo uongo wenu,hakuna kitu kilichoshushwa zaidi ya binadamu kuandika kwa mkono wake tena kukopi baadhi ya maandiko kutoka biblia na kujimilikisha nyie pia hata biblia kimeandikwa na binadamu kwa msaada wa roho wa Mungu.
 
Achaneni na huo uongo wenu,hakuna kitu kilichoshushwa zaidi ya binadamu kuandika kwa mkono wake tena kukopi baadhi ya maandiko kutoka biblia na kujimilikisha nyie pia hata biblia kimeandikwa na binadamu kwa msaada wa roho wa Mungu.
Sasa wewe unatafuta darasa lingine, hapa tunazungumzia msimamo wa Qatar na kuhusu maandiko kuibwa au kutoibwa. Halafu umejijibu mwenyewe. Haijalishi yawe yameandikwa kwa mkono au la ila mwisho wa siku yameshushwa kama ulivyosema kutoka kwa Mungu kupitia malaika wake labda terminology ya kushushwa ndo inakuchanganya.
 
Dini inayolindwa kwa mtutu wa bunduki sio kwa kuamini bali kwa vitisho. Angalia kinachoendelea Iran, Afghanistan....
 
Hivi unaelewa maana ya neno kushushwa au kuteremshwa!?
 
Ulaya wanashindwa waadhibu vipi Qatar kwa msimamo wao

Kila kukicha wanasema migrant worker, human rights wakati wao ndio walipiga kura na kuichagua wakijua fika ni nchi yenye tamaduni zake na sheria zake
Waache wajifunze tamaduni za wengine maana wengi wamezoea wakisafiri ni ulevi na uzinzi tu hawajui kuna mengi ya kujifunza
 
Nasikitika sana Vatican kuanzisha.

Ushetani.
Masssonic.
ISlamic.

Shetani YUPO KAZINI.
Hii jumapili yenyewe ni ushetani wa Vatican.
 
ROBERT HERIEL saa zingine unakuwa na ushindani mwingi saa zingine unakuwa na fikra yakinifu

Uislamu ni zaidi ya unachokiona qatar, ila kuna mifumo ya kuupa mgongo uislamu kwa wakiristo kutengenezewa bongo movies za ugaidi na majini ili kufanya watu wengine wasitake kusikia kuhusu mafundisho ya uislamu,
 
wewe unacho tafuta nikubishanatu sikuzote kuhusu dini yauisilamu. walahuna jingine kwasababu Kama ni pongezi ungepongezatu mambo yakaisha lakini wewe kwakua unahila umeingiza mambo yako mengine. ila kwakua tusha kujua endeleatu ukichoka utaacha.
Tukiwaambia dini yenu inaendeshwa na mihemko na akili hamna mnakuwa mbogo,kila dini inamapungufu yake na mbona wakristo wanakubali lakini ninyi mkiambiwa kitabu cha mwarabu kilikopi visa vingi kutoka biblia mnakata,mnabaki kulazimisha kuwa uislamu ulikuepo kitambo bila hata uthibitisho wa kina?
 
ok poa.
 
Uislamu ulianzishwa na wakatoliki thus maandiko yanaendana
 
Uislamu ulianzishwa na wakatoliki thus maandiko yanaendana
Kusema sio tatizo kwa sababu kila mtu anaweza kusema analojisikia,ishu ni evidence za uhakika za kinachosemwa.

Mimi kusema kwamba uislamu wameanzisha wakatoliki mbona sioni tatizo juu ya kauli hiyo,ishu ni evidence zenye kueleweka za kutilia nguvu usemi huo.
 
Inaelekea una kichwa kigumu!!...upo Kama memory card,kilichowekwa humo ndiyo kitakacho-play miaka nenda Rudi,jifunze kupokea vitu vipya!
 
Kwenye uislam hakuna kabila Wala jamii,uislam unatambua binaadam ni wamoja,ndiyo maana hata nabii Adam Allah anamtaja Kama nabii wake,kadhalika nuhu... ambao hawakuwa wayahudi(Kama unavyowaita na kuwaona ni chanzo Cha Imani)....na uislam Hauna siku maalum ya ibada,siku zote ni za ibada,ndiyo maana kuna swala Tano,usiwe unajadili vitu usivyo na elimu navyo,mwerevu na mwenye hekima hujifunza kwanza Jambo asolijua ndiyo akalinenea
 
Uislamu ndio mfumo bora wa haki kwa watu wote kuelekea ustawi wa jumla. Angalau wao wamepunguza au kuondoa ile gap Kati ya mtawala na mtawaliwa kupitia dini,hata msikitini cheo chako ubakia nje nyote mnakua daraja SAwa wakati wa ibada,hawana mambo ya viti vya mbele ni wenye elf 10. Watawala wa kiislamu wanawatendea haki wanaowaongoza thus nchi za kiislamu wananchi wao awaisomi Sana number na hata hizi za kiafrica zenye unasaba na uislamu wananchi wao awaisomi Sana number kama hizi nchi zingine za kiafrica ambazo wananchi wake wanachomeka jikoni. Hivi mfano maisha ya mateso na suluba anayopitia mtu mweusi afrika tangu anazaliwa hadi kifo sababu ubinafsi wa watawala ipo haja ya kwenda tena kuchomwa motoni siku ya mwisho. Maana maisha ya wengi msoto mwanzo mwisho jela si jela kuzimu si kuzimu, hivi kwa msoto huu kipi kipya mtu ataogopa kuzimu. Maana maisha tu ya mtaani ya jela yana nafuu maana jela upo uhakika wa kula na kulala bure.
 
Walioko ulaya wanafunga ndoa kanisani ni waislam?
Wapo wanaofunga ndoa msikitini South Africa, ingia You Tube ujionee.

Siku mkijua imani ni Mtu binafsi na matendo mema ndipo mtajua kuwa hamjui.

Kila siku tuhuma na kesi kwa Mapadri, Wachungaji, Mashehe kulawiti na kuf**a watoto lakini mnabaki kujumuisha tu dini za Watu, hivi hamuoni jinsi gani hamna maarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…