Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

Unasoma biblia kinyumenyume kama quran!?
 
ROBERT HERIEL
Huo ni uongo mkubwa kwamba Qur'an ilikopi maandiko ya kiyahudi.

Kwanza yakupasa ujue kwamba Qur'an ni maneno kamili ya Allah mwenyewe (word to word) , kwa upande mwingine Zaburi ya Daudi as,na Injili ya nabii Yesu (Isa as) hayo yalikuwa ni mahubiri ya hao manabii kwa wana wa Israeli, mahubiri hayo yalikuwa ni mafundisho ya sheria mama ya Taurati ya nabii Musa as, Manabii hao Musa, Daudi, Isa (Yesu) Muhammad (saw) nk, wote hao walitumwa na (Allah, Mungu, Yehova, Mnungu) mmoja hivyo mafundisho yao msingi wake ni kutoka kwa huyo Mungu na ndio maana utakuta hakuna tofauti katika sheria za msingi katika mafundisho ya hao manabii kwani mafundisho yao yametoka kwa huyo Mungu mmoja, mfano Taurati inakataza zinaa Qur'an nayo halikadhalika inakataza nk, na hata zinaa imekatazwa kwenye vitabu vya Wahindu je hapo mtu unaweza kudai kwamba Taurati ilikopi sheria ya zinaa kutoka kwa wahindu?? Wahindu walikuwepo kabla ya Nabii Musa.

Kifupi ni kwamba manabii wote ni familia moja kwani wanetumwa na Mungu huyo mmoja na ndio maana utakuta baadhi ya mafundisho yao ya msingi yanafanana.
 
Hivi mpira sio haram kwa waislamu.....maana dini inawahitaji wavae makanzu na pia mwanaume asionekane kwenye magoti, sasa wachezaji wa mpira wanapoonyesha hadi mapaja mbona QATAR hawajaja na aina ya sare kwa wachezaji wa kiume.
 
Katika vitabu ulivyotaja kimoja aliandika mungu akamkabidhi mtu, je mungu alikopi? Maana umezungumzia vitabu kukopiana
 
Hivi mpira sio haram kwa waislamu.....maana dini inawahitaji wavae makanzu na pia mwanaume asionekane kwenye magoti, sasa wachezaji wa mpira wanapoonyesha hadi mapaja mbona QATAR hawajaja na aina ya sare kwa wachezaji wa kiume.
Hahaaaaa
 
Hivi mpira sio haram kwa waislamu.....maana dini inawahitaji wavae makanzu na pia mwanaume asionekane kwenye magoti, sasa wachezaji wa mpira wanapoonyesha hadi mapaja mbona QATAR hawajaja na aina ya sare kwa wachezaji wa kiume.


Hakuna shida huko kwani wachezaji hawatavaa makanzu tu bali pia watavaa majoho kama ya wale maaskofu wa kanisani.
 
Hivi mpira sio haram kwa waislamu.....maana dini inawahitaji wavae makanzu na pia mwanaume asionekane kwenye magoti, sasa wachezaji wa mpira wanapoonyesha hadi mapaja mbona QATAR hawajaja na aina ya sare kwa wachezaji wa kiume.

Hapana Mkuu.
Mpira sio haramu na hakuna Aya inayoelezea mambo ya michezo sio tuu kwenye Quran Bali hata kwenye Biblia
 

Yehova na Allah ni miungu wawili tofauti MKUU. Kwa nini mnapenda kuwafanya kuwa kitu kimoja ilhqli kuna ushahidi wa wazi kuwa ni miungu wawili tofauti?

Unataka tuanze kuwachambua uone utofauti wao?
 
Katika vitabu ulivyotaja kimoja aliandika mungu akamkabidhi mtu, je mungu alikopi? Maana umezungumzia vitabu kukopiana


Vitabu vinawezaje kukopiana??, how can a book copy another book??!!.

