Binti amkataa Baba mlezi siku ya Harusi, ampa heshima zaidi Baba mzazi.

Hapa unawaambia Vijana wakae Mbali na single mother sababu ni wake za watu
 

Kukuzwa na kusomeshwa haitoshi kutoa shukran
 
Una information za ndaani za hiyo familia au unayatazama Mambo kwa nje nje tu
 
Huwezi jua huyo baba alikuwa anamtendea vitu gani huyo binti.
 
Mtu hadi anafikisha umri wa kuolewa hana akili ya kujua kipi kizuri na kipi kibaya?
Wakae Mbali na single mother wasije wakalilia CHOONI wamemwaga mamillion alafu toto linakuja kulipa credit Jamaa lilikua mbali nae miaka 25 halijui mtoto anavaa nini wala anakula nini
 
Binti amefanya jambo sahihi kabisa kwasababu Baba yake atabaki kua Baba yake na uyo mlezi atabaki kua mlezi na hakulazimishwa.
Haya mambo yapo bara la giza ila kwa mtu mwenye akili huwezi kuondoa umuhimu wa gharama na uwepo wa mtu kwenye maisha yako. Yaani uisahau Miaka zaidi ya 25 kwa sababu ya mtu ambaye pengine alikupata kama ajali kwenye starehe zake na wala hana upendo na wewe. Hiyo ni haiwezekani
 
Umelilea toto la single mother miaka 25 yote umejipinda toto linaolewa credit kwa Baba aliemtia Mimba Mama yake Wewe Baba Mlezi Fala tu kimbelembele chako cha upwiru kimekuponza ukamwaga noti
 
Umelilea toto la single mother miaka 25 yote umejipinda toto linaolewa credit kwa Baba aliemtia Mimba Mama yake Wewe Baba Mlezi Fala tu kimbelembele chako cha upwiru kimekuponza ukamwaga noti
Unajua si kila baba anamwaga noti wengine wapo tu kuonyesha kuwa huyu mwanamke kaolewa.
Yule aliyeachwa na yule msanii shilole si mkewe anasema alikuwa anamwachia pesa mezani? Sasa kwenye harusi kati yake na aliyetungisha mimba nani ana uzito?
 
Umelilea toto la single mother miaka 25 yote umejipinda toto linaolewa credit kwa Baba aliemtia Mimba Mama yake Wewe Baba Mlezi Fala tu kimbelembele chako cha upwiru kimekuponza ukamwaga noti
Single mother mmesikia 😁
 
Nadhani ume elewa ila unataka kuuliza vitu ambavyo kila mwanaume ashawahi kushauriwa asifanye hivyo.
Kuwa straight, Kila mwanaume wa wapi? Kushauriwa na nani? Kama ni humu JF ina watu laki 6 sijui, sasa haya mahubiri yamefikiaje kila mwanaume? Huyo mzee inawezekana hajui hata kama kuna wahubiri wa usioe single mother.
 
Kukuzwa na kusomeshwa haitoshi kutoa shukran
Kuondoa umuhimu wa mtu kabisa kwanza imefunua aibu za familia ukweni maana nina uhakika, mahari na kila mchakato uliendelea kwa usimamizi wa baba mlezi.

Hivyo kama siku ya harusi anatambulishwa mwingine ni lazma kengele zilie kichwani mwa upande wa mume maana inaonesha mkwe waliompata na mama yake, wana hulka zipi. Hivyo, mtoto wao ajiandae kwa lolote kwenye uzao wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…