Ni hivi; maneno matakatifu yote yametoka kwa Mungu mmoja, mfano Zaburi, na Injili vyote hivo katika uasilia wake yanayo maneno matakatifu kutoka kwa Mungu waliyopewa manabii Daudi na Yesu ili kuja kuwafundisha Waisraeli kuhusu Taurati ya Nabii Musa, kimsingi ni hivi; Zaburi na Injili ni mafundisho au ufafanuzi waTaurati ya Nabii Musa kwa wana wa Israeli, Daudi, Yesu na Musa (as) hao ni manabii kutoka kwa Mungu huyohuyo mmoja, hatimaye akatumwa Nabii Muhammadi (saw) naye akashushiwa (revealed) Qur'an kwa watu wote neno kwa neno kutoka kwa Mungu huyohuyo aliyewafundisha Taurati, Zaburi na Injili manabii hao niliowataja hapo juu sasa kama kuna jambo linafanana ndani ya hivyo vitabu au maneno yao utasemaje vitabu vyao "vimekopiana" ilhali kimsingi manabii wote hao walitumwa na Mungu huyo huyo mmoja??--- Tofauti ni hii; Qur'an ni neno kwa neno ufunuo wa Mungu kwa nabii Muhammad (saw) kwa ajili ya dunia yote na Taurati ni funuo zisizokuwa neno kwa neno kwa nabii Musa (as) kwa wana wa Israeli halikadhalika Zaburi ni mafundisho ya Nabii Daudi kutilia nguvu Taurati ya Musa kwa Waisraeli ni hivyo hivyo Injili ya Yesu ni habari njema za Taurati ya Musa (as) kwa wana wa Israeli , Zaburi na Injili zilikuwa mbingu za ufundishaji wa Taurati ya Nabii Musa (as), sasa ukikuta kuna habari iliyomo ndani ya Taurati, Zaburi , Injili na Qur'an ujue kwamba habari hiyo ni ya kweli na imetoka kwa Mungu kwani manabii wote ni familia moja ya Mungu na Mungu huyo mmoja ndiye Mwalimu wao Wote na ndio maana sisi Waisilamu kuamini manabii wa Mungu ni nguzo moja ya Imani yetu.
 
Yehova na Allah ni miungu wawili tofauti MKUU. Kwa nini mnapenda kuwafanya kuwa kitu kimoja ilhqli kuna ushahidi wa wazi kuwa ni miungu wawili tofauti?

Unataka tuanze kuwachambua uone utofauti wao?


Hayo ni majina ya kitu kimoja japokuwa jinsi anavyokuwa portrayed ni tofauti kulingana na Sources husika na dhamira kusudiwa, mfano, Yesu wa Biblia ndiye yule yule Isa bin Mariam wa Qur'an, lakini kuna BAADHI ya utofauti wa jinsi anavyokuwa portrayed katika Biblia na Qur'an, au Yona wa Biblia.na Yunus wa Qur'an majina tofauti somehow lakini historia yao inafanana sana na tofauti ni ndogo kiasi kwamba huwezi kusema kwamba huyo sio mtu yule yule, ni hivyo hivyo Allah katika Qur'an ndiye huyo Yehova kwa kiebrania au Mnungu katika lugha za kibantu nk.
 

Kuna mambo ya Msingi bado unapaswa kujifunza kuhusu Miungu.

Yehova kamwe hawezi kuwa Allah.

Embu nitajie sheria za Allah alizompa Musa pale mlimani. Zile amri 10 za Mungu Kwa mujibu wa Quran, kama unazijua au kama zipo.
 
Umesoma shule gani weye. Yaana mtu ameacknowledge sources wewe unasema ameiba. Kumbuka pia Ukristo sio separate from
 
Hakuna shida huko kwani wachezaji hawatavaa makanzu tu bali pia watavaa majoho kama ya wale maaskofu wa kanisani.

Mbona sijaona wakivaa hayo makanzu ya waarabu na mtume wenu.
 
Kuna mambo ya Msingi bado unapaswa kujifunza kuhusu Miungu.

Yehova kamwe hawezi kuwa Allah.

Embu nitajie sheria za Allah alizompa Musa pale mlimani. Zile amri 10 za Mungu Kwa mujibu wa Quran, kama unazijua au kama zipo.


To cut story short, kwa Mantiki yako hata Mungu hawezi kuwa Yehova, kama suala ni majina.

Halafu kumbuka Taurati ilikuwa ni kitabu cha sheria kwa ajili ya Bani Israel katika zama hizo, Qur'an ni kwa dunia nzima hadi Qiyama.
 
Niambie ukristo imeiba nini ktk uyahudi wakati ukristo ni combination ya two episodes. Yaani umejiibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…